Hata hizo za azam ujue juu pia imerushwa angani ile umayoiona chini ni receiver tu unapokea mawimbj kutoka angani
Za angani
Hata hizo za azam ujue juu pia imerushwa angani ile umayoiona chini ni receiver tu unapokea mawimbj kutoka angani
Za angani
Vipi? Toa hoja ueleweke
Ongeza hapo na wapuuzi wengine kika Lisu,Heche ,Lema and the likesSafi sana,habari njema hii
Ila sijuwi kama watanzania watamuelewa na kumpa airtime
Watanzania wee waambie wakuna doto magari,mwijaku,baba level,konde,monde,zchu,mandonga hao ndy role model zao
Ova
Hakuna kituAzam kuna kampuni ya satellite wanailipia.
Ndio maana nlikuwa nashangaa kama amerusha hizo satellite kwenye low orbit, lakini kongole kwake kazi nzuri sana. Inapaswa waendelezwe zaidi.
Unaelewa maana ya kurusha satellite angani?Vipi? Toa hoja ueleweke
Ndio naelewaUnaelewa maana ya kurusha satellite angani?
Wanairushaje, hebu tuelimisheNdio naelewa
Nini shida?
Rocket science sio mchezo. Sio vyepesi hata kidogo.Wanairushaje, hebu tuelimishe
Nilielezeaga humuWanairushaje, hebu tuelimishe
Soma kwa undani story yake,alienda Hadi NASANatamani kujua alifanya majaribio lini ya kuipeleka angani na alifanyia wapi na kwa gharama gani
![]()
How are Satellites Launched Into Orbit? | Globalcom Satellite Phones
Introduction The vast expanse of space has always captivated human imagination, and our ability to explore and communicate across the globe has been greatly enhanced by satellites orbiting above us. These satellites serve various purposes, from weather monitoring to communication and navigation...globalcomsatphone.com
Ndio ni habari mpyaHii setlite imefikishwa lini angani? Mbona n habari mpya!
Kabisa mkuuHawa ndio watu wa kwenda nao Korea sasa sio wale Viazi wala kodi wauza CD za majini.
Ni satellite za angani mahususi kwa ajili ya kutoa matokeo ya Hali ya hewaKweli hii taarifa haina maelezo ya kutosheleza.
Sawa kibobori tumekusikiahili jina limenikumbusha mbaliBig up kijana, serikali imshike mkono ili afike mbali.
NoAsije akawa kama wale wanaotengeneza matoy ya
🔹 Ndege
🔹Cartapila
🔹Vituo vya redio
🔹Magari kwa kutumia engine za pikipiki au dizel engine
Ukweli ni UPI?Si kweli
Fuatilia Azam news wametoka taarifa ya kina kumhusu,wameenda Hadi Kwao marangu kuhoji wazazi,wametoka história yake Ktk masuala hayo,Jamaa alisomea Finland,alienda Hadi NASAKaleteni taarifa za kutosha na video ni muhimu pia. Na ikiwezekana atangazwe hadi kwenye taarifa ya habari.
Mlikosea kitu kimoja, siku ya kuzindua hiyo satelite mlitakiwa mrushe tukio laivu ili kuhamasisha wanasayansi wa ndani.
Swali kwenu wataalamu!
1. Je, hiyo satelite imerushwa kwa kutumia mtambo gani?
2. Je, hiyo satelite imerushwa humu humu Tanzania?
Au satelite huwa inarushwa kama drone tu?
Majibu ya kitaalamu tafadhali, sisi ambao hatujui tujue kabla ya kutoa pongezi mana bongo kwa sasa tunachezeana sana. Badala ya kuwa siriasi tunaleta utani huku vitu vizuri tunavitaka. Rejea gari la UDSM na Robot Yunisi
Swali hio satellite ameirushaje naona toka juu haujibu undundadunda tuFuatilia Azam news wametoka taarifa ya kina kumhusu,wameenda Hadi Kwao marangu kuhoji wazazi,wametoka história yake Ktk masuala hayo,Jamaa alisomea Finland,alienda Hadi NASA