Msisitizo; CHADEMA kuna ombwe la uongozi

Msisitizo; CHADEMA kuna ombwe la uongozi

Huyu Binti mi adict wa kushambulia CDM, ni Yuda alisaliti chama akagundulika na wenzake wakatemwa ni mbunge MaCCM hatosheki bado anashambulia CHADEMA!!
Sasa amepata la kusema,
haoni uonezi unaoendelea,mara mabomu na vitisho vya risasi mtaani utafikiri ni Mogadishu.
Watu wako ndani kibao wakidai haki.
Kama umeisha ungana na watesi wetu, tena umepewa cheo cha Ubunge CHADEMA umesahau nin?
 
Leo nitaanza bila salamu,
Ndugu wanajamvi, kwa siku za nyuma kidogo, takribani mwaka mmoja uliopita niliwahi kuandika hapa kuwa CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi na nikasema katika maneno ya hitimisho la andiko langu hilo kuwa;


Nakumbuka vizuri, niliambulia matusi mengi kama ninavyotaraji hata leo pia. Kama nilivyosema wakati huo nitasema tena leo kuwa WATANZANIA wameshapoteza IMANI na chadema na uongozi wake. Wasomi, wanataaluma, na makundi mengine yenye influence kwenye jamii hawaiungi tena mkono chadema, nimeshangazwa hata bodaboda na machinga nao wanajitenga mbali na chadema.

Waandishi makini wameacha kabisa kuwaunga mkono chadema, hata wale ambao waliwaandika vizuri kwenye social media akina Mwanakijiji, Chahali na hata Pasco wamekuwa wakiwashushua kila uchao juu ya maamuzi yao na uelekeo wao.

Kwa mara nyingine tena, LEO umefanyika uamuzi mwingine wa kuchekesha na wenye kuudhi. Uamuzi unaoendelea kuthibitisha kuwa Uongozi wa CHADEMA umekosa dira, maono na hawana tafakuri sahihi juu ya mabadiliko ya wakati na namna bora ya kuendesha siasa za sasa. Walipodhani kuwa FEDHA zinaweza kuwa THINK TANK ya chama na kusahau BRAINS matokeo yake ndio haya, mnakosa strategic plan na mnaishia kughairisha mikakati bila sababu za msingi zenye kueleweka kwa watu na kupoteza influnce zaidi, actually hata wanachama wanawadharau kwa mwendo huu.

Labda ilikuwa utani, lakini UONGOZI wa chadema wanapaswa kufahamu kuwa Naibu Katibu Mkuu wao na wanachama wao 27 wako korokoroni hivi sasa kwa sababu ya mpango wao wa hovyo. Watu hawa tumaini lao ilikuwa ni kuungwa mkono lakini uongozi wao umewasaliti, umewatanguliza kama CHAMBO then mpango umeahirishwa. Lakini kuna vijana chungu mzima, ambao walikuwa driven na UKUTA wakajikuta wanamtukana Mkuu wa Nchi na Serikali yake nao wananyea debe wakati uongozi wao unaghairisha kiutani utani, opresheni iliowafikisha jela.

Hivi visingizio kuwa familia ya Nyerere imekutana na Lowassa na kumuomba, naomba nisitolee maelezo ila nitampigia simu personally msemaji wa familia hiyo Ndugu Makongoro ili ikiwezekana kesho ama keshokutwa afanye press, au aende Clouds au Efm kuthibitisha kuwa walikutana na Lowassa na kumuomba a-abort mpango mzima.

UKUTA chali, kama nilivyotegemea.

Jioni Njema...!!


