Yapo hv : Deus Mallya Rafiki mkubwa wa Mnyika alipandikizwa kwa Chacha kwa Gia kuwa atakuwa akimpa Siri juu ya nini kilikuwa kinaendelea Upande wa pili, kipindi Hicho chacha alikuwa kasimamishwa Kazi, Deus malya akatengeneza mazoea ya kasi kwa chacha akawa anampelekea Habari za kizushi akizuga kuwa kawasikia cc wakimteta chacha nk ndipo chacha akaanza kumwamini Deus: SIKU YA TUKIO chacha akiwa Bungeni aliomba maji ya kunywa ameze dawa, lakini Mrema wa CDM alimpatia maji yenye dawa ya Usingizi akaanza kujisikia vibaya akaamua kuludi nyumbani haraka, akiwa nyumbani Deus akaenda kumgongea wasafiri kwenda Dsm kwenye msiba wa Bhoke Mnanka, chacha akamwambia Deus waahirishe Safari mama anajisikia vibaya,Deus akawa King'ang'anizi alienda kumgongea mara 3 hadi akaamka ili wasafiri, wakati huo Deus alikuwa kaikorokochoa Gari kiaina huku akiwasilana na Wauaji wawili ambao mmoja ni mbunge wa huko kasikazini na mwingine yupo makao makuu Kinondoni. Safari ikaanza huku Chacha akiwa anasinzia sinzia walipofika eneo la Tukio chacha akawa bado yupo macho ikabidi Deus Mallya azuge kuwa Gari ni Mbovu ili wapate sababu ya kuludi Dodoma angalau wakiludi eneo la Tukio kuwe kuna Giza ,wakaludi Dodoma walipofika Deus akazikaza zile Nati ambazo alizilegeza awali na Safari ikaanza tena hatamae wakafika eneo la Tukio Giza likiwa limeingia ,Wakati Huo chacha alikuwa kasinzia Deus akasimamisha Gari wakapanda watu wawili wote wanatoka kasikazini mmoja ni mbunge na mwingine yupo makao makuu, baada ya kupanda Gari wakaenda kuegesha Gari walipopaandaa wakampiga Risasi Mdomoni kisha Kijiko (Greda) kikaibonda Gari kwa juu na kuibinua na kutokomea huku wale watu wawili nao wakipanda Gari na kuishia wakimwacha Deus Mallya akizuga na kuwahadaa Watanzania kuwa ni Ajali, wanakijiji wa pale na Polisi walijua Mchezo wote lakini Rushwa ni Adui wa haki kwa leo tuishie hapa siku ingine nitakujuza zaidi.