Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa UN, Rais Samia ampongeza

Mkuu Salary Slip kwa machache mazuri kama haya tuipongeze Serikali ya awamu ya 6.

Mwaka Jana wakati wa Magufuli Liberata Mulamula na Cervasicus Likwelile walipata kazi za kwenda kuwa wa kuu wa Commission mbili tofauti kule African Union. Lakini Magufuli alikataa ku endorse waende na nafasi zikapewa nchi zingine

..huyu Maza hajawahi kufanya kazi hapa Tz.

..kabla ya kwenda UN, alikuwa mtumishi wa muda mrefu wa World Bank ambako alianza ngazi za chini.

..sasa serikali yetu inaweza vipi kuhusika ktk promotion yake huko UN?

..nafasi aliteuliwa sio ya kisiasa kiasi kwamba UN-SG alazimike kupata baraka za nchi anakotokea mteuliwa.

..Likwelile na Mulamula walikuwa watumishi wa serikali, ndio maana walipotafuta kazi huko nje ilibidi wawe na referee toka serikali ya Tanzania.
 
..huyu Maza hajawahi kufanya kazi hapa Tz.

..kabla ya kwenda UN, alikuwa mtumishi wa muda mrefu wa World Bank ambako alianza ngazi za chini.

..sasa serikali yetu inaweza vipi kuhusika ktk promotion yake huko UN?

..nafasi aliteuliwa sio ya kisiasa kiasi kwamba UN-SG alazimike kupata baraka za nchi anakotokea mteuliwa.

..Likwelile na Mulamula walikuwa watumishi wa serikali, ndio maana walipotafuta kazi huko nje ilibidi wawe na referee toka serikali ya Tanzania.
Shida iko wapi?
 
..huyu Maza hajawahi kufanya kazi hapa Tz.

..kabla ya kwenda UN, alikuwa mtumishi wa muda mrefu wa World Bank ambako alianza ngazi za chini.

..sasa serikali yetu inaweza vipi kuhusika ktk promotion yake huko UN?

..nafasi aliteuliwa sio ya kisiasa kiasi kwamba UN-SG alazimike kupata baraka za nchi anakotokea mteuliwa.

..Likwelile na Mulamula walikuwa watumishi wa serikali, ndio maana walipotafuta kazi huko nje ilibidi wawe na referee toka serikali ya Tanzania.
Maybe YES maybe NO. Ila hata kama alikuwa kwenye UN system eversince I hope alikuwa junior staff. Kwenye hiyo position nahisi tu national consultaion ilikuwa involved. Nimsema nahisi
 
Tatizo humu hatujuani,Achana na Mimi

Ni sentensi mliyoitumia sana kutisha wengi na mlifanikiwa. Nikukumbushe tu - hamkufanikiwa na hamtafanikiwa kutisha “kila mtu”, na mimi ni mmoja wao.

Ukweli ni huu, kutojuana hakukufanyi wewe kuwa na upper hand. Unaweza kukuta ukinijua ndio wewe unaweza kuwa mwoga. Uko sahihi kuwa niachane na wewe, tatizo langu ni kuwa sio kila mtu/kitu ni cha kupuuza.

Tabia ya kujikombakomba, kujipendekeza, ujuaji, kizabizabina - sio mambo ya kuachwa!!! Nikikuacha utadhani kuwa hiyo ndio operating standard!!
 
Joyce Msuya was already a UN top dog prior to Samia’s presidency
Ofcourse, ni lazima awe humo tayari as a subordinate ndio apate uzoefu, na hayuko peke yake yuko na wengine wengi wa mataifa mbalimbali ila kikubwa Tanzania inaheshimika kimataifa na yeye sio wa kwanza hata awamu za marais wengine tumeona watanzania wakipata kuongoza nafasi mbalimbali za kimataifa,
Hivyo sio heshima inayobebwa na mtu kama mtu bali taifa letu lilivyojinasibisha tangu waasisi wake,
 
Maybe YES maybe NO. Ila hata kama alikuwa kwenye UN system eversince I hope alikuwa junior staff. Kwenye hiyo position nahisi tu national consultaion ilikuwa involved. Nimsema nahisi
Hakuwa junior staff. Kwanini uhisi wakati kila kitu kipo wazi? Jifunze namna kazi za kiutendaji za UN zilivyo, haswa kwenye suala la upandaji cheo.
 
