johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Mtaa maarufu wa Ufipa uliopo wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam umekumbwa na mafuriko kufuatia mvua iliyonyesha leo.
Wakazi wa mtaa huo wameiomba serikali kuwaondolea kero hiyo inayosababishwa na ujenzi wa barabara.
Ufipa st ndipo yalipo makao makuu ya chama kikuu cha upinzani (Chadema)
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa mzee Abdulasul amesema wanaishughulikia kero hiyo na wameanzia mtaa wa Togo kisha wataingia hapo Ufipa st.
Source: Eatv habari!
Wakazi wa mtaa huo wameiomba serikali kuwaondolea kero hiyo inayosababishwa na ujenzi wa barabara.
Ufipa st ndipo yalipo makao makuu ya chama kikuu cha upinzani (Chadema)
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa mzee Abdulasul amesema wanaishughulikia kero hiyo na wameanzia mtaa wa Togo kisha wataingia hapo Ufipa st.
Source: Eatv habari!