Baba Ashrat
Member
- Apr 29, 2012
- 16
- 3
Mama Ashrat,acha kupika sogea ubaazi huu tutete kidogo.
Chunga kinywa chako.:target:
Mama Ashrat,acha kupika sogea ubaazi huu tutete kidogo.
ujue mwanamme kusutwa fedheha sana? Hasa akiwa mrefu?
Usimwige bishanga, huyo ni mwanamme suruali tu
Chunga kinywa chako.:target:
unapiga jaramba sio? unataka kupigana na nani sasa? Mama Ashrat si ulimwacha mwenyewe kwa talaka tatu?
Those were the best two minutes that she's ever had in her life.
Hapan chezea anakonda la amazon....utang'atwa!
ulikuwa unamkuna tu na kumwachia ma stress,kwa bishanga kafika mpaka anatafuna nywele dadadadaddeki ccm hoyeee,dushelele la ukweli midundo moto,kama unabisha muulize Kongosho.
Ukiona manyoya ujue keshaliwa....ukiona damu ujue keshachinjwa....na ukiona mwenye kulichonga sana domo ujue hamna kitu huyo.
mdogo wangu anaomba akuoe.
Sijambo asee...wee torabora makao ya chuma chakavu hujambo?
ATTENTION!!!!!!!!!! Kongosho is :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:.....................hajui achague lipi kati a celibacy, zombie, msuto na maandilizi ya harusi.
PLEASE ASSIST HER ON THIS...........
Afu ukisutwa umaarufu unaongezeka town, Kongosho nipe majukumu plz
Nimeona dia lol.umeona eeeehhhh!!!!!
uskute unatuita tuanze pre wedding preparations!
dada mkubwa ukuje na pendekezo la rangi kabisa! gfsonwin wee upitie pale glambox ukiwa na cacico mje na profile yao ili tuchague kabisa mwali wetu atakuwaje! Ciello we utapitia kwenye maweb uangalie nyie mamaids mtavaa nguo gani watu8 kazi ya suti kwa wapambe wa zombie inakuhusu sana mwaJ na BADILI TABIA mfuatilie ukumbi wa bridal shower sawa? King'asti we eneo lako unalijua mwali,bi harusi atafutiwe nywele nzuuri kwa ajili yake@
zinduna we kazi yako kuagiza kungwi toka ngazija na mwingine komoro
jamani nyie niliowataja mhakikishe mkija hapo masaki kwenye huo msuto anaoandaa Zinduna mje na ripoti kamili ya majukumu yenu!