Kweli Mkuu, sidhani kama ntapata taabu kwani makato yanafanywa kwa salary yangu,pia tambua kuwa utawala huu yakupasa kuchukua chako maapemaMkuu kwa awamu hii tena wew bado huna experience kabsa kwwmye biashara,hata ufanye biashara gan,tena mwanzo qa mwaka huu,yaan had uje ukae sawa mkuu hyo mil5 itakutokea puan,mim nna experienc kuubwa kwwnye biashara,..tuliza akil yako,hyo hela kuikopa bila kufanya upembuz yakinifu ulifanya makosa makubwa...we si unaona watu wanafunga frame sasa,si chakula si biashara gan,hali ni mbaya sana..mi nna biashara 3,nmefunga mbil mwez uliopita,imebak hii 1 nayo naipa muda tu...kua makin,stak kukukatisha tamaa ila biashara had uje kukaa sawa,sio kwa hela hyo ya mkopo mkuu,itakuumiza
Kweli Mkuu, sidhani kama ntapata taabu kwani makato yanafanywa kwa salary yangu,pia tambua kuwa utawala huu yakupasa kuchukua chako maapema
Usimkatishe tamaaa,mwaka jana kuna kijiwe nikianzisha kwa laki8,nilikuwa maingiza 280000----30000 profit per month,sasa itakuwa hiyo 5ml!?labda ufanye biashara haramu na sio halali,,,, kwa mazingira ya tz na kodi ulipe kila kitu alafu uvune 500k per month? big joke. sio kwamba hakuna biashara itakayokuingizia kiasi hicho cha pesa, tatizo mtaji ni mdogo.
Sikuwahi chukua mkopo ila umemishawishi sana kwani awamu hii hatari kesho naenda anza processSiwezi rudisha dhamana ya huo mkopo ni mshahara wangu, so sina hasara kivile
Kuna mtu kawekeza mtaj wa 1.8 mpesa anakula kamisheni 250000---300000 per monthFungua goli la miamala ya simu tgo pesa, m pesa na airtel money
Kuku risk sana,atapoteza pesa yote kwa muda mfupi sanaFuga kuku wa nyama kuanzia 450 utapata faida nzuri tu zaidi ya hiyo 500,000 kwa mwezi
Inawezekana mkuu ila ni mpaka apate hiyo akili afu akiniletea pesa naipokea nikisikitika kweli yaani kama biashara ni ngumu balaaMh.. Hapo muda si mrefu uliemuajiri atakukimbia na kwenda kuiendeleza mwenyewe
MkuuHabari wapendwa katika bwana,
Mimi ni muajiriwa serikalini, nimeamua nichukue mkopo kutokana na ukweli kwamba serikali ya awamu ya tano si rafiki kwa watumishi wa umma, kufukuzwa kazi kuko nje nje tu kwa huu utawala uliopo,
Hivo nimeamua nichukue changu mapema hata kama ikiitokea bahati mbaya nikatimuliwa kazi niwe na pakuanzia.
Mtaji nilionao ni Milion 5, hoja inayonisumbua ni biashara gani ambayo nitaifanya angalau nipate faida ya laki 5 kwa mwezi. Ikumbukwe kuwa mkopo huu nimeuchukua bila kuwa na naandalizi ya aina yoyote, Bali ni hofu iliyonijaa dhidi ya utawala huu wa awamu ya tano kwa watumishi wa umma ambapo diwani, Mkuu wa wilaya nk. Wanayo mamlaka ya kukumwagisha unga bila hiyana.
Wataalamu naomba mnisaidie mawazo yenu ili nijikwamue kwa hiki kiasi nilicho nacho
Mimi pia nipo Denmark,Naitwa Vmax nipo Marekani kwa sasa kwenye harakati za Maisha. Shuka za kudarizi nimpango mzima soko najua lilipo la uakika . Nipo kwenye harakati ya kutafuta watu wakufanya nao kazi nia yangu nikukenga kiwanda kazi usiku na mchana ikiwa upo tayari tuwasiliane nikupe details kwa urefu ili ufanye uhamuzi kwa utakayo yaskia kutoka kwangu