Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,075
- 111,678
Nimefanyaje na mguu wa aliechelewa kuingia ukumbini😂😂😂😂😂we mkaka wewe,dah🙌
Nimefanyaje na mguu wa aliechelewa kuingia ukumbini😂😂😂😂😂we mkaka wewe,dah🙌
Sasa shida zote izo za nini
Akitikisika ndio furaha yakeOo kumbe!🚶🚶
Kuna wengne viuno vigumu kama maweSisi tunataka tuone mtikiso, na akiwa na mzigo ndio balaa zaidi


Sikuona na utulivu wa kuitizama vizuri naiomba pm kama utajali 🥰
Kwa mikucha hiyo 😅
Inabidi vifanyiwe mazoezi, tuvilegeze
Siambatani nawe ukiwa hivyo 🤣😂
HayaSikuona na utulivu wa kuitizama vizuri naiomba pm kama utajali![]()
🤩 nasubiri usiangushe plzz
Avae viatu simpo kuficha makucha yake


matukunyema,ikabidi nijichekee tu.. nikasema halali yenu kusema
Acha tu tuvunjike bana hiyo kiatu ina raha yake
Kuna siku nimetoka zangu church Kuna wadada walikuwa nyuma yangu nikawasikia wananisema eti "mi siwezi hicho kiatu Kama fashoni zinipitege asa akiteleza kwenye marumaru halafu kanisani
Nikageuka niwaone wanaoongea eh!matukunyema,ikabidi nijichekee tu.. nikasema halali yenu kusema
Sent using Jamii Forums mobile app


