Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa
Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake
Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?
Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali
Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho, watu hawa wanatuona kana kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?
Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,
Hata hivyo, kwa nini wanatumia nguvu nyingi kiasi hiko? Nini kipo nyuma yao? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli na wanafahamika, watu hawa wanaroho mbaya kuliko hata shetani, wako tayari kutoa uhai wa mtu hasa anapogusa maslahi yao!
Ninauhakika, Waovu hawawezi kutawala Milele hata kama katikati yao kuna mmoja tu mtenda haki, Sharti mtenda haki huyo, kwa nguvu isiyoshindwa, atapenya katikati yao, Hilo ninahakika nalo! Mungu hawezi kuruhusu upuuzi huu ukatawala, kwamba keki ya Taifa iishie kwa wachache na wengine kuishia kuwa na maisha ombaomba na ya kutangatanga katika nchi yao njema yenye kila aina ya vinono?
Tunarudia tena, hayati Magufuli, ni mtu ambaye, mafisadi mtatumia nguvu na shekeli zenu nyingi mno, lakini nasikitika kusema kwamba, mnapata hasara bule, hamtamchafua kamwe, utawala wake uliwagusa watu ambao nyinyi ni mabwege kwenu, watu dhaifu na ambao kwenu nyinyi hamkuwahi kuwahesabu kama ni watanzania na wenye kuistahili heshima na haki kama raia wa nchi hii njema
Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?
Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi
Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.
Mantiki yao ni ipi haswa!
Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchewara, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile! Na kujaribu kufanya hivyo, ni kuchochea ghadhabu yetu sisi,
Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!
Magufuli! Lala salama!
Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia Magufuli!
Akili za fisadi siku zote huwaza apate wapi pesa hata kwa kutoa roho! MUNGU mwenyeenzi Ibariki Tanzania, wabariki viongozi wema! Amina
Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake
Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?
Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali
Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho, watu hawa wanatuona kana kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?
Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,
Hata hivyo, kwa nini wanatumia nguvu nyingi kiasi hiko? Nini kipo nyuma yao? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli na wanafahamika, watu hawa wanaroho mbaya kuliko hata shetani, wako tayari kutoa uhai wa mtu hasa anapogusa maslahi yao!
Ninauhakika, Waovu hawawezi kutawala Milele hata kama katikati yao kuna mmoja tu mtenda haki, Sharti mtenda haki huyo, kwa nguvu isiyoshindwa, atapenya katikati yao, Hilo ninahakika nalo! Mungu hawezi kuruhusu upuuzi huu ukatawala, kwamba keki ya Taifa iishie kwa wachache na wengine kuishia kuwa na maisha ombaomba na ya kutangatanga katika nchi yao njema yenye kila aina ya vinono?
Tunarudia tena, hayati Magufuli, ni mtu ambaye, mafisadi mtatumia nguvu na shekeli zenu nyingi mno, lakini nasikitika kusema kwamba, mnapata hasara bule, hamtamchafua kamwe, utawala wake uliwagusa watu ambao nyinyi ni mabwege kwenu, watu dhaifu na ambao kwenu nyinyi hamkuwahi kuwahesabu kama ni watanzania na wenye kuistahili heshima na haki kama raia wa nchi hii njema
Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?
Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi
Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.
Mantiki yao ni ipi haswa!
Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchewara, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile! Na kujaribu kufanya hivyo, ni kuchochea ghadhabu yetu sisi,
Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!
Magufuli! Lala salama!
Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia Magufuli!
Akili za fisadi siku zote huwaza apate wapi pesa hata kwa kutoa roho! MUNGU mwenyeenzi Ibariki Tanzania, wabariki viongozi wema! Amina