Mtanganyika wa kwanza kuhutubia UN

Mkuu kwani hujui kwamba hata uhuru alipigania peke yake
il hali watu chungu mzima waliacha kazi ku sabatage wakoloni

Haya ndiyo matokeo ya propaganda za Mohamed Said.

Historia haisemi kuwa Nyerere alipigania uhuru peke yake bali inasema aliongoza mapambano ya kudai Uhuru. Ukiongoza unakuwa na wafuasi wengi wanaosadia kufikia lengo hilo. Mandela wa SA alifungwa miaka 26 jela lakini mapambano ya uhuru yaliendelezwa kwa inspiration alioanza na mpaka leo anapewa credit ya kuongoza mapambano hayo. Hata ukimchukia Nyerere ni vizuri pia uwe mwungwana na kutoa credit panapohusika. Hata jeshi letu lina askari wengi sana lakini lilipoenda kutuliza maasi huko Komoro, credit zilikuja kwa Kikwete kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu. Jeshi la Marekani lilipomuua Osama, credit zilikwenda kwa Obama kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi na mpaka leo hujui ni askari yupi aliyempiga risasi na kumwua Osama
 
Tatizo la wanahistoria wengi hawataki kuijulisha jamii ukweli wa historia ya Tanzania. Sijui huu woga utaisha lini. Huyu Bwana Japher Kirilo wengi hatumjui, ingawa alisaidia kuleta kashkash kwa wazungu ili waelewe Watanzania wameshaanza kujitambua. Lakini watawala hawataki ajulikane kabisaa!
Kwezisho,
Mgogoro wa ardhi ya Wameru ulimsaidia sana Abdul Sykes na TAA kwa
ujumla kuwaamsha Watanganyika kuona madhila ya ukoloni.
 
Haya ndiyo matokeo ya propaganda za Mohamed Said.

Historia haisemi kuwa Nyerere alipigania uhuru peke yake bali inasema aliongoza mapambano ya kudai Uhuru. Ukiongoza unakuwa na wafuasi wengi wanaosadia kufikia lengo hilo. Mandela wa SA alifungwa miaka 26 jela lakini mapambano ya uhuru yaliendelezwa kwa inspiration alioanza na mpaka leo anapewa credit ya kuongoza mapambano hayo. Hata ukimchukia Nyerere ni vizuri pia uwe mwungwana na kutoa credit panapohusika. Hata jeshi letu lina askari wengi sana lakini lilipoenda kutuliza maasi huko Komoro, credit zilikuja kwa Kikwete kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu. Jeshi la Marekani lilipomuua Osama, credit zilikwenda kwa Obama kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi na mpaka leo hujui ni askari yupi aliyempiga risasi na kumwua Osama
Kichuguu,
Mimi sijafanya propaganda yoyote.
Mimi nimeandika kitabu cha historia kusahihisha historia rasmi.

Hii haiwezi kuwa propaganda hata kwa mbali.

Katika ''excerpts'' niliyoweka hapa barzani kuhusu Japhet Kirilo
kutoka kitabu cha Abdul Sykes nimeandika maneno haya:

''Japhet Kirilo na Earle Seaton wameandika kitabu, ‘’The Meru
Land Case,’’ kuhusu mgogoro wa ardhi ya Wameru ambayo
ardhi yao ilichukuliwa na Wazungu bila fidia. Mimi nimekieleza
kisa hiki kufuatana na jinsi Abdulwahid Sykes akiwa kiongozi wa
TAA alivyokishughulikia akishirikiana na Earle Seaton na Japhet
Kirilo kwa nia ya kuongeza ufahamu wa mkasa huu.''

Nyerere anaingiaje hapa ilhali hata kuwepo katika harakati hizi
hakuwepo?

Katika blog yangu mkasa huu nimeupa kichwa cha habari hicho
hapo chini:
Mohamed Said: ABDULWAHID SYKES, JAPHET KIRILO, NA EARLE SEATON, 1952

Nataka nihitimishe hapa kwa kukueleza kuwa ''publisher,'' mmoja
wa hapa Tanzania aliposoma kipande hiki cha Abdul, Kirilo na Seaton
alichanganyikiwa kabisa.

Hii ilikuwa historia mpya kwake na aliniuliza nimejuaje yote haya?
Akaniambia, ''Unajua bwana mdogo kuwa hiki kitabu chako mgodi
wa dhahabu?

Hii ilikuwa miaka ya 1980.

vePfYlYLX4CRxPsDtHr2a65cLWG427-RVYMZIsac2udAmjdvVO5YCPQPsjU7IDvkETvmfPL1AwgbgM5iFLAFOfyvPycUsJMyfJZZo2yDiPIPKlJWwc0TMh93bWmLk7jqXDqQqfUn_ovG48zukQGr7ksBXy_0AFqpLKS0dUk_WxAysHQMHcSWljmCqbZe6X8TyGiWcMTBqc5jynKrW48dCeKubm63SNeNda0CEHlUWZAiDV_HTgE2EOpnYLadAb-nn5E2qjuIHjbMyTCGaDpQtc8Mwsc0XDZZzszGfqSJqmVeV82OKyav4zXCR60eojw1JHtwIzGGyIksLJQ0UdL1_eWwnRXVRspU_g3kackTPqJxC_RziRoMp9NnTP4SuGDWT0jCo7VQGFfqG29Rneq9H7DWniAGuTKBcBjnC2_8i_R7xq-EyW1CqQacOnqf_VnvUIGJ9bXDZDcv90WIwjJVYIG-WNLw-2rkwTj9XjECkKjNQkIFMctKS_W5pnO1g0mkxr0nS4Uwlcz0YvA9TKMDBZDMXaD6vkhssjWpkpTfb-gTnx0qXAWJNoT27uz12gjTrCugqd3Pmb_2Sefj19eaPDRSLMeeoAY=w986-h657-no

Earle Seaton na Julius Nyerere katika Tanzania huru.
 
Kichuguu,
Mimi sijafanya propaganda yoyote.
Mimi nimeandika kitabu cha historia kusahihisha historia rasmi.

Hii haiwezi kuwa propaganda hata kwa mbali.

Katika ''excerpts'' niliyoweka hapa barzani kuhusu Japhet Kirilo
kutoka kitabu cha Abdul Sykes nimeandika maneno haya:

''Japhet Kirilo na Earle Seaton wameandika kitabu, ‘’The Meru
Land Case,’’ kuhusu mgogoro wa ardhi ya Wameru ambayo
ardhi yao ilichukuliwa na Wazungu bila fidia. Mimi nimekieleza
kisa hiki kufuatana na jinsi Abdulwahid Sykes akiwa kiongozi wa
TAA alivyokishughulikia akishirikiana na Earle Seaton na Japhet
Kirilo kwa nia ya kuongeza ufahamu wa mkasa huu.''

Nyerere anaingiaje hapa ilhali hata kuwepo katika harakati hizi
hakuwepo?

Katika blog yangu mkasa huu nimeupa kichwa cha habari hicho
hapo chini:
Mohamed Said: ABDULWAHID SYKES, JAPHET KIRILO, NA EARLE SEATON, 1952

Nataka nihitimishe hapa kwa kukueleza kuwa ''publisher,'' mmoja
wa hapa Tanzania aliposoma kipande hiki cha Abdul, Kirilo na Seaton
alichanganyikiwa kabisa.

Hii ilikuwa historia mpya kwake na aliniuliza nimejuaje yote haya?
Akaniambia, ''Unajua bwana mdogo kuwa hiki kitabu chako mgodi
wa dhahabu?

Hii ilikuwa miaka ya 1980.

vePfYlYLX4CRxPsDtHr2a65cLWG427-RVYMZIsac2udAmjdvVO5YCPQPsjU7IDvkETvmfPL1AwgbgM5iFLAFOfyvPycUsJMyfJZZo2yDiPIPKlJWwc0TMh93bWmLk7jqXDqQqfUn_ovG48zukQGr7ksBXy_0AFqpLKS0dUk_WxAysHQMHcSWljmCqbZe6X8TyGiWcMTBqc5jynKrW48dCeKubm63SNeNda0CEHlUWZAiDV_HTgE2EOpnYLadAb-nn5E2qjuIHjbMyTCGaDpQtc8Mwsc0XDZZzszGfqSJqmVeV82OKyav4zXCR60eojw1JHtwIzGGyIksLJQ0UdL1_eWwnRXVRspU_g3kackTPqJxC_RziRoMp9NnTP4SuGDWT0jCo7VQGFfqG29Rneq9H7DWniAGuTKBcBjnC2_8i_R7xq-EyW1CqQacOnqf_VnvUIGJ9bXDZDcv90WIwjJVYIG-WNLw-2rkwTj9XjECkKjNQkIFMctKS_W5pnO1g0mkxr0nS4Uwlcz0YvA9TKMDBZDMXaD6vkhssjWpkpTfb-gTnx0qXAWJNoT27uz12gjTrCugqd3Pmb_2Sefj19eaPDRSLMeeoAY=w986-h657-no

Earle Seaton na Julius Nyerere katika Tanzania huru.

Unfortunately sikuweza kuona attachment yako; ninatumia Cable 200mbs/20mbs hivyo sina tatizo la kudownload na nina imani kuwa mtandao wangu ni mzuri. Jaribu kuweka attachment yako mtandaoni vizuri tena ili niweze kuisoma au kuisikiliza sawasawa.

Bwana Said Mohammed, lazima nianze kwa kukupongeza kuwa huwa unafanya utafiti wa historia kwa muda mrefu na kwa uhakika sana; una information nyingi sana za kihistoria kuhusu Tanzania na hilo halina ubishi. Sitakuwa mwungwana kama nitapinga ukweli huo. Tatizo lako kubwa ni kuwa huwa unaripoti matokeo ya utafiti wako ukiwa skewed kidini kuonyesha kuwa dini unayoamini ilifanya kazi kubwa sana kuleta Uhuru wa Tanganyika kuliko dini usizoamini na unadhani kuwa dini unayoamaini haipewi credit inayostahili. Imekuwa ni kawaida vitabu vyako kuuzwa kwa wingi misikitini kuliko sehemu nyingine yoyote ile kwa sababu hata mimi nimepata vitabu vyako kutokea miskitini.

Inawezekena nimetumia neno propaganda vibaya kidogo kwa vile lina maana pana zaidi ya nilivyotaka kusema. Nimeshaoma vitabu vyako kadhaa na kutambua kuwa ingawa huwa vinasema ukweli, huwa pia vinafisha ukweli mwingine kwa makusudi, jambo ambalo wenzetu wanasema TRUE BUT MISLEADING. Vitabu vyako nilivyosoma ni vya aina hiyo ambapo unaweza kuandika kuhusu Meru lakini lengo lako ni kutaka kusema kuwa Abdul alifanya mambo makubwa kuliko Nyerere lakini hatamabuliwi. Ni kweli but misleading. Sijui neno la kiswahili linalokaribiana na hali hiyo ndiyo maana nikatumia propaganda. Watu walioshiriki kugombea Uhuru wa Tanganyika ni wengi sana kuliko unavyoamini, na wala hakujawa na juhudi za serikali kimakusudi kudharau mchango wao kwa ajili ya kumtukuza Nyerere, hata hivyo ni jambo la kawaida kabisa kwa credit kwenda kwa yule aliyewaongoza ambaye ni Nyerere.

Mimi ni mwana sayansi asili (Natural Sciences) lakini ni mpenzi sana wa historia, ambaye ndiye niliyeanzisha juhudi za kutaka hili jukwaa la historia kufunguliwa hapa JF. Ninasoma sana historia kutoka kwa waandishi mbalimbali ikiwa ni pamoja na uandishi wako. Kwako nimekuwa kila mara nachambua pumba na mchele kwani huwa unazichanganya sana hasa ukizingania kuwa zote zinatokana na mpunga!
 
Unfortunately sikuweza kuona attachment yako; ninatumia Cable 200mbs/20mbs hivyo sina tatizo la kudownload, hivyo nina imani kuwa mtandao wangu ni mzuri. Jaribu kuweka attachament yako mtandaoni vizuri tena ili tuweze kuisoma au kuiskiliza sawasawa.

Bwana Said Mohammed, lazima nianze kwa kukupongeza kuwa huwa unafanya utafiti wa historia kwa muda mrefu na kwa uhakika sana; una information nyingi sana za kihistoria kuhusu Tanzania na hilo halina ubishi. Sitakuwa mwungwana kama nitapinga ukweli huo. Tatizo lako kubwa ni kuwa huwa unaripoti matokeo ya utafiti wako ukiwa skewed kidini kuonyesha kuwa dini unayoamini ilifanya kazi kubwa sana kuleta Uhuru wa Tanganyika kuliko dini usizoamini na unadhani kuwa dini unayoamaini haipewi credit inayostahili. Imekuwa ni kawaida vitabu vyako kuuzwa kwa wingi misikitini kuliko sehemu nyingine yoyote ile kwa sababu hata mimi nimepata vitabu vyako kutokea miskitini.

Inawezekena nimetumia neno propaganda vibaya kidogo kwa vile lina maana pana zaidi ya nilivyotaka kusema. Nimeshaoma vitabu vyako kadhaa na kutambua kuwa ingawa huwa vinasema ukweli, huwa pia vinafisha ukweli mwingine kwa makusudi, jambo ambalo wenzetu wanasema TRUE BUT MISLEADING. Vitabu vyako nilivyosoma ni vya aina hiyo ambapo unaweza kuandika kuhusu Meru lakini lengo lako ni kutaka kusema kuwa Abdul alifanya mambo makubwa kuliko Nyerere lakini hatamabuliwi. Ni kweli but misleading. Sijui neno la kiswahili linalokaribiana na hali hiyo ndiyo maana nikatumia propaganda. Watu walioshiriki kugombea Uhuru wa Tanganyika ni wengi sana kuliko unavyoamini, na wala hakujawa na juhudi za serikali kimakusudi kudharau mchango wao kwa ajili ya kumtukuza Nyerere, hata hivyo ni jambo la kawaida kabisa kwa credit kwenda kwa yule aliyewaongoza ambaye ni Nyerere.