Akili nyepesi haiwezi kuchambua mambo makubwa kama haya, kuongoza chama cha siasa cha upinzani katika nchi za dunia ya tatu inahitaji maono mapana sana, ujasiri na uvumilivu na flexibility ya hali ya juu, sio kusukuma tu, mimi nimesema hivi , mimi nimesema vile, subira ni muhimu sana kwa sababu kila unachokifanya ni kwa sababu na niaba ya watu binadamu sio miti au mawe!
Kusita kutenda sio ishara ya woga, inawezekana kesho ikawa bora zaidi kama utasubiri na kusikiliza kila hoja na kuzijumuisha kabla hujasonga mbele.
 
kwa hiyo kwa vihoja vyako hapa jukwaani, ulikuwa unataka watu wapigwe kesho?

Kumbe ninyi ndiyo watu mnaoshabikia vurugu!

Mimi nilidhani kwamba watu wa chadema ndiyo wapenda vurugu kumbe sivyo!

Maana naona watu wa ccm wameumizwa sana na kuairishwa kwa maandamano ya ukuta.

Nchi hii haitajengwa kwa kushabikia wenzako wakipigwa.

Nchi hii itajengwa kwa upendo na umoja. Kitu ambacho Taifa hili imekipoteza.

Namuurumia sana MH Rais maana kuongoza watu ambao hawapendani ni jambo baya sana kuliko hata ukuta.

Ifikie maala mashileni kuanzia chekechea watu wafundishwe Upendo kwa wenzao tuliponye hili Taifa.
Leo ndio mnajua kuwa tunatakiwa kuishi kwa UPENDO na UMOJA..???
 
Niheri utukanwe na wajinga 1000
Useme ukweli unao pendwa na werevu 10
Juliana Shonza usife moyo


Huo ukweli wake watu waandamane ili wapigane uvccm bana mnaandika halafu fkra zinakuja baadae wakishapigana wewe na shonza mnaambulia nn? Damu za watu munywe? Anaamalizia ukuta chali inamaana alitaka uwepo ili watu wachapane halafu anatarajia kuwa kiongozi huyo hovyo kabisa uvccm alitoa bandiko et huko kawakuta uvccm wanalelewa kimaadili hayo ndo maadili mnayofunzwa huko kushabikia ugomvi? Mbunge huyu wa kuteuliwa nimemdharau sana.
 
Leo nitaanza bila salamu,
Ndugu wanajamvi, kwa siku za nyuma kidogo, takribani mwaka mmoja uliopita niliwahi kuandika hapa kuwa CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi na nikasema katika maneno ya hitimisho la andiko langu hilo kuwa;


Nakumbuka vizuri, niliambulia matusi mengi kama ninavyotaraji hata leo pia. Kama nilivyosema wakati huo nitasema tena leo kuwa WATANZANIA wameshapoteza IMANI na chadema na uongozi wake. Wasomi, wanataaluma, na makundi mengine yenye influence kwenye jamii hawaiungi tena mkono chadema, nimeshangazwa hata bodaboda na machinga nao wanajitenga mbali na chadema.

Waandishi makini wameacha kabisa kuwaunga mkono chadema, hata wale ambao waliwaandika vizuri kwenye social media akina Mwanakijiji, Chahali na hata Pasco wamekuwa wakiwashushua kila uchao juu ya maamuzi yao na uelekeo wao.

Kwa mara nyingine tena, LEO umefanyika uamuzi mwingine wa kuchekesha na wenye kuudhi. Uamuzi unaoendelea kuthibitisha kuwa Uongozi wa CHADEMA umekosa dira, maono na hawana tafakuri sahihi juu ya mabadiliko ya wakati na namna bora ya kuendesha siasa za sasa. Walipodhani kuwa FEDHA zinaweza kuwa THINK TANK ya chama na kusahau BRAINS matokeo yake ndio haya, mnakosa strategic plan na mnaishia kughairisha mikakati bila sababu za msingi zenye kueleweka kwa watu na kupoteza influnce zaidi, actually hata wanachama wanawadharau kwa mwendo huu.

