Lazarus brothers wamepita na seva zaoSijui wamepatwa na nn
Kwa hiyo unachofikiri ni nini?Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
Kama Mimi vileMtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekata
Wamepitiwa na wahuni wa Lazarus brothers kutoka KoreaBasi naona mitandao yote iliyoko chini ya Meta inasumbua, hata Instagram sasa hivi hapa imetoka kunigomea nikafikiri ni mtandao, nimerestart simu wapi wakati mitandao mingine kama Chrome, Youtube, JF na X nikiingia inakubali vizuri kabisa
Ndio na ndio unaongoza kwa kua subscribers wengi kuliko mtandao mwingine wowote ule duniani.Huo mtandao bado upo?
Sasa mambo ya Facebook unakuja kulalamika huku Jamiiforums kwamba moderators wakakusaidie kufix tatizo au?Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login
Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa