Mtandao wa Nigeria wataja ngoma 100 bora za muda wote Tanzania. Diamond, Gigy Money wamo

Krikichino

JF-Expert Member
Oct 5, 2019
651
1,098
Mtandao mkubwa wa muziki nchini Nigeria Notjustok.com umezitaja ngoma bora 100 za muda wote hapa Bongo kuanzia 2012 - 2022 na kwa mara nyingine Diamond Platnumz kawaburuza wenzake.

Kwenye article yao wameitaja ngoma ya Diamond My Number One kuwa ndio ngoma namba bora na iliyoleta impact zaidi Tanzania kuanzia 2012 - 2022 huku ngoma ya Rayvanny Tetema ikiwa namba 2

Ali Kiba kashika namba tatu huku mmakonde akiwa namba 5.

Wasanii wengine waliopo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Maua Sama, Man Fongo na Darassa kupitia Muziki.

Kwenye article yao pia kuna wasanii kama Gigy Money, Kassim Mganga, Dogo Janja na wengineo

Kwa maelezo zaidi unaweza kusoma article yao. Wameeleza kwa undani kwa nini wamechagua ngoma zilizomo


Vipi unakubaliana na list au unaona wamezingua?

D37BD16F-C5AD-45C2-8B17-2CDF9956B2BA.jpeg
A8AC93F9-B396-44A8-B8B5-DBDEBCCD0B7F.jpeg
 
Takwimu yao ya kiboya.

26 waache waoane Chege ft diamond platinumz

56 waache waoane Chege ft diamond platinumz

Hii imejirudia tena.

Fid Q ft p majani Bongo hip hop

Professor jay ft diamond kipi sijasikia

Hizo track ni kali lakini hazipo.

Huo ni uwongo.
 
Takwimu yao ya kiboya.

26 waache waoane Chege ft diamond platinumz

56 waache waoane Chege ft diamond platinumz..

Bongo Hip Hop Yes

Kipi sijasikia No.

Hata hiyo Bongo Hip Hop impact ipo kwenye video. The video was classy na ni moja kati ya videi zilizomfanya Nisher aonekane mno but audio sidhani kama ina impact sana.

Anyway ni mawazo yangu tu mkuu
 
Mtandao mkubwa wa muziki nchini Nigeria Notjustok.com umezitaja ngoma bora 100 za muda wote hapa Bongo kuanzia 2012 - 2022 na kwa mara nyingine Diamond Platnumz kawaburuza wenzake.

Kwenye article yao wameitaja ngoma ya Diamond My Number One kuwa ndio ngoma namba bora na iliyoleta impact zaidi Tanzania kuanzia 2012 - 2022 huku ngoma ya Rayvanny Tetema ikiwa namba 2

Ali Kiba kashika namba tatu huku mmakonde akiwa namba 5.

Wasanii wengine waliopo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Maua Sama, Man Fongo na Darassa kupitia Muziki.

Kwenye article yao pia kuna wasanii kama Gigy Money, Kassim Mganga, Dogo Janja na wengineo

Kwa maelezo zaidi unaweza kusoma article yao. Wameeleza kwa undani kwa nini wamechagua ngoma zilizomo


Vipi unakubaliana na list au unaona wamezingua?

View attachment 2784634View attachment 2784635
Decade ni miaka 10 mkuu, sio all time.
 
Back
Top Bottom