Labda ilikuwa utani, lakini UONGOZI wa chadema wanapaswa kufahamu kuwa Naibu Katibu Mkuu wao na wanachama wao 27 wako korokoroni hivi sasa kwa sababu ya mpango wao wa hovyo. Watu hawa tumaini lao ilikuwa ni kuungwa mkono lakini uongozi wao umewasaliti, umewatanguliza kama CHAMBO then mpango umeahirishwa. Lakini kuna vijana chungu mzima, ambao walikuwa driven na UKUTA wakajikuta wanamtukana Mkuu wa Nchi na Serikali yake nao wananyea debe wakati uongozi wao unaghairisha kiutani utani, opresheni iliowafikisha jela.

Hivi visingizio kuwa familia ya Nyerere imekutana na Lowassa na kumuomba, naomba nisitolee maelezo ila nitampigia simu personally msemaji wa familia hiyo Ndugu Makongoro ili ikiwezekana kesho ama keshokutwa afanye press, au aende Clouds au Efm kuthibitisha kuwa walikutana na Lowassa na kumuomba a-abort mpango mzima.

UKUTA chali, kama nilivyotegemea.

Jioni Njema...!!
Hata kama ni kweli familia ya Nyerere imekutana na Lowasa ili asitishe UKUTA hapa sasa ndo waelewe maneno ya Hekma ya Rais mstaafu Mwinyi wakati ule wa kampeni kwamba uwepo wa Lowasa CDM sasa unaifanya CDM kuwa CCM B (na haya yamesababishwa na Mbowe) ,na kama CCM A ipo CCM B ya nini? CDM chini ya Mbowe na Lowasa itabakia kuwa wasindikizaji mashuhuri wa CCM.
 
Hata kama ni kweli familia ya Nyerere imekutana na Lowasa ili asitishe UKUTA hapa sasa ndo waelewe maneno ya Hekma ya Rais mstaafu Mwinyi wakati ule wa kampeni kwamba uwepo wa Lowasa CDM sasa unaifanya CDM kuwa CCM B (na haya yamesababishwa na Mbowe) ,na kama CCM A ipo CCM B ya nini? CDM chini ya Mbowe na Lowasa itabakia kuwa wasindikizaji mashuhuri wa CCM.

Hili wale vibendera hawalikubari
 
Huo ukweli wake watu waandamane ili wapigane uvccm bana mnaandika halafu fkra zinakuja baadae wakishapigana wewe na shonza mnaambulia nn? Damu za watu munywe? Anaamalizia ukuta chali inamaana alitaka uwepo ili watu wachapane halafu anatarajia kuwa kiongozi huyo hovyo kabisa uvccm alitoa bandiko et huko kawakuta uvccm wanalelewa kimaadili hayo ndo maadili mnayofunzwa huko kushabikia ugomvi? Mbunge huyu wa kuteuliwa nimemdharau sana.

Mbowe anajua kuwatumia aisee!!
 
serikali nzima, polisi na majeshi kuacha shuhuli zao na kukimbizana na watu wenye ombwe la uongozi??
Sina uhakika umeishia darasa la ngapi lakini neno nililoliwekea rangi nyekundu linapaswa liandikwe "SHUGHULI"

Ni hilo tu KAMANDA...
 
Leo nitaanza bila salamu,
Ndugu wanajamvi, kwa siku za nyuma kidogo, takribani mwaka mmoja uliopita niliwahi kuandika hapa kuwa CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi na nikasema katika maneno ya hitimisho la andiko langu hilo kuwa;


Nakumbuka vizuri, niliambulia matusi mengi kama ninavyotaraji hata leo pia. Kama nilivyosema wakati huo nitasema tena leo kuwa WATANZANIA wameshapoteza IMANI na chadema na uongozi wake. Wasomi, wanataaluma, na makundi mengine yenye influence kwenye jamii hawaiungi tena mkono chadema, nimeshangazwa hata bodaboda na machinga nao wanajitenga mbali na chadema.

