Not true, Mzee Mengi was very intelligent, biashara zake zote alisha ziundia a defined management system to manage them, warithi wanakula gawio.ITV hii hii, Baada ya Kifo cha Mzee na yenyewe pia inakaribia Kufa..!
Labda kolo kabisa.Kwahiyo Uhuru wa vyombo vya habari bado ni utopolo
Wengi malipo ni 15K-20K kwa story. Hakuna mshahara wala mkatabaIt's very painful!, most media correspondences ni deiwaka!.
Hili nililijua baada ya kifo cha Daudi Mwangosi wa Channel Ten.
P
Huyo hapoPicha ya mabere makubi tafadhali
AZAM MEDIA CHUKUENI JEMBE HILI,SIONI KOSA LAKE KIMSINGI,KURIPOTI TATIZO NDIO IWE NONGWA,KWANI KAZI YAKE NI NINI?....Mungu mbariki Mabere Makubi
Ahsante sana
Njaa mbaya sana ,nyie waandishi wa habari mnachomana wenyewe! Unakumbuka jinsi walivyomsulubu Eric Kambendera ; unafikiri wakina nani waliohusika kama sio waandishi wa habari wenzie? You have a long way to go before you emancipate your profession!Mabere Makubi alifukuzwa na ITV baada ya kuripoti Habari ya maandamano ya machinga Mwanza.
Alishinikizwa kwenda Kwenye vyombo vya HABARI kuomba radhi.
Akatumwa MTU ITV kwenda kushinikiza afukuzwe kazi.
Familia yake ikaanza kuteseka na akaanza kuombaomba huku waliomfanyia huu unyama wakiwa wanakula Idd na Pasaka na familia zao.
Waandishi wenzake wamemtenga, Nyanda anatumia akaunti yake ya Instagram kudhidi kumchafua akidhani anamsaidia. Anamwandika as if anamwombea msamaha kumbe indirect anamzalilisha nakutumika na system kuonyesha kwamba serikali inaweza kukufanya chochote.
Taarifa hizi nimezifikisha Kwa mdau wa masuala ya Habari nchi jirani, anafuatilia CV yake aone kama anaweza kumpa kazi ya reporter kutokea Tanzania. Wakiona CV inafaa watamchukua.
Nimeshauriana pia na wenzetu waandishi wa Habari ana wamiliki binafsi , wanaangalia namna ya kumsaudia Mzee wetu huyu aweze kuendeleza taaluma yake.
Lakini hii inatufundisha kwamba hakuna solidarity miongoni mwawana Habari. Kila Siku wanateseka lakini ukifuatilia hotuba Yao Leo is as if Kila kitu kipo sawa.
Wakati huo huo wapo mawakili wanafuatilia namna ya kuchukua hatua endapo ITV walikiuka taratibu za ajira
Tumsaidie mwenzetu; tuungane. Imeandikwa na F.T.F,
AZAM MEDIA CHUKUENI JEMBE HILI,SIONI KOSA LAKE KIMSINGI,KURIPOTI TATIZO NDIO IWE NONGWA,KWANI KAZI YAKE NI NINI?....
Kazi nyingine jameni, acheni tuu, tusiseme!. Hii ni kazi ya wito, tunaifanya kwa mapenzi tuu. Mifano mimi ni Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea.Nikikumbuka Msiba wa Nyaisanga, ndiyo uwa naona hiyo kazi ni Bure Kabisa.
Kazi nyingine jameni, acheni tuu, tusiseme!. Hii ni kazi ya wito, tunaifanya kwa mapenzi tuu. Mifano mimi ni Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea.
P
No huko tusiingie, vitu vingine ni kudhalilishana na kuaibishana, mshahara wa mtu ni siri ya mtu.Malipo ni 15K per story. Hakuna mshahara wala mkataba
Mimi ni Catholic, mpango wowote wa uzazi kwa Mkatoliki ni dhambi.Wewe tatizo lako hukufuata elimu ya mpango wa uzazi!!
Mimi ni Catholic, mpango wowote wa uzazi kwa Mkatoliki ni dhambi.
P
Waendesha vp familia yako saKazi nyingine jameni, acheni tuu, tusiseme!. Hii ni kazi ya wito, tunaifanya kwa mapenzi tuu. Mifano mimi ni Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea.
P
Hivi hawa waandishi wa Tanzania wanasoma vyuo gani?!
Sasa huyu Beatrice Kamugisha naye ni mwandishi wa habari?!
Ana tofauti gani na Mama Ntilie wa pale Manzese!?
Mwandishi wa habari eti anaandika " anamzalilisha"!
Hivi kama kiswahili tu ni shida kwa waandishi wa Tanzania, vipi kiingereza ?!
Sijui hata kama Waandishi wa Tanzania wanafuatilia kuona wenzao kama wa hapo Kenya walivyo smart!
Waandishi wamekalia umbea umbea tu ,upstairs zeeero!
It's true Mimi ni Mkatoliki wa The African Catholic, tuna ndoa moja ya kanisani na nyingine za kimila, Mungu na Bible,haijakataza polygamy popote!. Hivyo kuna vitu tunafuata amri za kanisa, lakini vingine tunafuata Amri za Mungu mwenyewe.Wakatoliki hawaruhusu polygamy!!!