Mimi ni mwana sayansi asili (Natural Sciences) lakini ni mpenzi sana wa historia, ambaye ndiye niliyeanzisha juhudi za kutaka hili jukwaa la historia kufunguliwa hapa JF. Ninasoma sana historia kutoka kwa waandishi mbalimbali ikiwa ni pamoja na uandishi wako. Kwako nimekuwa kila mara nachambua pumba na mchele kwani huwa unazichanganya sana hasa ukizingania kuwa zote zinatokana na mpunga!
Kichuguu,
Ahsante.

Kama kuna uwezekano wa kunifahamisha attach. ambazo umeshindwa
kuzifungua tafadhali niwekee nijaribu kuziweka upya.

Hayo uliyosema kuhusu utafiti na uandishi wangu wala hukukosea kwani nia yangu
ilikuwa kuandika maisha ya Abdul Sykes na mchango wa Waislam si tu kwa kupigania
uhuru wa Tanganyika bali hata katika kumtia Nyerere katika siasa za Dar es Salaam ya
1950s.

Ikiwa ukweli huu huutaki mimi sina tatizo mimi nilichofanya ni kuirejesha historia ya kweli
ya TANU na uhuru wa Tanganyika kama nilivyohadithiwa na wazee wangu.

Simlazimishi mtu kuikubali niliyoandika.

Msomaji ana uhuru wa kuanza historia ya TANU na Nyerere 1952 na hata asiwataje Abdul
na Ally Sykes wala Sheikh Hassan bin Amir, Mshume Kiyate wala Hamza Mwapachu
kwa kuwataja wachache.

Kuna tofauti moja kubwa na muhimu baina yetu.

Mimi nina taarifa ambazo wewe huna kuhusu nini kilitokea hata ikawa jina la Abdul
Sykes
na wazalendo wengine kufutwa katika historia ya TANU.

Najua pia nini kilikuwa kinehofiwa.
Na haya si kwa historia ya TANU.

Ukenda katika historia ya Vita Vya Maji Maji mambo ni hayo hayo.

Jina la Sultani Abdul Rauf bin Songea Mbano kukupa mfano mmoja tu, limefutwa
badala yake limwekwa la Songea Mbano na waliofanya haya wanajulikana.

Naamini wewe unajua athari ya kisaikolojia kama majina ya kweli ya wale majemadari
66 wa Maji Maji walionyongwa na Wajerumani kwenye kaburi lao la pamoja yangeandikwa
majina ya akina Sultani Hassan bin Khamis Massaninga na wenzake.

Nadhani unajua maswali ambayo mtu angejiuliza kila akisoma jina anaingia ''bin fulani...''
Sultani Abdul Rauf bin Songea Mbano, Sultani Hassan bin Khamis Massaninga..
na huo ndiyo ukawa mtiririko...bin wa bin, bin wa bin.

Historia ya TANU nayo ni hivyo hivyo.

Mimi sina taarifa kama kitabu changu kinauzwa misikitini ila ninachoweza kusema ni kuwa
nimeshuhudia kitabu changu kikiuzwa nje ya msikiti wa Ngazija pamoja na kitabu cha John
Sivalon
wala sikuhisi vibaya kwani mimi binafsi nimenunua vitabu kadhaa pale Cathedral
Bookshop ingawa sipaiti pale kanisani ingawa duka lile ni la Kanisa Katoliki likiwa ndani ya
uwanja wa kanisa.
 
Unfortunately sikuweza kuona attachment yako; ninatumia Cable 200mbs/20mbs hivyo sina tatizo la kudownload, hivyo nina imani kuwa mtandao wangu ni mzuri. Jaribu kuweka attachament yako mtandaoni vizuri tena ili tuweze kuisoma au kuiskiliza sawasawa.

Bwana Said Mohammed, lazima nianze kwa kukupongeza kuwa huwa unafanya utafiti wa historia kwa muda mrefu na kwa uhakika sana; una information nyingi sana za kihistoria kuhusu Tanzania na hilo halina ubishi. Sitakuwa mwungwana kama nitapinga ukweli huo. Tatizo lako kubwa ni kuwa huwa unaripoti matokeo ya utafiti wako ukiwa skewed kidini kuonyesha kuwa dini unayoamini ilifanya kazi kubwa sana kuleta Uhuru wa Tanganyika kuliko dini usizoamini na unadhani kuwa dini unayoamaini haipewi credit inayostahili. Imekuwa ni kawaida vitabu vyako kuuzwa kwa wingi misikitini kuliko sehemu nyingine yoyote ile kwa sababu hata mimi nimepata vitabu vyako kutokea miskitini.

