Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Sikushauri uanze biashara yeyete kwa mtaji ulio nao biashara yeyote ni usimamizi itashangaa hela itaishia kwenye kodi na kwa muuzaki. Nakushauri njoo nikutafutie kiwanja au shamba ujenge uishi. Pia eneo utakalonunua ml 5 leo kesho ni ml 10
 
Kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited (CWB) ni kampuni ya muungano wa vijana wa kitanzania na kichina waishio jijini Shanghai-China.Kampuni hii iliyoanzishwa february mwaka 2012 jijini Shanghai kwa Lengo la kuifikia jamii ya wafanyabiashara wa Tanzania na Africa kiujumla watakao kununua bidhaa zenye ubora wa hali ya juu kutoka nje ya nchi (hususani China) kwa ajili ya kuboresha biashara zao.Kutokana na kuwa na changamoto nyingi zinazowapata wafanyabiashara wa Tanzania katika nyanja za kukataliwa kibali cha kuvuka mipaka(VISA REJECTION), ugumu wa lugha ya kichina( LANGUAGE BARRIER),kupata bidhaa bandia (FAKE GOODS)katika masoko madogo madogo ndani ya China na pia kukosa mahusiano ya moja (DIRECT LINK) na viwanda vitengenezavyo bidhaa mbali mbali nchini China. CWB ni njia sahihi ya kuweza kuboresha biashara yako bila kukutana na changamoto tajwa hapo juu, ni rafiki mwema wa biashara yako, ni njia sahihi ya kuweza kutimiza ndoto zako katika uwanja huu wa biashara. CWB,Tunatoa elimu ni jinsi gani ya kufanya kazi na sisi, tuna toa ushauri ni aina gani ya biashara mtu anaweza kufanya kulingana na mtaji wake, tunatoa maelezo ya kina kuhusu bidhaa zetu zote tuzitoazo mfano simu, tablets,nk. Kwa Sasa makao makuu ya ofisi za CWB yapo jijini Shanghai na ifikapo January 2014 ofisi zetu zitahamishiwa Ushirika Tower jijini Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi tafadhali tembelea website yetu www.chinaworldbuz.com pia unaweza wasiliana nami kwa email juely2006@yahoo.com au justineluvanda@gmail.com, simu namba +8613524159707.



Usiwe na shaka kuuliza au kuhitaji mafafanuzi ya kina. Tupo kwa ajili ya kufikia mahitaji ya wafanyabiashara na watu wanaotaka kufanya biashara.



Asanteni.

Mkuu
Mmeshahamia Dar au bado? Guangzhou naona vijana wengi bado wanapata tabu. Hasa kwa wanaoanza biashara.
 
  • mmpesa et al
  • kufungua genge
  • kuuza karanga, ndizi au mbogamboga
  • kununua bodaboda na kukodisha au kuendesha mwenyewe
  • kuhemea point A na kuuza Point B
  • Kuchagua mitumba ikifunguliwa na kuipiga pasi na kuifua na kutembeza maofisini na kwenye mabenki
  • kununua matunda kuyakata kata na kuuzia watu kila sahani buku au buku na mia tano
  • Kuuza magazeti tena hili huitaji mtaji mkubwa wala halina hasara sababu magazeti yote yanayobaki unayarudisha ofisini
Yote hayo juu yapo within mtaji wako
 
[deomsolo;Sikushauri uanze biashara yeyete kwa mtaji ulio nao biashara yeyote ni usimamizi itashangaa hela itaishia kwenye kodi na kwa muuzaki. Nakushauri njoo nikutafutie kiwanja au shamba ujenge uishi. Pia eneo utakalonunua ml 5 leo kesho ni ml 10]

Mmmmhhhhhh!!! mwenzko kasema kazi aliyonayo anaona kipato anachopata hakitamfikisha anapopatamani hivyo anatafuta biashara kuongeza kipato, hicho kiwanja ndo atakuwa kaongeza kipato? kuna nyumba gani ya kujengwa kwa ml 5 pamoja na kiwanja?
 
Mkuu hyo ya m pesa,tigo pesa na pombe kali iko poa sana,,mradi upate location nzuri tuu
 
  • mmpesa et al
  • kufungua genge
  • kuuza karanga, ndizi au mbogamboga
  • kununua bodaboda na kukodisha au kuendesha mwenyewe
  • kuhemea point A na kuuza Point B
  • Kuchagua mitumba ikifunguliwa na kuipiga pasi na kuifua na kutembeza maofisini na kwenye mabenki
  • kununua matunda kuyakata kata na kuuzia watu kila sahani buku au buku na mia tano
  • Kuuza magazeti tena hili huitaji mtaji mkubwa wala halina hasara sababu magazeti yote yanayobaki unayarudisha ofisini
Yote hayo juu yapo within mtaji wako

Tanx mkubwa nashukuru kwa msaada wako
 
Mkuu njoo tufuge kuku, hapo unaweza kuweka layers up to 300, na broilers not less than 800
 
mara nyingi binadam huwa tuna kuwa na ndoto nyingi sana ktk maisha na kuna mipango ming ambayo kina mmoja anakuwa nayo kufanikisha ndoto zake ikiwemo biashara,kaz,cerebrity,investing,franchise,winning a lotary na nyingine nyingi na unatakiwa kuangalia mazingira uliyo nayo.kwa mpango wangu wa biashara ya mtandao,hautaacha kaz yako,na busines plan umetengenezewa na kampun we ni kuifuata tu na kutengeneza kipato cha kimataifa,mtaji kidogo laki saba tu, bidhaa zetu ni za afya na urembo ambavyo ni vit vya matumiz ya kila siku,kwa upande wangu biashara ya mtandao ndiyo mkomboz kwa jamii zetu.

