Mtatiro: UKAWA imeinyanyua CUF

Mtatiro: UKAWA imeinyanyua CUF

Pole na hongera Mtatiro, wewe na wenje mmeniuma sana! Na mbaya zaidi wewe kura zako zimepunguzwa na mgombea wa chadema na Wenje kura zake zimepunguzwa na mgombea wa cuf nyamagana.
 
Huyu Dada wa CDM aliyemnyima Mtatiro nafasi ya kuingia bungeni hana akili kabisa

dada kazingua sana kata tisa zote ukawa halafu mbunge ccm..asingekuwepo ushindi ungekuwa wa kishindo kwa jembe mtatiro.....
 
Wale tetea wa Lumumba waliwadharau sana Ukawa.
Wakasema CUF itamezwa, matokeo wanayaona.
Faida umeonekana. Naamini safari ijayo, ukawa watakuwa bomu la nyuklia.
 
Pole na hongera Mtatiro, wewe na wenje mmeniuma sana! Na mbaya zaidi wewe kura zako zimepunguzwa na mgombea wa chadema na Wenje kura zake zimepunguzwa na mgombea wa cuf nyamagana.

huyo wa cuf kapata kura kiasi gani
 
hivi huyu ndugu ana umri gani labda 2020 atakuwa bado anaweza kututumikia
 
Mtatiro wewe ni Icon ya wanasiasa Welevu hapa Tanzania. Ushauri wangu kwa uk?wa Mtatiro mumtumie sana na hata nafas8 ya Wabunge Maalim yeye na Lembeli Msiwasahau
 
Nimeumia sana wewe kutoshinda Segerea kwa sababu ya watu binafshi kutoheshimua makubaliano, Naju wale walioumizwa na ushirikiano huu watasema mengi lakin huo ulioutajandio ukweli wenyewe.
 
mimi nadhani CHADEMA NDIO WAMEBEBWA NA CUF ESPECIALLY UPANDE WA VISIWANI.... CHADEMA 2005 PEMBA KUNA MAJIMBO WALIKUWA HAWAFIKISHI HATA KURA ELFU MOJA ZA URAIS...
 
Chadema tumekua mafala wa mwisho jimmbo la segerea mamate sana yaani kata zote ukawa afu ubunge kwa hawa wasengerema mamaye dah chadema mmeniudhi yaani kutompeleka mtatiro mjengon

Mimi naipenda sana cdm na kwa hili kweli huyo aliyerudisha fomu toka cdm hakufanya sawa kwani ki ukweli Mtatiro alikuwa na nguvu kubwa kuliko yeye. Hizo ndio changamoto za kuungana, na kwa hili liwe funzo kwa wote sio cdm wala cuf kwani hata Nyamagana kwa Wenje kuna mtu wa cuf kagombea kwahiyo ni udhaifu wa vyama vyote viwili. Ila nadhani kutenda kosa sio kosa lakini kurudia kosa ...
 
Hakika kamanda Julius Mtatiro umenena..!!! Hata wewe ungekuwa MBUNGE WA SEGEREA... tena ungeshinda kwa KIWANGO KIKUBWA SANA SANA...!!ni huyo dada wa CHADEMA kaharibu...tunamlaani sana sana... maana UKAWA walisema ni wewe uwe SEGEREA.. roho inaniuma sana sanaaa..ila mwaka 2020 Mtatiro Segerea ni yako...!!! 100%...!!

Kikubwa, ni UKAWA kujengwa zaidi sasa.... muongeze USHIRIKIANO MNO MNOOOO...!!! USHIRIKA WA UKAWA uwe ndio nguzo zenu kuu...!!!

Pia, CUF, jimbo la UTETE mmeshinda kata karibu zote za UTETE...naamini watatangaza mbunge wa CUF...!!!

Pia, naamini... MBAGALA, KINONDONI, TEMEKE, haya majimbo yote ya Dar yataenda CUF...!!! Sbb madiwani kata 95% ni wa CUF ktk majimbo hayo... so ushindi MKUBWA SANA SANAAA KWA CUF...!!!

So, UKAWA ndio mkombozi...!!!

Kamanda Mtatiro, Mungu akulinde...jichunge na maadui wakuu CCM...!!!

Mungu akulinde...!!!
 
Hongera, unaelekea utawaunganisha CUF bara kwa uzuri hasa sasa ambapo Lipumba amesepa. Kusanya wenzako mlioangushwa kwa bahati mbaya au fitina ikiwezekana mjipange kuendeleza chama wakati wenzenu wakiwa bungeni. Vyama vya upinzani ndiyo njia pekee ya kuhakikisha usalama na maslahi ya wananchi yasipokwe na chama Tawala. Tumepata Magufuli lakini tunaheshimu mchango wa upinzani
 
mimi nadhani CHADEMA NDIO WAMEBEBWA NA CUF ESPECIALLY UPANDE WA VISIWANI.... CHADEMA 2005 PEMBA KUNA MAJIMBO WALIKUWA HAWAFIKISHI HATA KURA ELFU MOJA ZA URAIS...

ushaanza, subiri 2020, haya unayoleta hayana faida kwako sasa hivi
 
Back
Top Bottom