Inawezekena nimetumia neno propaganda vibaya kidogo kwa vile lina maana pana zaidi ya nilivyotaka kusema. Nimeshaoma vitabu vyako kadhaa na kutambua kuwa ingawa huwa vinasema ukweli, huwa pia vinafisha ukweli mwingine kwa makusudi, jambo ambalo wenzetu wanasema TRUE BUT MISLEADING. Vitabu vyako nilivyosoma ni vya aina hiyo ambapo unaweza kuandika kuhusu Meru lakini lengo lako ni kutaka kusema kuwa Abdul alifanya mambo makubwa kuliko Nyerere lakini hatamabuliwi. Ni kweli but misleading. Sijui neno la kiswahili linalokaribiana na hali hiyo ndiyo maana nikatumia propaganda. Watu walioshiriki kugombea Uhuru wa Tanganyika ni wengi sana kuliko unavyoamini, na wala hakujawa na juhudi za serikali kimakusudi kudharau mchango wao kwa ajili ya kumtukuza Nyerere, hata hivyo ni jambo la kawaida kabisa kwa credit kwenda kwa yule aliyewaongoza ambaye ni Nyerere.

Mimi ni mwana sayansi asili (Natural Sciences) lakini ni mpenzi sana wa historia, ambaye ndiye niliyeanzisha juhudi za kutaka hili jukwaa la historia kufunguliwa hapa JF. Ninasoma sana historia kutoka kwa waandishi mbalimbali ikiwa ni pamoja na uandishi wako. Kwako nimekuwa kila mara nachambua pumba na mchele kwani huwa unazichanganya sana hasa ukizingania kuwa zote zinatokana na mpunga!
Kichuguu,
Ahsante.

Kama kuna uwezekano wa kunifahamisha attach. ambazo umeshindwa
kuzifungua tafadhali niwekee nijaribu kuziweka upya.

Hayo uliyosema kuhusu utafiti na uandishi wangu wala hukukosea kwani nia yangu
ilikuwa kuandika maisha ya Abdul Sykes na mchango wa Waislam si tu kwa kupigania
uhuru wa Tanganyika bali hata katika kumtia Nyerere katika siasa za Dar es Salaam ya
1950s.

Ikiwa ukweli huu huutaki mimi sina tatizo mimi nilichofanya ni kuirejesha historia ya kweli
ya TANU na uhuru wa Tanganyika kama nilivyohadithiwa na wazee wangu.

Simlazimishi mtu kuikubali niliyoandika.

Msomaji ana uhuru wa kuanza historia ya TANU na Nyerere 1952 na hata asiwataje Abdul
na Ally Sykes wala Sheikh Hassan bin Amir, Mshume Kiyate wala Hamza Mwapachu
kwa kuwataja wachache.

Kuna tofauti moja kubwa na muhimu baina yetu.

Mimi nina taarifa ambazo wewe huna kuhusu nini kilitokea hata ikawa jina la Abdul
Sykes
na wazalendo wengine kufutwa katika historia ya TANU.

Najua pia nini kilikuwa kinehofiwa.
Na haya si kwa historia ya TANU.

Ukenda katika historia ya Vita Vya Maji Maji mambo ni hayo hayo.

Jina la Sultani Abdul Rauf bin Songea Mbano kukupa mfano mmoja tu, limefutwa
badala yake limwekwa la Songea Mbano na waliofanya haya wanajulikana.

Naamini wewe unajua athari ya kisaikolojia kama majina ya kweli ya wale majemadari
66 wa Maji Maji walionyongwa na Wajerumani kwenye kaburi lao la pamoja yangeandikwa
majina ya akina Sultani Hassan bin Khamis Massaninga na wenzake.

Nadhani unajua maswali ambayo mtu angejiuliza kila akisoma jina anaingia ''bin fulani...''
Sultani Abdul Rauf bin Songea Mbano, Sultani Hassan bin Khamis Massaninga..
na huo ndiyo ukawa mtiririko...bin wa bin, bin wa bin.

Historia ya TANU nayo ni hivyo hivyo.

Mimi sina taarifa kama kitabu changu kinauzwa misikitini ila ninachoweza kusema ni kuwa
nimeshuhudia kitabu changu kikiuzwa nje ya msikiti wa Ngazija pamoja na kitabu cha John
Sivalon
wala sikuhisi vibaya kwani mimi binafsi nimenunua vitabu kadhaa pale Cathedral
Bookshop ingawa sipaiti pale kanisani ingawa duka lile ni la Kanisa Katoliki likiwa ndani ya
uwanja wa kanisa.
 
Kichuguu,
Ahsante.

Kama kuna uwezekano wa kunifahamisha attach. ambazo umeshindwa
kuzifungua tafadhali niwekee nijaribu kuziweka upya.

