Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

Tatizo la Facebook unakuja kulalamika Jamiiforums?
I repeat in English go check for mental health consultation, it is either you are suffering from Depression, Schizophrenia, Bipolar Mania au having Cerebral Palsy.... That kind of a question cannot be asked by a healthy person unless you have an altered mentality
 
Hakuna ajuaye siku wala saa.
Biblia inasema Mbingu zitakunjwa kama ukurasa.
Mbingu ni Space. Mawasiliano (Telecommumication) yote duniani yanategemea space kwa asilimia kubwa. Ndio maana hata TCRA huwa inauza mawimbi. Kufumba na kufumbua space itafungwa na kukunywa kama karatasi. Kila connection, ila mawasiliano yote namiamala yote ya Forex, Maben, vikao, social medias etc hadi Jf vitakoma kwa sekunde.

Hii kitu sio ya kupuuzwa. Lazima tuiintergrate katika hustling zetu.
 
Kweli kabisa nikajua Wakenya na Ile UNICEF wamepita nayo.
 
Dah! Afadhali,nilifikiri wale wahuni wa ku-tag video za porn wame-hack account yangu
 
Back
Top Bottom