Mwaka 2005 ilikuwaje??
Compare and contrast
Hata hiyo 2005 aliyosema ni sawa tu inaonyesha hasivyotaka kuuona ukweli. Maandiko ya Mtatiro yalisema kuwa baada ya kuanzishwa mfumo wa vyama vingi hakujatokea CUF wakapata wabunge zaidi ya wawili huku bara na pia hawajawahi kuongoza halmashauri!mbona umeruka 2010?
Huyu Dada wa CDM aliyemnyima Mtatiro nafasi ya kuingia bungeni hana akili kabisa