CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
unamfahamu sana,anaitwa Ruttashobolwa.
Yethu wangu.... thitaki ugomvi.... Kwaheri!!!!!
Last edited by a moderator:
unamfahamu sana,anaitwa Ruttashobolwa.
mlongo wangu naomba nikuachie hii kazi, maana tutapoteza nguvu zetu tu tukimchangia, nakuaminia mwanawane, mpaka kieleweke
weeee umesahau kwamba mm siwezekani??
BTW hivi zombie bado anaendelea kukuganda ama umemchunia? ........ni ngumu sana kumtoa mtu aliyejipanda moyoni mwako umeona enh!
tukutane WANTASHI-MASAKI mwali!
ila kazi itakuwa ngumu ujue!unaijua stockholm syndrome?nafunga tumbo kabisa nakuja, haiwezekani tukampoteza kongosho kirahisi rahisi hivi
Nimemchunia na sms zake sijibu
Ila mmh, bora kuwa celibate kwa muda, ngoma nzito :behindsofa:
ila kazi itakuwa ngumu ujue!unaijua stockholm syndrome?
ha ha ha, akyanani menopause inanitesa, khah!
zombie kagoma kuchukua mzigo bila kuwa na balabendi!yani kitu kiwe kipyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaH!konnie kapiga mahesabuuuu kaona isiwe shida sealed tu!ngoja niulize jamani celibacy ndo nini?tobaaaaaaa seriously Kongosho unajua ushanasa wewe hapo????? yaaani zombie akiongeza juhudi kiduuuuchu tu anang'oa mzigo???? tobaaaaaaaaaaaa
zombie kagoma kuchukua mzigo bila kuwa na balabendi!yani kitu kiwe kipyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaH!konnie kapiga mahesabuuuu kaona isiwe shida sealed tu!ngoja niulize jamani celibacy ndo nini?
Hahahahah!ujue mie na wewe ni kama uji wa maziwa na mjamzito?
Hebu rudi upesi huku kabla zijaja kukuzahamisha huko uliko.
ha ha ha, akyanani menopause inanitesa, khah!
na wewe unaitikia tu ona sasa unajiita skrepa.Sijambo asee...
Huku hakuna netiweki ya bure kama huko.
Nimekumisi kama keki ya harusi.