Ni kweli mkuu,kama anavyoonekana!!Hapo no kitambi!!
Mh.koma anashauriwa kufanya hivi ili kuepuka ugonjwa unaomsumbua wa kusinzia ovyo mjengoni
Hapo life span inapungua
Kwani huyu aliyebeba Lumbesa ni Maskini?
benjamin mkapa alipenda sana hii slogan - the reason behind ni kuwapumbaza watanzania! shame on them and him!