Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,808
- 218,456
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kesho Tarehe 8/11/2022 kitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari kwenye Makao Makuu ya Chama hicho, Nje ya Jiji la Dar es Salaam, huko Kinondoni, Mtaa wa Ufipa kuanzia saa 5 Asubuhi.
Kamanda Mwenye hoja nzito John Mrema, ambaye Pia ni Mkuu wa Itifaki na Uhusiano wa Kimataifa wa Chama hicho, Ataongoza Jopo la Vigogo wa Chama kwenye Mkutano huo .
Usiondoke JF, ili uwe wa Kwanza kufahamu DIRA MPYA YA TAIFA , kuanzia sasa kuelekea 2025
Wote Mnakaribishwa .
Kamanda Mwenye hoja nzito John Mrema, ambaye Pia ni Mkuu wa Itifaki na Uhusiano wa Kimataifa wa Chama hicho, Ataongoza Jopo la Vigogo wa Chama kwenye Mkutano huo .
Usiondoke JF, ili uwe wa Kwanza kufahamu DIRA MPYA YA TAIFA , kuanzia sasa kuelekea 2025
Wote Mnakaribishwa .