Msuto wa Snowhite na FP

uskute unatuita tuanze pre wedding preparations!
dada mkubwa ukuje na pendekezo la rangi kabisa! gfsonwin wee upitie pale glambox ukiwa na cacico mje na profile yao ili tuchague kabisa mwali wetu atakuwaje! Ciello we utapitia kwenye maweb uangalie nyie mamaids mtavaa nguo gani watu8 kazi ya suti kwa wapambe wa zombie inakuhusu sana mwaJ na BADILI TABIA mfuatilie ukumbi wa bridal shower sawa? King'asti we eneo lako unalijua mwali,bi harusi atafutiwe nywele nzuuri kwa ajili yake@
zinduna we kazi yako kuagiza kungwi toka ngazija na mwingine komoro
jamani nyie niliowataja mhakikishe mkija hapo masaki kwenye huo msuto anaoandaa Zinduna mje na ripoti kamili ya majukumu yenu!

wifi yangu snowhite nakuona unavyoitiwa kikao napata wasiwasi huyu shosti yangu Kongosho alibata mchumba siku si nyingi akatanguliza alipiwe kodi ya nyumba kwanza ha ha ha haaa! Toa msaada vikao vya harusi vinaanza wewe na FP nawaaminia, Bishanga ndo mwenyekiti wa kikao hakuna cha DJ, shosti kanusa bepari la kihaya litamwaga pesa haswa!
 
Last edited by a moderator:
wifi yangu snowhite nakuona unavyoitiwa kikao napata wasiwasi huyu shosti yangu Kongosho alibata mchumba siku si nyingi akatanguliza alipiwe kodi ya nyumba kwanza ha ha ha haaa! Toa msaada vikao vya harusi vinaanza wewe na FP nawaaminia, Bishanga ndo mwenyekiti wa kikao hakuna cha DJ, shosti kanusa bepari la kihaya litamwaga pesa haswa!

umejuaje? nani kakutonya hako ka siri?
 
Back
Top Bottom