Hayo uliyosema kuhusu utafiti na uandishi wangu wala hukukosea kwani nia yangu
ilikuwa kuandika maisha ya Abdul Sykes na mchango wa Waislam si tu kwa kupigania
uhuru wa Tanganyika bali hata katika kumtia Nyerere katika siasa za Dar es Salaam ya
1950s.

Ikiwa ukweli huu huutaki mimi sina tatizo mimi nilichofanya ni kuirejesha historia ya kweli
ya TANU na uhuru wa Tanganyika kama nilivyohadithiwa na wazee wangu.

Simlazimishi mtu kuikubali niliyoandika.

Msomaji ana uhuru wa kuanza historia ya TANU na Nyerere 1952 na hata asiwataje Abdul
na Ally Sykes wala Sheikh Hassan bin Amir, Mshume Kiyate wala Hamza Mwapachu
kwa kuwataja wachache.

Kuna tofauti moja kubwa na muhimu baina yetu.

Mimi nina taarifa ambazo wewe huna kuhusu nini kilitokea hata ikawa jina la Abdul
Sykes
na wazalendo wengine kufutwa katika historia ya TANU.

Najua pia nini kilikuwa kinehofiwa.
Na haya si kwa historia ya TANU.

Ukenda katika historia ya Vita Vya Maji Maji mambo ni hayo hayo.

Jina la Sultani Abdul Rauf bin Songea Mbano kukupa mfano mmoja tu, limefutwa
badala yake limwekwa la Songea Mbano na waliofanya haya wanajulikana.

Naamini wewe unajua athari ya kisaikolojia kama majina ya kweli ya wale majemadari
66 wa Maji Maji walionyongwa na Wajerumani kwenye kaburi lao la pamoja yangeandikwa
majina ya akina Sultani Hassan bin Khamis Massaninga na wenzake.

Nadhani unajua maswali ambayo mtu angejiuliza kila akisoma jina anaingia ''bin fulani...''
Sultani Abdul Rauf bin Songea Mbano, Sultani Hassan bin Khamis Massaninga..
na huo ndiyo ukawa mtiririko...bin wa bin, bin wa bin.

Historia ya TANU nayo ni hivyo hivyo.

Mimi sina taarifa kama kitabu changu kinauzwa misikitini ila ninachoweza kusema ni kuwa
nimeshuhudia kitabu changu kikiuzwa nje ya msikiti wa Ngazija pamoja na kitabu cha John
Sivalon
wala sikuhisi vibaya kwani mimi binafsi nimenunua vitabu kadhaa pale Cathedral
Bookshop ingawa sipaiti pale kanisani ingawa duka lile ni la Kanisa Katoliki likiwa ndani ya
uwanja wa kanisa.


Historia ya Tanzania mashuleni hai;engi kuelezea TANU na Nyerere tu, bali huangalia historia ya Tanzania kwa kirefu kianzia Zinja Thropus hadi Uhuru, na sehemu ya TANU huwa ni ndogo sana. Katika sehemu hiyo ndogo ya TANU huwezi kuorodhesha majina ya wote walioshiriki bali wale viongozi wakuu tu. Abdul Sykes huwa anatajwa katika historia hiyo ila inawezekana hapewi uzito unaotegemea. Kati ya vitabu vinavyoelezea kwakina sana historia ya TANU ni "Mikiki mikiki ya Siasa Tanganyika" kilichoandikwa na Edward Barungira Munyangi Barongo. Je uliwahi kukisoma na ukagundua kuwa kinapotosha hakitoa credit kwa Abdul Sykes unavyodhani anastahili? Nikiwa jeshini pale Ruvu tulikwenda kumtembelea mzee Azizi Dovya pale nyumbani kwake Mlandizi mwaka 1981 kutokana na jinsi kamisaa wa siasa pale JKT alivyokuwa ameelezea mchango wake katika harakati za siasa. Majina yote tulikuwa tunayasoma kama ya "watanzania walioshiriki kugombea uhuru" na wala hatukuwa tunawaona kama "waislamu waliotoa mchango mkubwa kuliko Nyerere lakini wanasahauliwa."
 
Historia ya Tanzania mashuleni hai;engi kuelezea TANU na Nyerere tu, bali huangalia historia ya Tanzania kwa kirefu kianzia Zinja Thropus hadi Uhuru, na sehemu ya TANU huwa ni ndogo sana. Katika sehemu hiyo ndogo ya TANU huwezi kuorodhesha majina ya wote walioshiriki bali wale viongozi wakuu tu. Abdul Sykes huwa anatajwa katika historia hiyo ila inawezekana hapewi uzito unaotegemea. Kati ya vitabu vinavyoelezea kwakina sana historia ya TANU ni "Mikiki mikiki ya Siasa Tanganyika" kilichoandikwa na Edward Barungira Munyangi Barongo. Je uliwahi kukisoma na ukagundua kuwa kinapotosha hakitoa credit kwa Abdul Sykes unavyodhani anastahili? Nikiwa jeshini pale Ruvu tulikwenda kumtembelea mzee Azizi Dovya pale nyumbani kwake Mlandizi mwaka 1981 kutokana na jinsi kamisaa wa siasa pale JKT alivyokuwa ameelezea mchango wake katika harakati za siasa. Majina yote tulikuwa tunayasoma kama ya "watanzania walioshiriki kugombea uhuru" na wala hatukuwa tunawaona kama "waislamu waliotoa mchango mkubwa kuliko Nyerere lakini wanasahauliwa."
Kichuguu,
Ukweli mimi wala sijui hapa tunabishana kwa sababu ipi.

