rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
😂jamani ukiteleza si basi watakemea pepoAcha tu tuvunjike bana hiyo kiatu ina raha yake
Kuna siku nimetoka zangu church Kuna wadada walikuwa nyuma yangu nikawasikia wananisema eti "mi siwezi hicho kiatu Kama fashoni zinipitege asa akiteleza kwenye marumaru halafu kanisani
Nikageuka niwaone wanaoongea eh!matukunyema,ikabidi nijichekee tu.. nikasema halali yenu kusema
Sent using Jamii Forums mobile app


matukunyema,ikabidi nijichekee tu.. nikasema halali yenu kusema
jamani ukiteleza si basi watakemea pepo
.