Nikamkojolee mkeo?
unamfahamu sana,anaitwa Ruttashobolwa.ntumie picha yake!!!!
Nna uzoefu wa udaku, umbea na fitna ila sijawahi kusutwa. Aisee, siku ya kusutwa ntakufa nahisi ila lazma nimtoe mtu meno yote ya mbele!
mtani wangu mi nakuaminia kwenye swala zima la kuhakikisha biashara yako unaimudu!mmh hapa inabidi nipige breki kama jogoo aliyemkosa kosa tetee!
bibie mie hapa nafanya biashara hebu nigee hiyo rangi faster...
Nitahakikisha siku ya msuto lazima unyolewe vyu.z kwa jivu wewe
Ndo saizi yako, umezidi umbea wa Zombie
Kutokana na hasira nilizonazo, naomba Zinduna uandae msuto wa snowhite na FP pale Wantashi-Masaki
Dress code: Smart Casual
Vinywaji: Red Wine, White and Green Wine, Whisky, no biere
Music: Carrebean Regae, Argentinian Tango, RHumba, bluzi
DJ: Bishanga
Kisa: Kumpigia Debe Zombie wa Konnie baada ya konnie kuamua kuwa celibate kwa miaka 5
Source Mimi Mwenyewe niliyeumizwa na mameno yao kwenye us=zi wangu wa Cleibacy kule MMU.
Nawakilisha. . ..
ahahhahhahhahahhahhaha mi kila siku huwa nasema nina telepathy jamani! muulizeni Mtambuzi ,we mzee hebu njoo uthibitishe uwezo wangu katika hili!tena wewe lazima nikutoe kovu usoni
si unaringia huo u blaki byuti.
Najua nachotaka kifanya sana.
(namcelibacia zombie kwi kwi kwi- source Udaku wa snowhite)
mlongo wangu naomba nikuachie hii kazi, maana tutapoteza nguvu zetu tu tukimchangia, nakuaminia mwanawane, mpaka kielewekeahahhahhahhahahhahhaha mi kila siku huwa nasema nina telepathy jamani! muulizeni Mtambuzi ,we mzee hebu njoo uthibitishe uwezo wangu katika hili!