Msuya atueleze aliko Sokoine

Msuya atueleze aliko Sokoine

Aulizwe Nyerere??? Nyerere yupi?. Yule Nyerere ambae alikua anajua kila kitu peke yake nchi nzima ambae sasa tunataka awe mtakatifu zaidi kuliko kardinal Rugambwa, kardinali wa kwanza mweusi Duniani tangu kanisa katoliki lianzishwe ulimwenguni?.

Inauma sana kwa yaliyofanywa kwa watoto wa Tanganyika na Zanzibar chini ya Saint Nyerere!

R.I.P chacha wangwe
 
Yapo hv : Deus Mallya Rafiki mkubwa wa Mnyika alipandikizwa kwa Chacha kwa Gia kuwa atakuwa akimpa Siri juu ya nini kilikuwa kinaendelea Upande wa pili, kipindi Hicho chacha alikuwa kasimamishwa Kazi, Deus malya akatengeneza mazoea ya kasi kwa chacha akawa anampelekea Habari za kizushi akizuga kuwa kawasikia cc wakimteta chacha nk ndipo chacha akaanza kumwamini Deus: SIKU YA TUKIO chacha akiwa Bungeni aliomba maji ya kunywa ameze dawa, lakini Mrema wa CDM alimpatia maji yenye dawa ya Usingizi akaanza kujisikia vibaya akaamua kuludi nyumbani haraka, akiwa nyumbani Deus akaenda kumgongea wasafiri kwenda Dsm kwenye msiba wa Bhoke Mnanka, chacha akamwambia Deus waahirishe Safari mama anajisikia vibaya,Deus akawa King'ang'anizi alienda kumgongea mara 3 hadi akaamka ili wasafiri, wakati huo Deus alikuwa kaikorokochoa Gari kiaina huku akiwasilana na Wauaji wawili ambao mmoja ni mbunge wa huko kasikazini na mwingine yupo makao makuu Kinondoni. Safari ikaanza huku Chacha akiwa anasinzia sinzia walipofika eneo la Tukio chacha akawa bado yupo macho ikabidi Deus Mallya azuge kuwa Gari ni Mbovu ili wapate sababu ya kuludi Dodoma angalau wakiludi eneo la Tukio kuwe kuna Giza ,wakaludi Dodoma walipofika Deus akazikaza zile Nati ambazo alizilegeza awali na Safari ikaanza tena hatamae wakafika eneo la Tukio Giza likiwa limeingia ,Wakati Huo chacha alikuwa kasinzia Deus akasimamisha Gari wakapanda watu wawili wote wanatoka kasikazini mmoja ni mbunge na mwingine yupo makao makuu, baada ya kupanda Gari wakaenda kuegesha Gari walipopaandaa wakampiga Risasi Mdomoni kisha Kijiko (Greda) kikaibonda Gari kwa juu na kuibinua na kutokomea huku wale watu wawili nao wakipanda Gari na kuishia wakimwacha Deus Mallya akizuga na kuwahadaa Watanzania kuwa ni Ajali, wanakijiji wa pale na Polisi walijua Mchezo wote lakini Rushwa ni Adui wa haki kwa leo tuishie hapa siku ingine nitakujuza zaidi.

Fungukeni vijana. Huu ndio wakati wetu sasa. Nchi hii ilishachezewa sana. Hii Escrow ni chamtoto tu.
 
Msiwasahau Kina Amrani Kombe, Kolimba, Kigoma Ali Malima, Mwigima etc. Ongezeni list tafadhali.
 
Tusaidie mkuu

Mratibu wa shughuri alikuwa Mnyika chini ya Amri ya mbowe na Watekelezaji wa Zoezi ni G.L na HK na mzugaji na mhadaa watu ni Deus Mallya ambaye pia kacheza sehemu nyingi kwenye hilo Muvi.
 
Msiwasahau Kina Amrani Kombe, Kolimba, Kigoma Ali Malima, Mwigima etc. Ongezeni list tafadhali.

Leo wanazungumziwa wa Ajali za kutengenezwa toka Dodoma kuja Dsm tu.
 
Mratibu wa shughuri alikuwa Mnyika chini ya Amri ya mbowe na Watekelezaji wa Zoezi ni G.L na HK na mzugaji na mhadaa watu ni Deus Mallya ambaye pia kacheza sehemu nyingi kwenye hilo Muvi.

