Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,804
- 218,449
Tunayo furaha kukutangazia kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , kesho Jumanne 27/09/2022 saa 5 Asubuhi , kitakuwa na Mkutano na Waandishi wa habari , IKUMBUKWE KWAMBA JUMANNE NDIO SIKU AMBAYO MWENYEZI MUNGU ALIUMBA MOTO (kila kitu cha duniani kilikuwa na siku maalum ya kuumbwa na Mungu)
Mahali ni pale pale Makao Makuu ya Chama , Nje ya Jiji la DSM , Kinondoni , Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa .
UPDATES
===============
Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila anaendelea .
Mahali ni pale pale Makao Makuu ya Chama , Nje ya Jiji la DSM , Kinondoni , Mtaa wa Ufipa .
Wote Mnakaribishwa .
UPDATES
===============
Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila anaendelea .