Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
He he he, nilikuwa na buzi la kikaburu
Enzi hizo unakunywa Rubisi mie nakunywa Milkshake na wine cocktails tu
si mpaka!
bishanga nimezaliwa kenyatta hospital bana,wewe je?
He he he, nilikuwa na buzi la kikaburu
Enzi hizo unakunywa Rubisi mie nakunywa Milkshake na wine cocktails tu
Hata wewe umo kwenye msuto
Naoja ushahamia timu ya snowhite
Ntakuvuta hizo nywele hadi basi
Umeona eeh? Mtu anataka u celibacy halafu anatangaza msuto!
Dada Konnie msuto wa kistaarabu haunogi bana. Kitu cha Migo, Travetine....pls miye ntapanda hata ndege za bukubuku nije
Hata wewe umo kwenye msuto
Naoja ushahamia timu ya snowhite
Ntakuvuta hizo nywele hadi basi
Dada Konnie msuto wa kistaarabu haunogi bana. Kitu cha Migo, Travetine....pls miye ntapanda hata ndege za bukubuku nije
snowhite mie nishapata ukumbi pale Giraffe Hotel.uskute unatuita tuanze pre wedding preparations!
dada mkubwa ukuje na pendekezo la rangi kabisa! gfsonwin wee upitie pale glambox ukiwa na cacico mje na profile yao ili tuchague kabisa mwali wetu atakuwaje! Ciello we utapitia kwenye maweb uangalie nyie mamaids mtavaa nguo gani watu8 kazi ya suti kwa wapambe wa zombie inakuhusu sana mwaJ na BADILI TABIA mfuatilie ukumbi wa bridal shower sawa? King'asti we eneo lako unalijua mwali,bi harusi atafutiwe nywele nzuuri kwa ajili yake@
zinduna we kazi yako kuagiza kungwi toka ngazija na mwingine komoro
jamani nyie niliowataja mhakikishe mkija hapo masaki kwenye huo msuto anaoandaa Zinduna mje na ripoti kamili ya majukumu yenu!
weeee umesahau kwamba mm siwezekani??
BTW hivi zombie bado anaendelea kukuganda ama umemchunia? ........ni ngumu sana kumtoa mtu aliyejipanda moyoni mwako umeona enh!
St Tomas UK