Swali langu hujanijibu mkuu.
Kitu gani kilipelekea wafanye hayo mauaji.je ni uroho wa madaraka au walidhulumiana au nini
 
Miaka 31 iliyopita ulikuwa na miaka mingapi? Kina Kolimba nao utadai waeleze yupo wapi? Kombe naye utaeuliza, Acha wafu wazike wafu wao, Pambana na dhuluma zinazotukondesha watanzania kwa sasa
 
Fungukeni vijana. Huu ndio wakati wetu sasa. Nchi hii ilishachezewa sana. Hii Escrow ni chamtoto tu.

Boss wa mpango wa mauaji ya chacha wangwe alipewa Mgao wa Escrow kule kenya tena wakati anaenda kuchukua mkwanja aliambatana na Wenje mbunge wa nyamagana,Nchi hii imejaa vioja Usimwamini mtu wewe.
 
Swali langu hujanijibu mkuu.
Kitu gani kilipelekea wafanye hayo mauaji.je ni uroho wa madaraka au walidhulumiana au nini

Ufisadi juu ya pesa za Ruzuku, pesa za misaada toka nje na ndani, Marehemu chacha alitaka pesa zifike kote Nchi nzima yaani mpaka kule chiini matawini kwenye mashina, lakini Mbowe akawa hataki ndipo Figisu Figisu Zikaanza hatimae Mnyika akapewa jukumu na kuandaa timu yake ikaanza Kazi na mwisho ni chacha wangwe kuludi kwa Mungu pasipo Mapenzi yake.
 
Swali langu hujanijibu mkuu.
Kitu gani kilipelekea wafanye hayo mauaji.je ni uroho wa madaraka au walidhulumiana au nini

Siku ukipata mwanya simama kile kijijini alipofariki chacha wangwe utapewa story pia mdadisi Zito kabwe anajua michezo yote ilivyo.
 
Yapo hv : Deus Mallya Rafiki mkubwa wa Mnyika alipandikizwa kwa Chacha kwa Gia kuwa atakuwa akimpa Siri juu ya nini kilikuwa kinaendelea Upande wa pili, kipindi Hicho chacha alikuwa kasimamishwa Kazi, Deus malya akatengeneza mazoea ya kasi kwa chacha akawa anampelekea Habari za kizushi akizuga kuwa kawasikia cc wakimteta chacha nk ndipo chacha akaanza kumwamini Deus: SIKU YA TUKIO chacha akiwa Bungeni aliomba maji ya kunywa ameze dawa, lakini Mrema wa CDM alimpatia maji yenye dawa ya Usingizi akaanza kujisikia vibaya akaamua kuludi nyumbani haraka, akiwa nyumbani Deus akaenda kumgongea wasafiri kwenda Dsm kwenye msiba wa Bhoke Mnanka, chacha akamwambia Deus waahirishe Safari mama anajisikia vibaya,Deus akawa King'ang'anizi alienda kumgongea mara 3 hadi akaamka ili wasafiri, wakati huo Deus alikuwa kaikorokochoa Gari kiaina huku akiwasilana na Wauaji wawili ambao mmoja ni mbunge wa huko kasikazini na mwingine yupo makao makuu Kinondoni. Safari ikaanza huku Chacha akiwa anasinzia sinzia walipofika eneo la Tukio chacha akawa bado yupo macho ikabidi Deus Mallya azuge kuwa Gari ni Mbovu ili wapate sababu ya kuludi Dodoma angalau wakiludi eneo la Tukio kuwe kuna Giza ,wakaludi Dodoma walipofika Deus akazikaza zile Nati ambazo alizilegeza awali na Safari ikaanza tena hatamae wakafika eneo la Tukio Giza likiwa limeingia ,Wakati Huo chacha alikuwa kasinzia Deus akasimamisha Gari wakapanda watu wawili wote wanatoka kasikazini mmoja ni mbunge na mwingine yupo makao makuu, baada ya kupanda Gari wakaenda kuegesha Gari walipopaandaa wakampiga Risasi Mdomoni kisha Kijiko (Greda) kikaibonda Gari kwa juu na kuibinua na kutokomea huku wale watu wawili nao wakipanda Gari na kuishia wakimwacha Deus Mallya akizuga na kuwahadaa Watanzania kuwa ni Ajali, wanakijiji wa pale na Polisi walijua Mchezo wote lakini Rushwa ni Adui wa haki kwa leo tuishie hapa siku ingine nitakujuza zaidi.
Duu,,,,,,kumbe ndio ipo hivi??
 
