Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
Mihimili imetikiswa!
Mungu yuko kazini,tutaelewana tu!
Mungu yuko kazini,tutaelewana tu!
Yamkosaji hayo
Msukuma kweli ni wa La Saba maana bado hujui maana ya separation of powers au maana ya Mhimili wa Bunge. Wabunge wana haki ya kuikosoa Serikali wawapo Bungeni wala siyo jinai.Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa
Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Hayuko bungeni kwasababu anajitambua na alikataa kutumiwa kama condom na JIWE!!Wewe mwenye upeo mbona haupo bungeni. Kazi kushinda mitandaoni tu.
NASHUKURU. Vidole havina macho!!!!Ni ......matajiri mkuu!
NAIBU SPIKA NI MSOMI NI LAZIMA AJITOFAUTISHE NA NDUGAI KWA KUWA SERIOUS NA MAMBO YA BUNGE KWA KUTOENTERTAIN COMEDIANS KAMA MSUKUMA, KIBAJAJ NA JAH PIPO KUPOTEZA MUDA MUHIMU WA MAJADILIANO!! ACHANA NA USHABIKI WA KIJINGA WA NDUGAI, YOU SHOULD BE CURVING YOUR OWN STANDARDS OF LEADERSHIP SO AS TO BE DIFFRENTIATED FROM HIM!!!Msukuma kweli ni wa La Saba maana bado hujui maana ya separation of powers au maana ya Mhimili wa Bunge. Wabunge wana haki ya kuikosoa Serikali wawapo Bungeni wala siyo jinai.
Kama ni kiapo wabunge huapa kwa Spika wa Bunge na siyo kwa Rais.
Hizi mburura za darasa la saba ni kuzisamehe bure tu maana sii ajabu kwamba hazina hata uwezo wa kutofautisha mkono wao wa kushoto kutoka wa kulia.Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Hujui kitu. Kakojoe ulaleAfadhali niwe mkosaji kuliko kupata kwa wizi na ujambazi!! Hao wakina Msukuma na genge lake Walikuwa wanajipendekeza kwa mwendazake ili kulindwa dhidi ya ujambazi wao!! Mwendazake alikuwa pia anawatumia kama INFORMERS wake!
Hayuko bungeni kwasababu anajitambua na alikataa kutumiwa kama condom na JIWE!!
Mimi sibishani na nyie wa darasa la nne!!! Nawaona kama majambazi tu mnaotumiwa kama condom!!Hujui kitu. Kakojoe ulale
Hana ubavu wa kuingia bungeni yeye aendelee tu kukesha mitandaoni
Una uhakika?
NAIBU SPIKA NI MSOMI NI LAZIMA AJITOFAUTISHE NA NDUGAI KWA KUWA SERIOUS NA MAMBO YA BUNGE KWA KUTOENTERTAIN COMEDIANS KAMA MSUKUMA, KIBAJAJ NA JAH PIPO KUPOTEZA MUDA MUHIMU WA MAJADILIANO!! ACHANA NA USHABIKI WA KIJINGA WA NDUGAI, YOU SHOULD BE CURVING YOUR OWN STANDARDS OF LEADERSHIP SO AS TO BE DIFFRENTIATED FROM HIM!!!
Hilo la uenyekiti wa ccm linahusu katiba ya nchi au ya chama? Pia, utii huo ambao jamaa anatakiwa kujifunza, ni kwa rais aliyepo au mwendazake?
Watii viapo vyao.Una mtii mtu aliyekufa??!!!!
Wanatakiwa wamtii Samia.
Kwani Wana nini Cha pekee??.Msukuma aambiwe Nape na Makamba si saizi yake.
Tafadhari tumia herufi kubwa unapotaja jina la Muumba,ni kosa kutumia herufi ndogo zote.Bunge linaweza kumuondoa waziri mkuu na rais . Swala la utii labda kwa mungu sio kwa binadamu.
Yaani jamaa ni mjinga sana, hajui hata kiapo alichokula ni kiapo cha nini? Kwanza kumjadili au kumlaumu mtu kama huyo ni ukosefu wa akili na upumbavu, nakiri na mimi nimefanya upumbavu.Musukuma elimu ndogo. Anafikiri kiapo alichokula bungeni kilikua ni kiapo cha kulitii JIWE. Jeshi ndilo linaapa kiapo cha kumtii Amiri Jeshi Mkuu. Yeye mbunge anaapa kuilinda na kuitunza KATIBA.
Mbunge anaitwa Jah People na anayemuunga mkono aliwahi kusema kwao "wakipiga mjani" huwa wanalima kutwa nzima...Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!