Nimesoma vitabu vyote kuhusu historia ya Tanganyika pamoja na kitabu
cha Edward Barongo.

Ukitazama ''bibliography,'' katika kitabu cha Abdul Sykes kitabu hicho
utakiona nimekiorodhesha.

Mimi nimesoma pia nyaraka za Sykes na hizi nyaraka ndizo zilizonitia
hamu ya kuandika historia ya Abdul Sykes.

Katika nyaraka hizo nilikutana na mengi kuanzia 1890s pale Sykes
Mbuwane
alipoingia Tanganyika kama askari mamluki akiongozana
na Herman Von Wissman akitokea Mozambique.

Ikiwa wewe kwako historia ya Sheikh Hassan bin Amir katika uhuru
wa Tanganyika ni mzalendo tu alioshiriki katika uhuru wa TANU ingawa
hajatajwa popote katika historia hiyo, mimi sina tatizo na wewe ila usione
vibaya mimi nikimtaja na nikieleza mchango wake.

Halkadhalika usione vibaya nikieleza kuwa Waislam walikuwa mstari wa
mbele katika kupambana na ukoloni kwani huu si uongo.

Ikiwa wewe hushangai kuona Sheikh Suleiman Takadir hatajwi katika
historia ya TANU labda ni kwa sababu wewe kwa bahati mbaya sana hujui
historia yake kama wengi walivyokuwa hawaijui.

Nahitimisha kwa kukueleza kitu kimoja.

Palitokea sintofahamu mara tu baada ya uhuru kuhusu historia ya TANU
na nyaraka zake ambazo zilikuwa mikononi kwa akina Sykes.

Nyaraka hizi ndizo nilizozitumia kuandika kitabu cha Abdul Sykes.

Hili la waasisi wa TANU kugombana kuhusu nyaraka za TANU kuanzia TAA
sikuliandika katika kitabu.

Nashukuru kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimechangia katika kuijua historia
ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Kwa mengi kuhusu historia ya Tanganyika ingia: www.mohammedsaid.com
 
Haya ndiyo matokeo ya propaganda za Mohamed Said.

Historia haisemi kuwa Nyerere alipigania uhuru peke yake bali inasema aliongoza mapambano ya kudai Uhuru. Ukiongoza unakuwa na wafuasi wengi wanaosadia kufikia lengo hilo. Mandela wa SA alifungwa miaka 26 jela lakini mapambano ya uhuru yaliendelezwa kwa inspiration alioanza na mpaka leo anapewa credit ya kuongoza mapambano hayo. Hata ukimchukia Nyerere ni vizuri pia uwe mwungwana na kutoa credit panapohusika. Hata jeshi letu lina askari wengi sana lakini lilipoenda kutuliza maasi huko Komoro, credit zilikuja kwa Kikwete kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu. Jeshi la Marekani lilipomuua Osama, credit zilikwenda kwa Obama kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi na mpaka leo hujui ni askari yupi aliyempiga risasi na kumwua Osama

Haya ndiyo matokeo ya propaganda za Mohamed Said.

Historia haisemi kuwa Nyerere alipigania uhuru peke yake bali inasema aliongoza mapambano ya kudai Uhuru. Ukiongoza unakuwa na wafuasi wengi wanaosadia kufikia lengo hilo. Mandela wa SA alifungwa miaka 26 jela lakini mapambano ya uhuru yaliendelezwa kwa inspiration alioanza na mpaka leo anapewa credit ya kuongoza mapambano hayo. Hata ukimchukia Nyerere ni vizuri pia uwe mwungwana na kutoa credit panapohusika. Hata jeshi letu lina askari wengi sana lakini lilipoenda kutuliza maasi huko Komoro, credit zilikuja kwa Kikwete kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu. Jeshi la Marekani lilipomuua Osama, credit zilikwenda kwa Obama kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi na mpaka leo hujui ni askari yupi aliyempiga risasi na kumwua Osama

Haya ndiyo matokeo ya propaganda za Mohamed Said.