Aulizwe Nyerere??? Nyerere yupi?. Yule Nyerere ambae alikua anajua kila kitu peke yake nchi nzima ambae sasa tunataka awe mtakatifu zaidi kuliko kardinal Rugambwa, kardinali wa kwanza mweusi Duniani tangu kanisa katoliki lianzishwe ulimwenguni?.

Inauma sana kwa yaliyofanywa kwa watoto wa Tanganyika na Zanzibar chini ya Saint Nyerere!

haruf ya chuki tu hamna chochote
 
Umekariri tu vya kuambiwa pasipo kuchanganya na Akili yako, Sokoine hakufa kwa Ajali bali ni mpango ulikuwa umesukwa ile Ajali ilikuwa ni Feki tu kama ilivyokuwa Ajali ya Chacha wangwe, kubali ukatae Sokoine alipigwa Risasi wakati amesinzia kisha Gari zikagonganishwa kuwazuga watu, hata Chacha wangwe ilikuwa hivyo hivyo lakini tofauti ni kwamba wauaji watumia Kijiko ( Greda) kuiponda Gari kisha kuibinua kwenda pembeni baada ya kuwa wamempiga Risasi kupitia Mdomoni Wakati akiwa amesinzia wanaondoka haraka na kumwacha Deus Mallya akizuga kuwa ni Ajali. R. I . P chacha wangwe na Sokoine.

cjawah kumuona sokoine enzi za uhai wake, nimezisikia sifa zake tena kutoka kwa mzazi wangu,alikuwa kiongoz shupavu! namfahamu wangwe, alikuwa mwanasiasa mahiri,nasikitika kwa vifo vyao! LAKINI NASIKITIKA ZAIDI KUONA KUNA WATU MLIKUWA NA TAARIFA ZA SABABU ZA VIFO VYAO NA MKAKA KIMYA BILA KUZIPELEKA SEHEMU HUSIKA, NYINYI NI WANAFIKI{SAMAHANI} NA NI MAADUI WA HAKI, LEO MNAKUJA ETI MNALALAMA?
 
hii inaonyesha jinsi gani unavyokaribia kutuaminisha kuwa msuya alimua kipenz chetu. je mbona hujamjibu alitoa hoja kwamba sokoine walikataza asipimwe kama amekufa na yule aliyesema mwili ulikuwa na matundu? unasemaje basi kuhusu secretary wake aliyepotea ghafla? acha kuropoka povu tuliza akili jibu hoja.


Msuya kipindi hicho alikua nani katika nchi hii? Je alikua na majeshi yote(JWTZ,Police,Usalama wa Taifa) ya nchi hii yalikua yanaripoti kwa Msuya? Kama mtu anaweza kupanga njama za kumua waziri mkuu na akafanikiwa bila kuchukuliwa hatua yeyote basi hicho kitendo kina baraka za amiri jeshi mkuu.
 
Msuya kipindi hicho alikua nani katika nchi hii? Je alikua na majeshi yote(JWTZ,Police,Usalama wa Taifa) ya nchi hii yalikua yanaripoti kwa Msuya? Kama mtu anaweza kupanga njama za kumua waziri mkuu na akafanikiwa bila kuchukuliwa hatua yeyote basi hicho kitendo kina baraka za amiri jeshi mkuu.

jibu lako ni simple je mafisadi wana jwtz? assasinators mpaka wawe jwtz? yey msuya ni moja wa wale wahujum uchumi kwa hiyo taarifa yenyewe umesikia kwamba hakupimwa ila alitangwa kafa kweny ajali usichezee hela mkuu. escrow inamshinda kikwete kwa sabab gani? alaf ukumbuke ya balali na prof. juan mwaikusa kilichomkuta
 
