Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Kati ya watu wanaojidharaulisha ni shonzaInamuingia halafu iaumaa. Huoni anavyohangaika wewe watu hawana time na wewe unahangaika nao wa nini?
Kati ya watu wanaojidharaulisha ni shonzaInamuingia halafu iaumaa. Huoni anavyohangaika wewe watu hawana time na wewe unahangaika nao wa nini?
Sina kadi ya chama chochote wala si mwanachama na si mshabiki wa chama chochote, lakini ki ukweli huwa nakushangaa sana wewe. Kwanini!? Kwa sababu wewe ni mwanachama wa CCM, na huku nyuma ulikuwa na ndoa "takatifu" na CHADEMA, kwa bahati mbaya /au kwa kupenda ukapewa /toa taraka na ukafunga ndoa "takatifu" na upande mwingine !Leo nitaanza bila salamu,
Ndugu wanajamvi, kwa siku za nyuma kidogo, takribani mwaka mmoja uliopita niliwahi kuandika hapa kuwa CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi na nikasema katika maneno ya hitimisho la andiko langu hilo kuwa;
Nakumbuka vizuri, niliambulia matusi mengi kama ninavyotaraji hata leo pia. Kama nilivyosema wakati huo nitasema tena leo kuwa WATANZANIA wameshapoteza IMANI na chadema na uongozi wake. Wasomi, wanataaluma, na makundi mengine yenye influence kwenye jamii hawaiungi tena mkono chadema, nimeshangazwa hata bodaboda na machinga nao wanajitenga mbali na chadema.
Waandishi makini wameacha kabisa kuwaunga mkono chadema, hata wale ambao waliwaandika vizuri kwenye social media akina Mwanakijiji, Chahali na hata Pasco wamekuwa wakiwashushua kila uchao juu ya maamuzi yao na uelekeo wao.
Kwa mara nyingine tena, LEO umefanyika uamuzi mwingine wa kuchekesha na wenye kuudhi. Uamuzi unaoendelea kuthibitisha kuwa Uongozi wa CHADEMA umekosa dira, maono na hawana tafakuri sahihi juu ya mabadiliko ya wakati na namna bora ya kuendesha siasa za sasa. Walipodhani kuwa FEDHA zinaweza kuwa THINK TANK ya chama na kusahau BRAINS matokeo yake ndio haya, mnakosa strategic plan na mnaishia kughairisha mikakati bila sababu za msingi zenye kueleweka kwa watu na kupoteza influnce zaidi, actually hata wanachama wanawadharau kwa mwendo huu.
Labda ilikuwa utani, lakini UONGOZI wa chadema wanapaswa kufahamu kuwa Naibu Katibu Mkuu wao na wanachama wao 27 wako korokoroni hivi sasa kwa sababu ya mpango wao wa hovyo. Watu hawa tumaini lao ilikuwa ni kuungwa mkono lakini uongozi wao umewasaliti, umewatanguliza kama CHAMBO then mpango umeahirishwa. Lakini kuna vijana chungu mzima, ambao walikuwa driven na UKUTA wakajikuta wanamtukana Mkuu wa Nchi na Serikali yake nao wananyea debe wakati uongozi wao unaghairisha kiutani utani, opresheni iliowafikisha jela.
Hivi visingizio kuwa familia ya Nyerere imekutana na Lowassa na kumuomba, naomba nisitolee maelezo ila nitampigia simu personally msemaji wa familia hiyo Ndugu Makongoro ili ikiwezekana kesho ama keshokutwa afanye press, au aende Clouds au Efm kuthibitisha kuwa walikutana na Lowassa na kumuomba a-abort mpango mzima.
UKUTA chali, kama nilivyotegemea.
Jioni Njema...!!
Umetumika sana cdm na sasa umebakia screpaunamaanisha MBINGUNI au..?
Wewe ndiye mchochezi mkubwa nambari moja kwa kushabikia maandamano ambayo serikali inayakatazaMimi tena..?
Nafikiri huu ni wakati muafaka kwa rais magufuri kuwageukia hawa vijana wa ccm ambao wanafanya na kushabikia maandamanoHivi kwanini CCM hawataki amani??? Nani kawaroga??
Bila ubabe wa serikali yako, unafikiri UKUTA ungekuwepo?Leo nitaanza bila salamu,
Ndugu wanajamvi, kwa siku za nyuma kidogo, takribani mwaka mmoja uliopita niliwahi kuandika hapa kuwa CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi na nikasema katika maneno ya hitimisho la andiko langu hilo kuwa;
Nakumbuka vizuri, niliambulia matusi mengi kama ninavyotaraji hata leo pia. Kama nilivyosema wakati huo nitasema tena leo kuwa WATANZANIA wameshapoteza IMANI na chadema na uongozi wake. Wasomi, wanataaluma, na makundi mengine yenye influence kwenye jamii hawaiungi tena mkono chadema, nimeshangazwa hata bodaboda na machinga nao wanajitenga mbali na chadema.
Waandishi makini wameacha kabisa kuwaunga mkono chadema, hata wale ambao waliwaandika vizuri kwenye social media akina Mwanakijiji, Chahali na hata Pasco wamekuwa wakiwashushua kila uchao juu ya maamuzi yao na uelekeo wao.
Kwa mara nyingine tena, LEO umefanyika uamuzi mwingine wa kuchekesha na wenye kuudhi. Uamuzi unaoendelea kuthibitisha kuwa Uongozi wa CHADEMA umekosa dira, maono na hawana tafakuri sahihi juu ya mabadiliko ya wakati na namna bora ya kuendesha siasa za sasa. Walipodhani kuwa FEDHA zinaweza kuwa THINK TANK ya chama na kusahau BRAINS matokeo yake ndio haya, mnakosa strategic plan na mnaishia kughairisha mikakati bila sababu za msingi zenye kueleweka kwa watu na kupoteza influnce zaidi, actually hata wanachama wanawadharau kwa mwendo huu.
Labda ilikuwa utani, lakini UONGOZI wa chadema wanapaswa kufahamu kuwa Naibu Katibu Mkuu wao na wanachama wao 27 wako korokoroni hivi sasa kwa sababu ya mpango wao wa hovyo. Watu hawa tumaini lao ilikuwa ni kuungwa mkono lakini uongozi wao umewasaliti, umewatanguliza kama CHAMBO then mpango umeahirishwa. Lakini kuna vijana chungu mzima, ambao walikuwa driven na UKUTA wakajikuta wanamtukana Mkuu wa Nchi na Serikali yake nao wananyea debe wakati uongozi wao unaghairisha kiutani utani, opresheni iliowafikisha jela.
Hivi visingizio kuwa familia ya Nyerere imekutana na Lowassa na kumuomba, naomba nisitolee maelezo ila nitampigia simu personally msemaji wa familia hiyo Ndugu Makongoro ili ikiwezekana kesho ama keshokutwa afanye press, au aende Clouds au Efm kuthibitisha kuwa walikutana na Lowassa na kumuomba a-abort mpango mzima.
UKUTA chali, kama nilivyotegemea.
Jioni Njema...!!
Kamanda! Tuanzishe chama au tujiunge na ACT au CCM hamna namna...Mbowe must resign.SITASHABIKIA SIASA TENA MAISHANI MWANGU,NITAKUWA MTAZAMAJI TU!!!!
MWANAUME MSIMAMO BWANA.
Namuomba mwenyekiti wa ccm aanze kuwamulika vijana wa ccm wa aina yako wanao shabikia maandamano ambayo kimsingi yanapingwa na serikali yake haswa weweAcha hasira, subiri mpaka Oktoba 1.
Polisi wamekuwa wakiwatafuta watu wenye manenoUpo vizuri mkuu kwani watu wanao dhihaki kuahirisha haya maandamano nadhani sasa ndiyo serikali iwajue kuwa ndio hawaitakii mema hii nchi
Kweli kabisa hii post ni ya kichocheziKwa mtu ambae kichwani ni betry low anaweza kuandika hayo ila nakuambia ukuta umefanikiwa sana jeshi linafagia wamefagilishwa bila kupenda polisi wanafanya mazoezi ya kukata vitambi kisa ukuta sasa nguvu kubwa ya nini wakat CHADEMA hawana hata upanga wala sindano wakiulizwa ukuta viongozi wa CCM ukuta shonza umekimbilia kupost ukuta huoni kama imefanya kazi?
Kirefu cha ukuta kishasambaa jamii imejua maaana ya ukuta halafu unaandika watanzania unajumuisha wote hadi wale milion 6 zile takwimu za asilimia 65 ya wanaomaliza udsm ni ****** zipo sahihi na nyie ndo zao lao mnajidhihirisha hapa mana unataka wapigane raia wa kitanzania ili iweje? Unataka kuwa Kiongoz unaehamasisha migogoro!!!!! halafu pia post yako ni ya kichochezi.
Mimi ninashabikia mpaka kufa kwangu.... Vipi una lingine?Hivi kuna anayeshabikia CHADEMA kwa sasa? Hakika hiki chama kimegeuka kuwa The Comedy ama Futuhi
Nafikiri sasa serikali itaona na itaendelea kushuhudia vijana wa ccm kwa jinsi wanavyo furahia uvunjifu wa amani hapa nchini kama huyu shonzakwa hiyo kwa vihoja vyako hapa jukwaani, ulikuwa unataka watu wapigwe kesho?
Kumbe ninyi ndiyo watu mnaoshabikia vurugu!
Mimi nilidhani kwamba watu wa chadema ndiyo wapenda vurugu kumbe sivyo!
Maana naona watu wa ccm wameumizwa sana na kuairishwa kwa maandamano ya ukuta.
Nchi hii haitajengwa kwa kushabikia wenzako wakipigwa.
Nchi hii itajengwa kwa upendo na umoja. Kitu ambacho Taifa hili imekipoteza.
Namuurumia sana MH Rais maana kuongoza watu ambao hawapendani ni jambo baya sana kuliko hata ukuta.
Ifikie maala mashileni kuanzia chekechea watu wafundishwe Upendo kwa wenzao tuliponye hili Taifa.
Kweli kabisa hii post ni ya kichochezi
Una shida we mama! Ndo maana sura inazidi kukomaa kwaajili ya majunguChief, hawa hawafanani hata na Ze Comedy, hawa kiboko kabisa..hawa wanafanana na Manyaunyau.

Nafikiri sasa watawala wayaone haya mawazo na michango ya wana ccm ya kufurahia maandamano na kubeza juhudi za viongozi mabali mbali walio kuwa wanaomba kuahirishwa kwa haya maandamanoKweli mkuu magufuli ana kazi kufikia tz ya viwanda kwa sampuli za kina shonza
Nafikiri sasa watawala wayaone haya mawazo na michango ya wana ccm ya kufurahia maandamano na kubeza juhudi za viongozi mabali mbali walio kuwa wanaomba kuahirishwa kwa haya maandamanoKweli mkuu magufuli ana kazi kufikia tz ya viwanda kwa sampuli za kina shonza
Hilo la kususia vikao vya bunge vitakavyokuwa chini ya NS ndio litapelekea "songombingo" la mwisho la CDM!Ujinga mwingine ni kujiapiza hovyo kwa matamko...alijiapiza kutorudi bungeni,akajiapiza ukuta...kagonga ukutani.