mi nafikiri baada ya kumshambulia zzk mje na hoja ya utendaji wa mbunge mmoja mmoja wa chadema alivyotenda vyema ktk jimbo lake kumshinda zitto kabwe. Mapenzi yetu yasitufanye tuwe vipofu wa kuuona ukweli.
Zitto anatakiwa aangalie alikoteleza si alikoangukia
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Next time usikubali kupost thread kwa ushabiki au kumfurahisha mtu mwingine, ni afadhali ukapost pumba lakini inatoka kwako moja kwa moja.
Sema wewe uko nyuma yake na sio watz, binafsi siko nyuma ya mshirikina.Mambo yote unaweza sema amesingiziwa, lakini hili la kujivunia uchawi!.. limevunja mpini wa jembe na kumaliza makali yote ya jembe.
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
umebanwa haja kubwa,nenda chooni kakamue kila kitu kisha ufikirie upya,nadhani utapost kitu cha maana.Wewe ulivyo na akili ya kulazimisha unadhani kila anayekuja na hoja ya kumtetea zitto ametumwa,acha ujuha wewe.Eti zitto hafai,nyie hamfai kweli
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Sawa kaka, hatukatai ila sio ndio anaweza kugombea urais maana bado hajakomaa kisiasa ila yuko vizuri kisiasa hata mie namkubali lkn tusitumie hoja ya Zitto kutaka kugombea urais kuchafua viongozi wengine wa chama maana tutajenga misunderstanding kati yao..wote wanaweza kwahiyo tukubali hilo bila kutofautisha umakini walionao.
Oya..kuwa Zitto ni jembe hatukatai lkn tusiwe basi watu wa kuchafua viongozi wengine wa chama chetu kwa ajili ya tatizo la,Zitto kutaka,kugombea,urais pia tujue swala la kutoa Rais kwa chama chetu kichanga ni utaratibu wa kamati kuu ya chama na wala sio mtu kutoka na maamuzi yake na kutaka kugombea bila kupitishwa na kamati kuu ya chama..nawaomba watu wanaye ijua siasa si kuponda viongozi wa chama bali nikuchambua ni kivipi chama kitachukua dola 2015....
acha ujinga wee nguchiro;nani salia? Mpuuzi nini,safari hii mtaweweseka sana nyie mang'ombegenge,hamna jipya! Mmebaki mkilalama tu khs zitto,wimbi la zitto linawatesa eeh,jinyongeni! Zitto yuko imara na tayari ameshatangaza kugombea urais kupitia chadema! Mnamwamini sana slaa,lile ni debe tu kaishiwa sera sasa,ile ya ufisadi imechuja sasa, hana jipya apumzike