DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,882
We unafikiri kuwa Hustla ni kuwa msela mavi au ku-hustle ki old school hivo na mambo ya bisi bisi,wembe na mapanga...watu wana hustle kwa kutumia brains sio kwa kutumia hayo mataka taka,na ndo tofauti kati ya watoto wa mjini kinondoni(sio ile ya uswazi) na huko swekeni sijui tandika ,temeke,tandale ,mwananyamala etcWe mtoto wa Kota nyamaza!!
Unajiita Da Hustla halafu unaogopa watu wenye nyembe mfukoni!!! Watu hadi kesho wanatembea na full-loaded gun, na ukimzingua anaku-shoot, unakuja kuogopa kisu halafu bado unajiita Da Hustla!!!