KAWAWA NDIYE MUUAJI WA SOKOINE, AULIZWE HUKO JEHANAMU : Ukweli uliopo na unaofamika kwa maafisa wengi wa serikali wa kipindi hicho ambao umefichwa ni kwamba Kawawa ndiye aliye muua Sokoine, baada ya mwl kutangaza kwamba ataondoka madarakani mwaka huo 1984 , wakati huo Sokoine akiwa waziri mkuu na Kawawa alikuwa makamu wa raisi kulikuwa na kila dalili za mwl kutaka kumwachia kiti cha uraisi Sokoine . Hapo ndipo Kawawa alipoamua kumtoa mwenzake uhai kwa kutumia matunguli aliyoenda kuyachukua Lindi ( kilwa/ Liwale), akidhani kwa kufanya hivyo nchi ataachiwa yeye. Wakati kikao cha bunge kinakaribia kwisha wiki ya mwisho Kawawa alimwomba ruhusa mwl ya kwenda kwao Lindi akisingizia amepata udhuru kumbe alikuwa anaenda kwa waganga wake. Wafuatiliaji wa mambo wakifuatilia wiki ambayo Sokoine alikufa Kawawa alikuwa Lindi waangalie hata data za iliyokuwa ofisi yake. Na siku ambayo sokoine anapata ajali Kawawa alikuwa njiani kutoka Lindi kuja dar. Alifanya hivyo hasa kwa maelekezo ya waganga wake. Waganga wake walimwelekeza kawawa asafiri siku hiyo ambayo bunge lilikuwa linaisha na dereva wa kawawa aliambiwa kwamba akiona bata njiani amgonge na walipoanza safari hawakutembea umbali mrefu sana wakakutana na bata na dereva akafanya kama alivyoelekezwa , muda ule ule ambao bata anagongwa na muda huo huo ndio ambao sokoine anapata ajali . Mwl alifahamu mchezo huo baada ya kuambiwa na wazee mchezo mzima na hicho ndicho kilichomfanya mwl amwogope zaidi kawawa ndio maana mwl aliruhusu aliyekuwa dereva wa Sokoine kutosumbuliwa mahakamani. Aliyekuwa dereva wa Kawawa alikuwa na siri nyingi zilizokuwa zinahusu kifo cha Sokoine pamoja na safari nzima ya Kawawa kwenda liwale , na taarifa zinasema kwamba dereva hakufanikiwa kumkanyaga tairi bata hivyo huyo hakufa palepale walisimamisha gari na kumuingiza bata ndani ya gari , kilichoendelea huko anakijua yeye kawawa na ifahamike kwamba Sokoine hakufia eneo la ajali ni mazingaombwe tu ya kawawa yaliyoendelea baada ya hiyo ajali na ndiyo maana kikao cha bunge kilichofuata baada ya ajali wapo wabunge waliodai wamemuona Sokoine jioni viunga vya bunge , ulikuwa mzimu tu. huo mchezo uliendelea hadi watani wa kawawa walipomweleza ukweli haache mchezo huo. Elimu dunia ndiyo inayowamaliza wanasiasa wengi. Kumbuka tukio la Akukwete kupata ajari ambapo shehe mmoja wa Tunduru aliahidi wakati wa kampeni kwamba akipita Akukwete atachoma vitabu vyake vya ushehe moto, na mara akukwete akashinda na watu walipomfuata shekhe huyo achome vitabu vyake alikataa lakini baada ya kupita kama miwili mbele ghafula tu asubuhi huyo shekhe aliita watu na kuwaambia kwamba anatekeleza ahadi ambayo aliahidi akachoma vitabu vyake moto vyote, watu walishangaa kwani ilish apita miaka miwili tangu aahidi ahadi yake lakini kilichowashangaza wengi ni mfuatano wa matukio asubuhi shekhe anachoma vitabu moto jioni inatangazwa akukwete kapata ajari ambayo ilipelekea kifo chake. Hicho ndicho kinachofanya watu wasiwaamini wanasiasa lakini wanasiasa wenyewe kwa wenyewe wasiaminiane .
 
Boss wa mpango wa mauaji ya chacha wangwe alipewa Mgao wa Escrow kule kenya tena wakati anaenda kuchukua mkwanja aliambatana na Wenje mbunge wa nyamagana,Nchi hii imejaa vioja Usimwamini mtu wewe.

mkuu alipewa ili iweje?.... maana ya chacha wangwe tunaaza kuamini sasa una leta na hili tunaona kumbe ni siasa tu na propaganda, nijuwavyo Mbowe angechukuwa mgao wa Escrow wasingekuwa na guts za kuwaita wahusika wakuu Wezi mbele ya Bunge na umma kwa ujumla na wao wakanyamaza.
 
