Mtanzania atengeneza satelaiti

Mtanzania atengeneza satelaiti

Wewe kilaza huwezi kuelewa kitu
Hivi unajua maana kurusha satellite angani kunahitaji nini
Yaani mnatia aibu wabongo kwa ufahamu mdogo sana
😂😂😂, kwamba wabongo... Mwelekeze taratibu taratibu tu...
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Ni engineer Léonard Shayo ambaye pia ni fundi mitambo wa Azam Media, amefanikiwa kutengeneza satelaiti mahususi kwa ajili ya kukusanya taarifa za hali ya hewa.

Satellite hiyo imefanyiwa majaribio katika mikoa kadhaa na kutoa matokeo chanya.

Kongole Engineer Léonard Shayo

Chanzo: Azam news
Hongera zake
 
Back
Top Bottom