Hesabu ya bodaboda hiyo kwa anayeendesha mwenyeweBajaj wengine wanalaza Tsh. 15,000/ na wengine 20,000/ kwa siku
Sasaivi dukani imefikia kiasi gani....Habari wadau.
Nimeamua kununua bajaji ili kujikimu na maisha. Hapa nilipo Bajaji ni nyingi na biashara imekuwa ngumu mno. Vipi we ukwapi na biashara ya Bajaji imekaaje pande hizo? Nipo tayari kutimba popote coz naendesha mwenyewe.
Msaada tafadhali,,
Ndio bei za mjini hizo mzee! Tena hiyo 20,000/ bajaj iwe mpyaNi kiasi kidgo sana kwa bajaji
Tsh 7,000,000/= TVS KING KARIBUSasaivi dukani imefikia kiasi gani....
Hii bei hadi usajili ama,juzi nilikuwa maeneo nimepanda kumuuliza dereva bajaj akaniambia sasaivi imefikia milioni 9Tsh 7,000,000/= TVS KING KARIBU
Mtu mwenye bajaji Geita analaza mpaka 40-50k kwa siku akiwa na bajaji nzuri maana kule bajaji ndo daladala, na route kima cha chini ni 500, 1000 hadi 2K kutokana na sehemu unayoenda. Unakuta mtu anapiga route na mtu nne nne na njiani anapakia akikutana na raia kama kashusha mwingine.Ndio bei za mjini hizo mzee! Tena hiyo 20,000/ bajaj iwe mpya
Hahahaa geita huko sawa kwanza hazipo nyingi kama mjin hapa ,hapa mjini ndugu yangu bajaj nyingi hadi zinataka kuwazid watu hiyo 20,000/ yenyewe kuipata mnavutana na dereva hatari.Mtu mwenye bajaji Geita analaza mpaka 40-50k kwa siku akiwa na bajaji nzuri maana kule bajaji ndo daladala, na route kima cha chini ni 500, 1000 hadi 2K kutokana na sehemu unayoenda. Unakuta mtu anapiga route na mtu nne nne na njiani anapakia akikutana na raia kama kashusha mwingine.
Hili ninalizungumza kwa ezxeprience kama mtu niliewahi kumiliki bajaji, tena sio kuendesha mimi.
Sijui kwa huki mjini, ila kulaza 15k-20k kwa bajaji ni ndogo sana.
Mkuu unapatikana wapi? Nataka Moja Mpya Kwa 7M.Tsh 7,000,000/= TVS KING KARIBU
Umeeleweka.Hahahaa geita huko sawa kwanza hazipo nyingi kama mjin hapa ,hapa mjini ndugu yangu bajaj nyingi hadi zinataka kuwazid watu hiyo 20,000/ yenyewe kuipata mnavutana na dereva hatari.
Mkuu vipi kuhusu barabara? Ni rough road au lamilami?Mtu mwenye bajaji Geita analaza mpaka 40-50k kwa siku akiwa na bajaji nzuri maana kule bajaji ndo daladala, na route kima cha chini ni 500, 1000 hadi 2K kutokana na sehemu unayoenda. Unakuta mtu anapiga route na mtu nne nne na njiani anapakia akikutana na raia kama kashusha mwingine.
Hili ninalizungumza kwa ezxeprience kama mtu niliewahi kumiliki bajaji, tena sio kuendesha mimi.
Sijui kwa huki mjini, ila kulaza 15k-20k kwa bajaji ni ndogo sana.
Trust me bro. Madereva bajaj wanaupiga mwingi sana. Take it from me kama ukiweza kuiendesha bajaj yako mwenyewe, asee hela ipo.Hahahaa geita huko sawa kwanza hazipo nyingi kama mjin hapa ,hapa mjini ndugu yangu bajaj nyingi hadi zinataka kuwazid watu hiyo 20,000/ yenyewe kuipata mnavutana na dereva hatari.
@polokwane We unapiga route za wapi kaka. Kwa sababu inategemea. Kuna sehem huwezi ona hela sana hasa sehemu ambazo bajaji zimekuwa nyingi.Hahahaa geita huko sawa kwanza hazipo nyingi kama mjin hapa ,hapa mjini ndugu yangu bajaj nyingi hadi zinataka kuwazid watu hiyo 20,000/ yenyewe kuipata mnavutana na dereva hatari.
Tsh 7,000,000/= TVS KING KARIBU
Ukisikia Magufuli alipapapenda kwao basi amini, kule ni lami tu mzee.Mkuu vipi kuhusu barabara? Ni rough road au lamilami?
Biashara yoyote is all about timing and attack.ndio kawaida ya fursa wakati unawaona watu wanapiga pesa unaanza kujipanga ujiingize katika hiyo fursa lakini baada ya kujipanga unakuja kugundua ile fursa si fursa tena.
Ukiwa na majukumu mengine ni mgumu sana kuendesha mwenyeww lazima uweke kijana nanhesabu za mtaan ndo hizo hizo mzee 15,000/= hadi 20,000/ per dayTrust me bro. Madereva bajaj wanaupiga mwingi sana. Take it from me kama ukiweza kuiendesha bajaj yako mwenyewe, asee hela ipo.