Huo ushirikiano wa maswala ya kibinadamu tungetarajia uanzia nyumbani(charity begins at home).

Mnaongelea ubinadamu wakati humu nchini tuna mambo yasiyo ya kibinadamu kama kuwekeana ndani,watu kutekwa, n.k.

Ubinadamu sio kwenye majanga tu, bali ni katika kuheshima haki za binadamu.
Sasa wewe CHADOMO mtu hajaingia hata ofisini unaanza kumlalamikia duuuh,
 
..huyu Maza hajawahi kufanya kazi hapa Tz.

..kabla ya kwenda UN, alikuwa mtumishi wa muda mrefu wa World Bank ambako alianza ngazi za chini.

..sasa serikali yetu inaweza vipi kuhusika ktk promotion yake huko UN?

..nafasi aliteuliwa sio ya kisiasa kiasi kwamba UN-SG alazimike kupata baraka za nchi anakotokea mteuliwa.

..Likwelile na Mulamula walikuwa watumishi wa serikali, ndio maana walipotafuta kazi huko nje ilibidi wawe na referee toka serikali ya Tanzania.
Daah
 
Maybe YES maybe NO. Ila hata kama alikuwa kwenye UN system eversince I hope alikuwa junior staff. Kwenye hiyo position nahisi tu national consultaion ilikuwa involved. Nimsema nahisi


Joyce Msuya of United Republic of Tanzania Appointed Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs, Deputy Emergency Relief Coordinator​

United Nations Secretary-General António Guterres today announced the appointment of Joyce Msuya of the United Republic of Tanzania as Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs and Deputy Emergency Relief Coordinator in the Office for the Coordination of Humanitarian Affairs.

She succeeds Ursula Mueller of Germany, to whom the Secretary-General is deeply grateful for her leadership and dedicated service during her tenure. The Secretary-General also wishes to extend his appreciation to Ramesh Rajasingham who has been serving as Acting Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs since March 2020.

Since 2018, Ms. Msuya has served as Assistant Secretary-General and Deputy Executive Director of the United Nations Environment Programme in Nairobi, Kenya. In this position, she was responsible for a $455 million budget and a portfolio of projects and operations valued at over $1 billion, delivered through 2,500 personnel in 41 offices and headquarters.

She provided administrative leadership to 18 Multilateral Environmental Agreements secretariats, including Regional Sea Conventions. Between 2018 and 2019, she served as interim Executive Director at the Under-Secretary-General level, steering the organization towards stability, leading the fourth session of the United Nations Environment Assembly and mobilizing resources to support its mission.

She brings to the position more than 20 years of experience in international development and finance, spanning strategy, operations and partnerships, with diverse assignments in Africa, Latin America and Asia. Ms. Msuya has held several senior leadership roles at the World Bank Group, including as Special Representative and Head of the World Bank Group Office in the Republic of Korea, Regional Coordinator at the World Bank Institute based in China and Special Adviser to the Senior Vice President and Chief Economist.

She also led strategy and operations for the International Finance Corporation in Latin America and Africa, covering the manufacturing, agribusiness and services sectors.

A national of the United Republic of Tanzania, Ms. Msuya holds a Master of Science in Microbiology and Immunology from the University of Ottawa, Canada, and a Bachelor of Science in biochemistry and immunology from the University of Strathclyde, Scotland. She is fluent in English, Swahili and Pare.
 
Hakuwa junior staff. Kwanini uhisi wakati kila kitu kipo wazi? Jifunze namna kazi za kiutendaji za UN zilivyo, haswa kwenye suala la upandaji cheo.
Buyengwa unaona kuwa nafas aliyekuwa nayo Nairobi dhidi ya hii mpya anayokwenda ziko sawa? Think twice
 
Back
Top Bottom