Waandishi makini wameacha kabisa kuwaunga mkono chadema, hata wale ambao waliwaandika vizuri kwenye social media akina Mwanakijiji, Chahali na hata Pasco wamekuwa wakiwashushua kila uchao juu ya maamuzi yao na uelekeo wao.

Kwa mara nyingine tena, LEO umefanyika uamuzi mwingine wa kuchekesha na wenye kuudhi. Uamuzi unaoendelea kuthibitisha kuwa Uongozi wa CHADEMA umekosa dira, maono na hawana tafakuri sahihi juu ya mabadiliko ya wakati na namna bora ya kuendesha siasa za sasa. Walipodhani kuwa FEDHA zinaweza kuwa THINK TANK ya chama na kusahau BRAINS matokeo yake ndio haya, mnakosa strategic plan na mnaishia kughairisha mikakati bila sababu za msingi zenye kueleweka kwa watu na kupoteza influnce zaidi, actually hata wanachama wanawadharau kwa mwendo huu.

Labda ilikuwa utani, lakini UONGOZI wa chadema wanapaswa kufahamu kuwa Naibu Katibu Mkuu wao na wanachama wao 27 wako korokoroni hivi sasa kwa sababu ya mpango wao wa hovyo. Watu hawa tumaini lao ilikuwa ni kuungwa mkono lakini uongozi wao umewasaliti, umewatanguliza kama CHAMBO then mpango umeahirishwa. Lakini kuna vijana chungu mzima, ambao walikuwa driven na UKUTA wakajikuta wanamtukana Mkuu wa Nchi na Serikali yake nao wananyea debe wakati uongozi wao unaghairisha kiutani utani, opresheni iliowafikisha jela.

Hivi visingizio kuwa familia ya Nyerere imekutana na Lowassa na kumuomba, naomba nisitolee maelezo ila nitampigia simu personally msemaji wa familia hiyo Ndugu Makongoro ili ikiwezekana kesho ama keshokutwa afanye press, au aende Clouds au Efm kuthibitisha kuwa walikutana na Lowassa na kumuomba a-abort mpango mzima.

UKUTA chali, kama nilivyotegemea.

Jioni Njema...!!
Nauliza tu.....hivi bado wanasema wanaanza na Mungu na kumaliza na Mungu.
Naona Mwenyezi ameshakereka na hawa jamaa....!!!!!
 
Mbowe anajua kuwatumia aisee!!


Mi situmiwi na mtu siwezi kumuabudu binadamu kama mfanyavyo nyie kwa magufuli akikosea mbowe anapewa ukweli hapa sio pa ndio mzee unaambiwa vat yatakatwa mabenk nyie na kina lusinde ndio mzeee naamini mm ktk misingi bora cheki huyu uchwara


Before : Serikali yangu itakuwa ya Viwanda
After: Wapinzani ndio wanakwamisha Viwanda
Before : Nitakuwa Rais wa wote
After : Watakao leta fyokofyoko nitawashugulikia
Before: Mimi nimechaguliwa na masikini
After : Serikali yangu haitatoa chakula cha misaada
Before : Walifikiri nitakuwa upande wao
After: Wazee wangu nitawalinda
Before: Mafisadi wamenikimbia
After : Ni maajabu kukutana na Lowassa
Before : Mimi sibagui vyama nataka vifanye siasa walikochaguliwa
After : Hakuna siasa mpaka 2020
 
14089284_1333115990033733_6476826038821972625_n.jpg
Sio vizuri ila imeni
 
Hivi visingizio kuwa familia ya Nyerere imekutana na Lowassa na kumuomba, naomba nisitolee maelezo ila nitampigia simu personally msemaji wa familia hiyo Ndugu Makongoro ili ikiwezekana kesho ama keshokutwa afanye press, au aende Clouds au Efm kuthibitisha kuwa walikutana na Lowassa na kumuomba a-abort mpango mzima.

UKUTA chali, kama nilivyotegemea.

