ungekuwa hapa Arusha jioni ningekununulia mojamoto moja baridi.makaburi ya mwinyi mkuu pale magomeni mapipa, paitwe kikwete cemetry (makaburi ya kikwete) naomba kuungwa mkono!!!!
ungekuwa hapa Arusha jioni ningekununulia mojamoto moja baridi.makaburi ya mwinyi mkuu pale magomeni mapipa, paitwe kikwete cemetry (makaburi ya kikwete) naomba kuungwa mkono!!!!
atapewa mtaa wowote huko marekani kwani mara kwa mara ndo yuko
huko na akina 50 cents nk,mcheki akiwa usa View attachment 37824
..Hell No....may be uwanja wa fisi...Mpeni uwanja wa taifa
hatakiwi hata kufikiriwa kupewa barabara ana nini cha kumkumbuka??????