Mtag rafiki yako alikuwa anaandika "AKUMBUKWE"kwenye Kuta za Shule

Mtag rafiki yako alikuwa anaandika "AKUMBUKWE"kwenye Kuta za Shule

Kahama- shy

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,951
Reaction score
2,693
Screenshot_20251028-140938.jpg

Kuna Mwanangu alikuwa anaitwa maro, alikuwa baada ya kuangusha divi chooni🤣 anachukua kijiti anaandika ukuta ndani ya choo na nje, machata unakuta mengi mengi ya Wana wa shule,

Ukiiingia toilet 🚽 mara mzigo huo uko pembeni ya shimo harafu mzito unasema huyu ni mtoto au mtu mzima noma sana🤣😂
 
View attachment 3495190
Kuna Mwanangu alikuwa anaitwa maro, alikuwa baada ya kuangusha divi chooni🤣 anachukua kijiti anaandika ukuta ndani ya choo na nje, machata unakuta mengi mengi ya Wana wa shule,

Ukiiingia toilet 🚽 mara mzigo huo uko pembeni ya shimo harafu mzito unasema huyu ni mtoto au mtu mzima noma sana🤣😂
Undo
 
Alikula bomu la machozi nini mbona anapitia shida hivyo 😂😂😂
Hahaha yaani ndo maana malezi yanazidi kuwa duni sanaaaa kwa watoto wa sasa

Kwa sababu wazazi wanawaza pumba wanazowaza watoto na wengine akina LIKUD wanatembea na visichana vya 18 years na wao wana 40 yaani ni hovyo
 
Back
Top Bottom