Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

Picha ya mabere makubi tafadhali
Huyo hapo
image_search_1651610325826.jpg
 
Mabere Makubi alifukuzwa na ITV baada ya kuripoti Habari ya maandamano ya machinga Mwanza.

Alishinikizwa kwenda Kwenye vyombo vya HABARI kuomba radhi.

Akatumwa MTU ITV kwenda kushinikiza afukuzwe kazi.

Familia yake ikaanza kuteseka na akaanza kuombaomba huku waliomfanyia huu unyama wakiwa wanakula Idd na Pasaka na familia zao.

Waandishi wenzake wamemtenga, Nyanda anatumia akaunti yake ya Instagram kudhidi kumchafua akidhani anamsaidia. Anamwandika as if anamwombea msamaha kumbe indirect anamzalilisha nakutumika na system kuonyesha kwamba serikali inaweza kukufanya chochote.

Taarifa hizi nimezifikisha Kwa mdau wa masuala ya Habari nchi jirani, anafuatilia CV yake aone kama anaweza kumpa kazi ya reporter kutokea Tanzania. Wakiona CV inafaa watamchukua.

Nimeshauriana pia na wenzetu waandishi wa Habari ana wamiliki binafsi , wanaangalia namna ya kumsaudia Mzee wetu huyu aweze kuendeleza taaluma yake.

Lakini hii inatufundisha kwamba hakuna solidarity miongoni mwawana Habari. Kila Siku wanateseka lakini ukifuatilia hotuba Yao Leo is as if Kila kitu kipo sawa.

Wakati huo huo wapo mawakili wanafuatilia namna ya kuchukua hatua endapo ITV walikiuka taratibu za ajira

Tumsaidie mwenzetu; tuungane. Imeandikwa na F.T.F,
Njaa mbaya sana ,nyie waandishi wa habari mnachomana wenyewe! Unakumbuka jinsi walivyomsulubu Eric Kambendera ; unafikiri wakina nani waliohusika kama sio waandishi wa habari wenzie? You have a long way to go before you emancipate your profession!
 
Kazi nyingine jameni, acheni tuu, tusiseme!. Hii ni kazi ya wito, tunaifanya kwa mapenzi tuu. Mifano mimi ni Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea.
P

Wewe tatizo lako hukufuata elimu ya mpango wa uzazi!! Ukafuata ushauri wa msukuma mwenzio HOOK, LINE and SINKER!!
 
Hivi hawa waandishi wa Tanzania wanasoma vyuo gani?!
Sasa huyu Beatrice Kamugisha naye ni mwandishi wa habari?!
Ana tofauti gani na Mama Ntilie wa pale Manzese!?
Mwandishi wa habari eti anaandika " anamzalilisha"!
Hivi kama kiswahili tu ni shida kwa waandishi wa Tanzania, vipi kiingereza ?!
Sijui hata kama Waandishi wa Tanzania wanafuatilia kuona wenzao kama wa hapo Kenya walivyo smart!
Waandishi wamekalia umbea umbea tu ,upstairs zeeero!
Ukiamua kuwa mwandishi wekeza kwenye taaluma yako! Onyesha tofauti kati yako na mtu ambaye si wa taaluma yako!
Mwandishi ambaye hata maana ya maneno hajui una tofauti gani na kibaka wewe!!
Utawasikia wakitamka maneno kama "arizi' "zarau",zahabu, zambi, zalilisha, mirasi, habali,!
Vyuo gani na walimu gani waliwafundisha haya maujinga??!
Mnatia hasira sana Makanjanja nyie!
 
Hivi hawa waandishi wa Tanzania wanasoma vyuo gani?!
Sasa huyu Beatrice Kamugisha naye ni mwandishi wa habari?!
Ana tofauti gani na Mama Ntilie wa pale Manzese!?
Mwandishi wa habari eti anaandika " anamzalilisha"!
Hivi kama kiswahili tu ni shida kwa waandishi wa Tanzania, vipi kiingereza ?!
Sijui hata kama Waandishi wa Tanzania wanafuatilia kuona wenzao kama wa hapo Kenya walivyo smart!
Waandishi wamekalia umbea umbea tu ,upstairs zeeero!

Are you trashing her qualifications because of a one word"MISTAKE"?
 
Wakatoliki hawaruhusu polygamy!!!
It's true Mimi ni Mkatoliki wa The African Catholic, tuna ndoa moja ya kanisani na nyingine za kimila, Mungu na Bible,haijakataza polygamy popote!. Hivyo kuna vitu tunafuata amri za kanisa, lakini vingine tunafuata Amri za Mungu mwenyewe.

P.
 
Back
Top Bottom