Ukitenda dhambi ambayo inakuathiri wewe na nafsi yako kwanini wengine tuumie? ila unapo amua kutenda dhambi ambayo inawaathiri watu wengine ndio tunalaani kwani hawa unao wahusisha wana makosa gani? mathalani ukienda kupiga bomu kwenye mkutano wa siasa amba unahusisha watu wa dini zote, makabila mengi,watoto kwa wakubwa,wenye dini na wasio na dini,Je, kwanini tusikushangae? maana inaonekana lengo lako lilikuwa ni kudhuru binadamu wenzako jambo ambalo si jemahata kidogo. binafsi najua kuwa wanao potoka hawakosekani katika kundi lolote iwe katika familia, ukoo,dini,kabila,kundi la siasa lakini inapo tokea kuwa kundi fulani kila wakati ni wao lazima tujiulize KWANINI WAO KILA WAKATI? LAZIMA KUNA JAMBO.