Mtanzania atengeneza satelaiti

Mtanzania atengeneza satelaiti

Nilielezeaga humu

Kuna mawe zako, 🤣🤣🤣
 
Swali hio satellite ameirushaje naona toka juu haujibu undundadunda tu
Yaani atueleze hio launch pad ilikuwa wapi ? ni Cape Canaveral au Baikonur Cosmodrome?
anasema ni Marangu 🤣
Na hizo booster zilitumia rocket fuel gani? na je ni reusable kama za Elon Musk?
 
Watanzania watu kama hawa hawawawezi kuwaelewa
Wao wanawaelewa wakina dotto magari,mandonga,ggy money,na wapiga domo wengine

Ova
 
Yaani atueleze hio launch pad ilikuwa wapi ? ni Cape Canaveral au Baikonur Cosmodrome?
anasema ni Marangu 🤣
Na hizo booster zilitumia rocket fuel gani? na je ni reusable kama za Elon Musk?
Fuatilia Azam wameeleza Kila kitu
Usiwe na wivu ameshakuzidi Kila kitu better join him😀😀😀
 
Hee! Azam kuna mfanyakazi mkristo! Si tuliambiwa pale ajira zinatolewa kwa kuangalia dini?
 
Fuatilia Azam wameeleza Kila kitu
Usiwe na wivu ameshakuzidi Kila kitu better join him😀😀😀
Wewe kilaza huwezi kuelewa kitu
Hivi unajua maana kurusha satellite angani kunahitaji nini
Yaani mnatia aibu wabongo kwa ufahamu mdogo sana
 
Back
Top Bottom