Historia haisemi kuwa Nyerere alipigania uhuru peke yake bali inasema aliongoza mapambano ya kudai Uhuru. Ukiongoza unakuwa na wafuasi wengi wanaosadia kufikia lengo hilo. Mandela wa SA alifungwa miaka 26 jela lakini mapambano ya uhuru yaliendelezwa kwa inspiration alioanza na mpaka leo anapewa credit ya kuongoza mapambano hayo. Hata ukimchukia Nyerere ni vizuri pia uwe mwungwana na kutoa credit panapohusika. Hata jeshi letu lina askari wengi sana lakini lilipoenda kutuliza maasi huko Komoro, credit zilikuja kwa Kikwete kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi mkuu. Jeshi la Marekani lilipomuua Osama, credit zilikwenda kwa Obama kwa vile ndiye aliyekuwa Amiri jeshi na mpaka leo hujui ni askari yupi aliyempiga risasi na kumwua Osama
 
kwa upande wangu nadhani ni Kirilo Japhet ambaye alikuwa mwakilishi wa wakulima wa Meru katika The Meru Land Case. Kipindi hicho Tanganyika ilikuwa Protectorate chini ya waingereza (waliopewa na UN baada ya Ujerumani kushindwa vita).
N.B. Nafuatilia vyanzo zaidi kuhusiana na historia ya Kirilo Japhet then nitarudi na mrejesho ulioshiba facts
 
Kwanza napenda niwakosowe kwani tanzania ilipata uhuru lini? Hiyo tanzania ilikuwepo kabla april 26 1964?hebu wekeni sawa maelezo yn,hii nchi yetu tanzania c imezaliwa baada ya zanzibar kuolewa na mchumba kutoka tanganyika?
 
Historia ya wazee wa Tanga, wanasema mtu wa kwanza kuhutubia umoja wa mataifa na kudai uhuru wa Tanganyika ni Martin kayamba, huyu alikuwa ni mbondei na inasemekana alizikwa maeneo ya makaburi ya Gossage Tanga mjini.
 
Bwana Said Mohammed, Tatizo lako kubwa ni kuwa huwa unaripoti matokeo ya utafiti wako ukiwa skewed kidini kuonyesha kuwa dini unayoamini ilifanya kazi kubwa sana kuleta Uhuru wa Tanganyika kuliko dini usizoamini na unadhani kuwa dini unayoamaini haipewi credit inayostahili. Imekuwa ni kawaida vitabu vyako kuuzwa kwa wingi misikitini kuliko sehemu nyingine yoyote ile kwa sababu hata mimi nimepata vitabu vyako kutokea miskitini.

Nimeshaoma vitabu vyako kadhaa na kutambua kuwa ingawa huwa vinasema ukweli, huwa pia vinafisha ukweli mwingine kwa makusudi, jambo ambalo wenzetu wanasema TRUE BUT MISLEADING. Vitabu vyako nilivyosoma ni vya aina hiyo ambapo unaweza kuandika kuhusu Meru lakini lengo lako ni kutaka kusema kuwa Abdul alifanya mambo makubwa kuliko Nyerere lakini hatamabuliwi. Ni kweli but misleading. Kwako nimekuwa kila mara nachambua pumba na mchele kwani huwa unazichanganya sana hasa ukizingania kuwa zote zinatokana na mpunga!
Mkuu Kichuguu, mimi nimejitungia formular yangu ya ukweli na uongo au urongo, nikikuta ukweli 99 na uongo mmoja, huo uongo mmoja, unaufuta ule ukweli wote 99, hivyo naita wote ni urongo mtupu.

P.
 
"Tanzania bila Zanzibar inawezekana" Sio kweli.Statement hii sio sahihi wala haina maana. Statement sahihi ni kuwa "Tanganyika bila Zanzibar inawezekana" tena kama mnaweza! fanya merekebisho.
 
Kwanza napenda niwakosowe kwani tanzania ilipata uhuru lini? Hiyo tanzania ilikuwepo kabla april 26 1964?hebu wekeni sawa maelezo yn,hii nchi yetu tanzania c imezaliwa baada ya zanzibar kuolewa na mchumba kutoka tanganyika?
Pamoja kuwepo na uhuru wa mawazo, lakini maneno ya kuudhina matusi ya ujumla sio mazuri. Je, na mimi nasema bahati mbaya mchumba wenyewe Tanganyika jongoo hapandi mtungi, nitakosea? Anabaki kupapasa papasa tu!
 
Kipindi hicho Tanganyika ilikuwa Protectorate chini ya waingereza
Ijue historia yako.Tanganyika ilikuwa "Territory" chini ya utawala wa uingereza na sio protectorate kwa vile mlikuwa hamna utawala wa ndani unaoheshimika na kustaarabika. Ni Zanzibar na Uganda tu katika eneo hili ndio iliokuwa protectorate. Kenya ilikuwa Koloni la muingereza.
 
Back
Top Bottom