mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Inafunguliwa rasmi leo maeneo ya Tabata Ubaya Ubaya.....
Naomba mniunge mkono wana JF, ndio nimeanza mchakato wa kujiajiri ili kuondokana na umasikini.
Nyama choma, ndizi choma, na mchemsho wa kuku wa kumwaga.........
Ah mtambuzi unatuonea yani umeiweka tabata makusudi ili tusije sio na mbona kwenye menu kitimoto cha foil hakuna :biggrin1: