Mtaani jamani pagumu!

Mtaani jamani pagumu!

Tatizo unataka kazi kubwa ndugu. Mtaani siyo pagumu kiasi hicho kwa mtu usie chagua kazi. Tatizo eti kwa kuwa mtu umesoma accounts unataka kazi lazima uwe accountant shirika fulani kubwa au serikalini.
Hii hata mimi ilinisumbua sana nilipomaliza shule. Ila kwa hali iliyopo sasa ivi pambana sana upate kazi yeyote ile atleast upate kamtaji ka kuanzia tuu au huku unafanya hako ka kazi unatafuta work of your dream. Kwani siyo kila mtu amezaliwa mjasiriamali others were born to be employed.
Kuna kijana mmoja ana degree yake ya accounts alisota sana mtaani kwangu nikawa namwambia babaake amwambie nimpe kazi awe storekeeper kijana akawa anagoma. Alisota mwaka na nusu ila mwezi wa pili alikuja mwenyewe kubembeleza ile kazi na sasa ivi yupo vizuri tuu with peace of mind. Huwezi amini tunampa ka mshahara ka kawaida ila anajutia sana muda aliopoteza mtaani.
So usikate tamaa ndugu yangu
samahani mkuu,kama bado kuna nafasi ya storekeeping naomba unisaidie broo na mm niweze kusogeze siku mbele,sorry sana nataraji majibu yako ndugu.
 
Watu wanalalamika mtaaani pagumu wakati kazi zenyee hawawezi kuomba kwa kifupi kusoma sana na kupata kazi ni vitu viwili tofauti.maana kutafuta kazi kunahitaji skills sio unakurupuka CV inapiga sarakasi cover letter ndo inacheza sindimba kabisa,,,,,,
 
samahani mkuu,kama bado kuna nafasi ya storekeeping naomba unisaidie broo na mm niweze kusogeze siku mbele,sorry sana nataraji majibu yako ndugu.
dah..mkuu inachekesha lakini inahuzunisha.
 
Haki ya Mungu kusema ukweli ni mpenzi wa Mungu, mtaani kugumu mbaya. Yani kama upo kazini usijaribu kuchezea kazi, ni kugumu sanaa!

Waajiri wamefunga milango, ilhali vigezo tunavyo ila ndo hivyo jamani mtaani mpaka mtu unatamani uuze mwili.


Ndiyo uzuri wa kuwa na serikali makini. Inabidi kusafisha ujinga uliokithiri serikalini na nchini, too many fake people wameajiriwa hawana vigezo na ufanisi hakuna kwenye idara husika. Hii ni haibu kwa taifa letu, yaani tumekuwa taifa la watu fake na ndiyo maana kampuni za kigeni hazi ajiri watanznia katika secta nyeti bali kubeba mizigo tu na kufungua mageti.
 
dah..mkuu inachekesha lakini inahuzunisha.
Ndiyo hivyo mtaani pasua kichwa sana,inafika kipindi hata mia tano ya chapati unakosa kaka,ukianza kumfatilia binti ss ambae kila siku anakuona upo kitaa ndiyo hata kuongea na wewe hataki kaka
 
Ielewe mitaaa akili ya darasan ni tofauti na akili ya mtaa ....soma mazingira hutakosa kitu cha kufanya.

NB.Kazi nyingi za mtaani zinataka usiwe na aibu. ..unaweza kukuta dili ni kuuza maji kwa toroli. ..acha ubishoo
 
nafikiri tujitahidi kuzoea hali hii,japo ni ngumu sana kukubali uhalisia kwa watanzania.ikumbukwe kuwa Taifa linakwenda kufanya mabadiliko katika sekta zote kwa kifupi ni TRANSFORMATION AND RENEW OF THE NATIONAL SYSTEMS sasa ni lazima mambo yawe magumu kwa sababu huwezi ukafanya mabadiliko with the same resources consumptions eg.unataka kujenga nyumba kama ulikuwa unatumia elfu kumi kwa siku utapunguza mpaka kamjengo kaishe na kamjengo kakiisha maisha uendelea kama zamani,ni kipindi cha mpito ambacho watanzania tunapaswa kukitambua kuwa kipo na kupigana na kupambana kwa namna moja au nyingine kuhakikisha kuwa tunavuka hapa na kufika tunakotakiwa kufika kama TAIFA as well as INDUVIDUAL...USIKATE TAMAA,TUPIANE NAMNA YA KUISHA KWA SASA JAPO RIZIKI YA SIKU TU...TUMTANGULIZE MUNGU KATIKA KILA JAMBO TUTAFANIKIWA!
 
V
Haki ya Mungu kusema ukweli ni mpenzi wa Mungu, mtaani kugumu mbaya. Yani kama upo kazini usijaribu kuchezea kazi, ni kugumu sanaa!

Waajiri wamefunga milango, ilhali vigezo tunavyo ila ndo hivyo jamani mtaani mpaka mtu unatamani uuze mwili.
Vumilia kidogo ajira zinakja
 
jaman msimcheke huyu mtu anahtaji msaada make sometimes mtaani pagumu kwel, inabidi tumchangie rambirambi, et rambirambi, i mean harambee.
 
Mm nahitaji HR nimpe hela anipe kazi.. kama kuna yeyote anamfaham tuwasiliane.
 
Ndiyo hivyo mtaani pasua kichwa sana,inafika kipindi hata mia tano ya chapati unakosa kaka,ukianza kumfatilia binti ss ambae kila siku anakuona upo kitaa ndiyo hata kuongea na wewe hataki kaka
kwa watu tunaotoka katika working class families tumepitia mambo za tabu kama hizo esp kipindi mtu unamaliza chuo, mie hizo mambo za mabinti kipindi hicho wizara yake niliifunga kabisaaaa...ilifikia kipindi viatu vya kwenda kwenye interview tu ilikuwa taabu sembuze hao wakina mwajuma na rose
ila hayo ni mapito tu itafikia point utasahau kabisa but amin amin nakuambia usichague kazi maana wewe ni mwanaume na at that age you don't need to do any mistakes, all you need to do is whatever gives what you need.
 
Jamani walimu wa kike wawili na boys 1 wanahtajika kufundisha medium....wawe morogoro....kama uko poa nichek 0716069884
 
Haki ya Mungu kusema ukweli ni mpenzi wa Mungu, mtaani kugumu mbaya. Yani kama upo kazini usijaribu kuchezea kazi, ni kugumu sanaa!

Waajiri wamefunga milango, ilhali vigezo tunavyo ila ndo hivyo jamani mtaani mpaka mtu unatamani uuze mwili.

Ngoja JPM asafishe waajiriwa feki maofisini then ajira zitaanza kutolewa ,,,,,usikate tamaa pambana mdogo mdogo vyeti ni asset.
 
kwa watu tunaotoka katika working class families tumepitia mambo za tabu kama hizo esp kipindi mtu unamaliza chuo, mie hizo mambo za mabinti kipindi hicho wizara yake niliifunga kabisaaaa...ilifikia kipindi viatu vya kwenda kwenye interview tu ilikuwa taabu sembuze hao wakina mwajuma na rose
ila hayo ni mapito tu itafikia point utasahau kabisa but amin amin nakuambia usichague kazi maana wewe ni mwanaume na at that age you don't need to do any mistakes, all you need to do is whatever gives what you need.
poa kaka pamoja sana.......itabidi hii wizara ya mapenzi na mm niifunge kabisa,kama hauna cash hata konfidensi inapotea kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom