The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,427
Usominwa kweli siyo vyeti wala shahada bali kujitambua na kuwatambua na kuwaelimisha wengine. Yeyote aitwaye msomi na akakubali uchawa si msomi wala mjinga bali mpumbavu na zwazwa wa kunuka. Tumzomee popote tumuonapo hata kumpiga mawe., Naanza na maprofedheha Paramagimbi Kabundi na Kitwila Mkuuuumbo. Nawe ongeza wako lau umma uwajue, uwachukie, uwadharau, na kuwazomea wajue tunajua uhovyo wao.