KAWAWA NDIYE MUUAJI WA SOKOINE, AULIZWE HUKO JEHANAMU : Ukweli uliopo na unaofamika kwa maafisa wengi wa serikali wa kipindi hicho ambao umefichwa ni kwamba Kawawa ndiye aliye muua Sokoine, baada ya mwl kutangaza kwamba ataondoka madarakani mwaka huo 1984 , wakati huo Sokoine akiwa waziri mkuu na Kawawa alikuwa makamu wa raisi kulikuwa na kila dalili za mwl kutaka kumwachia kiti cha uraisi Sokoine . Hapo ndipo Kawawa alipoamua kumtoa mwenzake uhai kwa kutumia matunguli aliyoenda kuyachukua Lindi ( kilwa/ Liwale), akidhani kwa kufanya hivyo nchi ataachiwa yeye. Wakati kikao cha bunge kinakaribia kwisha wiki ya mwisho Kawawa alimwomba ruhusa mwl ya kwenda kwao Lindi akisingizia amepata udhuru kumbe alikuwa anaenda kwa waganga wake. Wafuatiliaji wa mambo wakifuatilia wiki ambayo Sokoine alikufa Kawawa alikuwa Lindi waangalie hata data za iliyokuwa ofisi yake. Na siku ambayo sokoine anapata ajali Kawawa alikuwa njiani kutoka Lindi kuja dar. Alifanya hivyo hasa kwa maelekezo ya waganga wake. Waganga wake walimwelekeza kawawa asafiri siku hiyo ambayo bunge lilikuwa linaisha na dereva wa kawawa aliambiwa kwamba akiona bata njiani amgonge na walipoanza safari hawakutembea umbali mrefu sana wakakutana na bata na dereva akafanya kama alivyoelekezwa , muda ule ule ambao bata anagongwa na muda huo huo ndio ambao sokoine anapata ajali . Mwl alifahamu mchezo huo baada ya kuambiwa na wazee mchezo mzima na hicho ndicho kilichomfanya mwl amwogope zaidi kawawa ndio maana mwl aliruhusu aliyekuwa dereva wa Sokoine kutosumbuliwa mahakamani. Aliyekuwa dereva wa Kawawa alikuwa na siri nyingi zilizokuwa zinahusu kifo cha Sokoine pamoja na safari nzima ya Kawawa kwenda liwale , na taarifa zinasema kwamba dereva hakufanikiwa kumkanyaga tairi bata hivyo huyo hakufa palepale walisimamisha gari na kumuingiza bata ndani ya gari , kilichoendelea huko anakijua yeye kawawa na ifahamike kwamba Sokoine hakufia eneo la ajali ni mazingaombwe tu ya kawawa yaliyoendelea baada ya hiyo ajali na ndiyo maana kikao cha bunge kilichofuata baada ya ajali wapo wabunge waliodai wamemuona Sokoine jioni viunga vya bunge , ulikuwa mzimu tu. huo mchezo uliendelea hadi watani wa kawawa walipomweleza ukweli haache mchezo huo. Elimu dunia ndiyo inayowamaliza wanasiasa wengi. Kumbuka tukio la Akukwete kupata ajari ambapo shehe mmoja wa Tunduru aliahidi wakati wa kampeni kwamba akipita Akukwete atachoma vitabu vyake vya ushehe moto, na mara akukwete akashinda na watu walipomfuata shekhe huyo achome vitabu vyake alikataa lakini baada ya kupita kama miwili mbele ghafula tu asubuhi huyo shekhe aliita watu na kuwaambia kwamba anatekeleza ahadi ambayo aliahidi akachoma vitabu vyake moto vyote, watu walishangaa kwani ilish apita miaka miwili tangu aahidi ahadi yake lakini kilichowashangaza wengi ni mfuatano wa matukio asubuhi shekhe anachoma vitabu moto jioni inatangazwa akukwete kapata ajari ambayo ilipelekea kifo chake. Hicho ndicho kinachofanya watu wasiwaamini wanasiasa lakini wanasiasa wenyewe kwa wenyewe wasiaminiane .
Nonsense!!!
 
Back
Top Bottom