Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,800
- 113,358
Nimefanyaje na mguu wa aliechelewa kuingia ukumbini😂😂😂😂😂we mkaka wewe,dah🙌
Nimefanyaje na mguu wa aliechelewa kuingia ukumbini😂😂😂😂😂we mkaka wewe,dah🙌
Sasa shida zote izo za nini
Akitikisika ndio furaha yakeOo kumbe!🚶🚶
Kuna wengne viuno vigumu kama mawe [emoji23][emoji23]Sisi tunataka tuone mtikiso, na akiwa na mzigo ndio balaa zaidi
Sikuona na utulivu wa kuitizama vizuri naiomba pm kama utajali 🥰Nilikuonesha tu wewe rafiki[emoji1787]
Ahsante [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mikucha hiyo 😅
Inabidi vifanyiwe mazoezi, tuvilegeze
[emoji23][emoji23] mwenzako hapo anaona katokelezeaKwa mikucha hiyo [emoji28]
Siambatani nawe ukiwa hivyo 🤣😂
HayaSikuona na utulivu wa kuitizama vizuri naiomba pm kama utajali [emoji3059]
[emoji1787] bora avae raba eti?Siambatani nawe ukiwa hivyo [emoji1787][emoji23]
🤩 nasubiri usiangushe plzz
Avae viatu simpo kuficha makucha yake
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu tuvunjike bana hiyo kiatu ina raha yake[emoji3]
Kuna siku nimetoka zangu church Kuna wadada walikuwa nyuma yangu nikawasikia wananisema eti "mi siwezi hicho kiatu Kama fashoni zinipitege asa akiteleza kwenye marumaru halafu kanisani[emoji849]
Nikageuka niwaone wanaoongea eh![emoji54] matukunyema,ikabidi nijichekee tu.. nikasema halali yenu kusema[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app