Msuto wa Snowhite na FP

Those were the best two minutes that she's ever had in her life.

Hapan chezea anakonda la amazon....utang'atwa!

ulikuwa unamkuna tu na kumwachia ma stress,kwa bishanga kafika mpaka anatafuna nywele dadadadaddeki ccm hoyeee,dushelele la ukweli midundo moto,kama unabisha muulize Kongosho.
 
Last edited by a moderator:
ulikuwa unamkuna tu na kumwachia ma stress,kwa bishanga kafika mpaka anatafuna nywele dadadadaddeki ccm hoyeee,dushelele la ukweli midundo moto,kama unabisha muulize Kongosho.

Ukiona manyoya ujue keshaliwa....ukiona damu ujue keshachinjwa....na ukiona mwenye kulichonga sana domo ujue hamna kitu huyo.
 
kumbe baada ya kufukuzwa kazi ya uwochimen benki Asprin amehamia tandale?
Naona umekumbuka kwenu wewe, si bure


389239_243811662343707_100001446249807_730987_1587264168_n.jpg
 
Ha ha ha ha, umempatia kweli mamndenyi kwa kazi ya ungariba, tena anakata kwa kucha la dole gumba lake
Limekomaa kama nini


Najua wewe ni Mzee wa Citibank ndio maana niweka hafla hii Masaki kwa wajanja

Angekuwa Asprin ningeweka Tandale

Unantaka?
 
Me namshauri amchague Zombie!

ATTENTION!!!!!!!!!! Kongosho is :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:.....................hajui achague lipi kati a celibacy, zombie, msuto na maandilizi ya harusi.
PLEASE ASSIST HER ON THIS...........
 
Last edited by a moderator:
Mie kazi yangu fitna, manake nna kadi ya uanachama ya yanga. Nimfitini nani?
uskute unatuita tuanze pre wedding preparations!
dada mkubwa ukuje na pendekezo la rangi kabisa! gfsonwin wee upitie pale glambox ukiwa na cacico mje na profile yao ili tuchague kabisa mwali wetu atakuwaje! Ciello we utapitia kwenye maweb uangalie nyie mamaids mtavaa nguo gani watu8 kazi ya suti kwa wapambe wa zombie inakuhusu sana mwaJ na BADILI TABIA mfuatilie ukumbi wa bridal shower sawa? King'asti we eneo lako unalijua mwali,bi harusi atafutiwe nywele nzuuri kwa ajili yake@
zinduna we kazi yako kuagiza kungwi toka ngazija na mwingine komoro
jamani nyie niliowataja mhakikishe mkija hapo masaki kwenye huo msuto anaoandaa Zinduna mje na ripoti kamili ya majukumu yenu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom