uroho gani ulio uona wewe?sisi tulio kanda ya ziwa tunamkubali sana zito kweli ni jembe.songa mbele zito usitishike na watu wachache sana wanaokuchafua.
Nenda kapewe ujira wako maana kawa2ma muanzishe thread nyingi za kumsafisha kadiri muwezavyo. Nawaona mpo wengi na mmeingia kwa fujo. Acha ku2miwa b.w.e.g.e wewe nenda kajiajiri acha ku2mika kama condom
Ni vita ya chadema huru na CDK.Masalia PM7 munachekesha munavyofurukuta mkasafisha huyu mweshimiwa mr Matunguri Zitto kwa kauli yake muuwa mapanya ha ha ha too late hata mumkoshe kwa jiki mchawi yule yu mtupu by the way masalia mumesikia Lema karudi kwa kishindo anataka aondoke amesimama hapati hiyo nafasi mumiani wa kisiasa zitto
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
....that was auwkward statement to be given by a strong leader like Zito,unatisha watu kwa uchawi!itamcost sana.
msumari umekuingia huo,Pole poleee.Jikaze kijana ndio itakayokuponya.Zitto for lifeUnalipwa sh ngapi kuja kumchafua zito hapa. Kijana,mwambie aliyekutuma kanoa step meen. Mbona kama vile mna vichwa vya pig?
Zitto anakwambia cowards are cowardsJembe lilokosa mpini nani anataka matunfuri Zitto
Hana cha ujembe wowote zaidi ya uroho wa madaraka!
Hawa ni magamba wanamwaga fitina hapa. Watashindana lakini hawatashinda.
ZITTO ZUBERI KABWE NI HATARII,,,AMEAGA KWAO
WEKA MBALI NA IKULU
:madgrin:
Lakn alilimi na halina mpini!
Lema jembe arusha,Zitto jmbe la kitaifa.nani zaidi
Zitto tupo nyuma yako.
wewe umeaga kwanani?\mbona hueleweki
Hata kama hautang'oka ama Chama hakina uwezo wa kukutimua lakini utambue kwamba wewe ni msaliti na kamwe huwezi kuwa raisi wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, labda huko chauma, Adc ama ccm.
Vilevile ni vizuri utambue kwamba wewe ndiye utakayenyooka na si mtu mwingine yeyote.
Hata kama hautang'oka ama Chama hakina uwezo wa kukutimua lakini utambue kwamba wewe ni msaliti na kamwe huwezi kuwa raisi wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, labda huko chauma, Adc ama ccm.
Vilevile ni vizuri utambue kwamba wewe ndiye utakayenyooka na si mtu mwingine yeyote.
Wewe gamba chama nimeshakuambia kajifunze kujenga hoja upo chini sana mkuu na kukaa kote USA kwa hela za ufisadi kutoka kwa baba yako haijasaidia kituSEBM
kwa nini usirudi na ID yako ya kawaida? Zitto amewajibu vile inavyotakiwa mnajitahidi sana kumfanya slaa hayumo kwenye sakata hili; ukweli babu ndiye mhusika mkubwa kina Ben Saanane ni vikaragosi tu vinatumiwa kama ambavyo wewe unavyotumiwa; slaa ameshadanganya mengi sioni huo utukufu unaotaka kumpa!
Chama
Gongo la mboto DSM