Nimemsikia Mbunge Msukuma akisema eti wengi tunaojadili suala la bandari hatulijui kwa sababu hatujasafiri kwenda Dubai na Uingereza, Singapore ambako wamepiga hatua kwenye sekta ya bandari.
Tunachokwambia Msukuma watanzania wa leo hawasubiri kusimuliwa na waandishi wa habari wewe ungejibu hoja zinazoulizwa na huo mkataba wa DP na uingereza ungeuleta ili tuuchambue kwa pamoja.
Tunachokwambia Msukuma watanzania wa leo hawasubiri kusimuliwa na waandishi wa habari wewe ungejibu hoja zinazoulizwa na huo mkataba wa DP na uingereza ungeuleta ili tuuchambue kwa pamoja.