Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa UN, Rais Samia ampongeza

Stuxnet,

..hii sio lateral movement ndani ya UN? hebu angalia hapo chini.

Nafasi ya zamani:-
Assistant Secretary-General and Deputy Executive Director of the United Nations Environment Programme in Nairobi, Kenya.

Nafasi mpya:-
Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs and Deputy Emergency Relief Coordinator in the Office for the Coordination of Humanitarian Affairs.
 
Khaaa, Nenda kamuulize Mzee Membe na Ukatibu mkuu wa Jumuiya ya Madola
Membe uteuzi wake ungetegemea kuwa kisiasa zaidi ; huyu mama Msuya uteuzi wake sio wa kisiasa na sio mwanasiasa ni mtendaji!!! Hata hivyo she will be well advised kujitahidi kuwapa nafasi watanzania wenzie pale nafasi zinapojitokeza; asije akawa kama AshaRose Migiro alipokuwa huko ambapo hakufanya jitihada zozote za kuwapatia nafasi Watanzania kama wafanyavyo mataifa mengine!!! Hongera zako mama.
 
Membe uteuzi wake ungetegemea kuwa kisiasa zaidi ; huyu mama Msuya uteuzi wake sio wa kisiasa na sio mwanasiasa ni mtendaji!!! Hata hivyo she will be well advised kujitahidi kuwapa nafasi watanzania wenzie pale nafasi zinapojitokeza; asije akawa kama AshaRose Migiro alipokuwa huko ambapo hakufanya jitihada zozote za kuwapatia nafasi Watanzania kama wafanyavyo mataifa mengine!!! Hongera zako mama.
Hujui kitu wewe kaaa kimya
 
Stuxnet,

..hii sio lateral movement ndani ya UN? hebu angalia hapo chini.

Nafasi ya zamani:-
Assistant Secretary-General and Deputy Executive Director of the United Nations Environment Programme in Nairobi, Kenya.

Nafasi mpya:-
Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs and Deputy Emergency Relief Coordinator in the Office for the Coordination of Humanitarian Affairs.
Understood, thanks
 
Buyengwa unaona kuwa nafas aliyekuwa nayo Nairobi dhidi ya hii mpya anayokwenda ziko sawa? Think twice
Haziko sawa. Ila hakuwa junior UN staff. Mtu aliyekuwa Assistant Secretary-General and Deputy Executive Director wa UNEP, huwezi kumwita junior staff mzee.
 
===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,

Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,


View attachment 2045922


===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
View attachment 2047344
Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,View attachment 2047347

#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
hako UN hakunaga kulogana huko
 
Shida hii hapa:
1639777053130.png

Shida iko wapi?
 
===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,

Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,


View attachment 2045922


===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
View attachment 2047344
Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,View attachment 2047347

#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Mkuu Salary Slip kwa machache mazuri kama haya tuipongeze Serikali ya awamu ya 6.

Mwaka Jana wakati wa Magufuli Liberata Mulamula na Cervasicus Likwelile walipata kazi za kwenda kuwa wa kuu wa Commission mbili tofauti kule African Union. Lakini Magufuli alikataa ku endorse waende na nafasi zikapewa nchi zingine
 
===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,

Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,


View attachment 2045922


===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
View attachment 2047344
Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,

Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,View attachment 2047347

#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
She is beautiful
 
Kwa hiyo sifa apewe SSH

Kama ambavyo yule katibu muheneze wa CCM katika press yake alivyosema Kamati Kuu imempongeza Mkt kwa kushughulikia vizuri tatizo la maji. Wakisahau kwamba Watu baadhi wameomba na kufunga Mwenyezi Mungu wa Mbingu akainyeshea nchi mvua. Sifa na Shukrani za Mungu anapewa mwanadamu. Hii ni kufuru kubwa na siku isiyojulikana Mungu Mkuu ataonesha hasira yake kwa sababu kasema wazi "Yeye ni Mungu mwenye wivu."
 
Back
Top Bottom