Jioni Njema...!!


😀😀😀😀😀 Ukamuulize Makongoro ,wala usisumbuke hiyo ni kazi yake. Mpeleke Mama Mtu Mzima TV ilikuaminisha watu,kinyuma na hapo huna haja ya kupotoza sauti .
 
Kwa mtu ambae kichwani ni betry low anaweza kuandika hayo ila nakuambia ukuta umefanikiwa sana jeshi linafagia wamefagilishwa bila kupenda polisi wanafanya mazoezi ya kukata vitambi kisa ukuta sasa nguvu kubwa ya nini wakat CHADEMA hawana hata upanga wala sindano wakiulizwa ukuta viongozi wa CCM ukuta shonza umekimbilia kupost ukuta huoni kama imefanya kazi?

Kirefu cha ukuta kishasambaa jamii imejua maaana ya ukuta halafu unaandika watanzania unajumuisha wote hadi wale milion 6 zile takwimu za asilimia 65 ya wanaomaliza udsm ni ****** zipo sahihi na nyie ndo zao lao mnajidhihirisha hapa mana unataka wapigane raia wa kitanzania ili iweje? Unataka kuwa Kiongoz unaehamasisha migogoro!!!!! halafu pia post yako ni ya kichochezi.
Hapa ndio nimeshafika ukomo wa ufuasi wangu kwa hiki chamaaa
SITASHABIKIA SIASA TENA MAISHANI MWANGU,NITAKUWA MTAZAMAJI TU!!!!
MWANAUME MSIMAMO BWANA.
Sijui Betry Low ni nani..??? Anayesema MBOWE amefanikiwa ama anaesema amebugi na wanachama watamdharau, kumbe sio dharau pekee, people are quiting..!!
 
Sina la kuongeza

Utaongeza vipi wakat huna kitu unashikwa mkono tu kiongozi wako mwenyewe kakosa msimamo halafu yeeeee



Before : Serikali yangu itakuwa ya Viwanda
After: Wapinzani ndio wanakwamisha Viwanda
Before : Nitakuwa Rais wa wote
After : Watakao leta fyokofyoko nitawashugulikia
Before: Mimi nimechaguliwa na masikini
After : Serikali yangu haitatoa chakula cha mswada
Before : Walifikiri nitakuwa upande wao
After: Wazee wangu nitawalinda
Before: Mafisadi wamenikimbia
After : Ni maajabu kukutana Before : Serikali yangu itakuwa ya Viwanda
After: Wapinzani ndio wanakwamisha Viwanda
Before : Nitakuwa Rais wa wote
After : Watakao leta fyokofyoko nitawashugulikia
Before: Mimi nimechaguliwa na masikini
After : Serikali yangu haitatoa chakula cha mswada
Before : Walifikiri nitakuwa upande wao
After: Wazee wangu nitawalinda
Before: Mafisadi wamenikimbia
After : Ni maajabu kukutana na Lowassa
Before : Mimi sibagui vyama nataka vifanye siasa walikochaguliwa
After : Hakuna siasa mpaka 2020 Lowassa
Before : Mimi sibagui vyama nataka vifanye siasa walikochaguliwa
After : Hakuna siasa mpaka 2020
 
Makamanda wa JF sasa hivi Mbowe anawacharge, kesho watajaa humu kumpongeza na kushangilia.
 
Imani yangu iliyoporomoka juu ya Mbowe baada ya kubadili gia angani,imerudi tena kwa namna anavyowachezesha kwata!!!
Serikali inabidi itoe mahesabu ya pesa ilizotumia na itakazotumia kupambnaa na kamchezo kadogo ka kisiasa!! Misuse of money!!
Zamani nilikuwa natoa majina kwa watu wenye akili za namna yako, siku hizi nimeacha. Umri nao una mambo yake, dhamana nayo inanifunga mdomo na hata mikono wakati mwingine...
 
Back
Top Bottom