Nimevutiwa na comment yako ningependa kujihusisha moja kwa Moja na biashara hii ya kimtandao. Je nini kinahitajika hasa katika biashara hii? 0714487311
 
Nimevutiwa na comment yako ningependa kujihusisha moja kwa Moja na biashara hii ya kimtandao. Je nini kinahitajika hasa katika biashara hii? 0714487311

Karibu sana kaka ntakuunganisha na mtu akupe shule hapo kuhusu hii biashara
 
Ushauri wa kibiashara! nina mtaji wa milioni nne mkononi...

Nafikiri nianzishe biashara! ushauri wenu tafadhali ni biashara gani itakayoweza kunilipa kirahisi! m

Mhauri mmoja kaniambia nifungue mpesa-airtel money na pia niuze vifaa vya simu! Mwingine kanishauri niuze yebo yebo niwe naagiza kutoka kiwandani na kuuza huku kwa jumla jumla!

Bado sijafikia maamuzi nipeni ushauri kati ya hizo mbili au biashara nyingine!

Ahsanteniwajasiria mali wenzangu
 
Nafikili M pesa inafaa kwa mtaji huo,kitu nachofikili kufanya hata mimi,ukiweka kodi ya pango na mtaji wenyewe yatosha kabisa
 
utapeli mtupu.
mimi niliponea kutapeliwa na Mtu alietoa TANGAZO kuwa anakopesha pikipiki hapa Jf.
mpaka Leo hapokei simu yangu wala kujibu msg.
kuweni makini
 
Kama Ni mjanja WA mjini huwezi kutapeliwa saa zote usiwe na negative thinking utakuwa maskini
ok hapa mjini biashara inayolipa Ni mbuzi katoliki unachukua njiani unakuja kuuza Dar es salaam sehemu ya kununua mzigo naifahamu na nasehemu ya kuuza mzigo naifahamu kwa maelezo zaidi piga 0714064767 mwanaume anasifiwa kazi sio Kula au kulishwa na wazazi
 
mkuu soma uelewe anasema aliponea kidogo yaani manake alinusurika kutapeliwa. au wewe ndo ulikuwa unakopesha hizo pikipik manake umevamia comment ya jombaa peri kichwakichwa !

Na wewe ni agent wake huyo peri ? Mbona umeivamia swali langu ambalo ni yeye peke yake angekuwa na jibu safi..

Turudi awali kama ni mtu yeyote anahisi ana jibu ya nilichomuliza bwana peri ..

huyu mtapeli haku pokea wala kujibu msg.. na mtapeli huyu huyu ndiye anataka biashara wa kukodisha watu piki piki...sasa ni nani ambaye anatakiwa asepe? Huyu mtapeli (which is not guaranteed yet) au huyu peri wetu..

Or is it that kukodishiwa pikipiki aliacha mdhamana wa nyumba chake??????
 
Last edited by a moderator:
utapeli mtupu.
mimi niliponea kutapeliwa na Mtu alietoa TANGAZO kuwa anakopesha pikipiki hapa Jf.
mpaka Leo hapokei simu yangu wala kujibu msg.
kuweni makini

Yule aliyesema unalipa 83,000 kwa mwezi, kumbe ni lijambawazi...??? Aisee
 
Habari zenu wadau na wakuu wa jamiiforums,

Mimi ni kijana wa elimu ya chuo kikuu, nimejizatiti hasa baada ya miezi miwili hivi kupita, nisaifiri kwenda Kaskazini kwa ajili ya kuanza biashara ndogo ndogo ya ununuaji wa madini aina ya dhahabu kutoka kwa wauzaji wadogo wadogo.

Wakuu, nimekuja hapa mbele yenu kuomba mwongozo juu ya ufanikishaji bora wa biashara hii, isitoshe mimi ndiyo mara yangu ya kwanza naingia katika soko.

Kwa kiasi fulani nilishaona dhahabu ikiwa inauzwa katika vipimo tofauti tofauti vyenye madaraja tofauti tofauti ya bei kama kuanzia shs elfu 30 na kuendelea.

Naombeni mwongozo kwa mnaoifahamu vizuri biashara hii,changamoto zake ni zipi?

NB; Pia kama kuna wazo lingine la biashara linaloendana na hili, tafadhali usisite kuninong'oneza!
 
Hiyo kaskazini unayosema ndo mikoa gani? Na je, umeshapata ushauri wowote kuhusu hiyo biashara ya dhahabu?

mkuu kaskazini ni pamoja na mkoa wa mara ambao wauzaji wadogo huwa nilishaona wanajishughulisha na hii biashara.

kuhusu ushauri, ndiyo kwanza niko kwenye hatua za kwanza kwanza kusaka data, msaada wako tafadhali.
 
Back
Top Bottom