We upo? Ilikuwaje siku ile T ukala ban? Au walijichanganya mods? 😹😹😹Mpenzi wangu ndio msiri wangu, huwa ananiambia kabisa huendani na personality yako ya JF. Hasa siku umbea ukikolea humu jinsi ninavyofukua makaburi wakati mpole mwenyewe ananifichia mengi babe wangu
Hii imeniumandio ni wew pekeako😆😆
kibwana kimekuja chenyewe alf mimi nikikatae ilihali wote tuna hisia? yeye adili na kibwana chake hukoo akizuie kujichekelesha kwetu😂😂 kizuri kula na nduguyo sikuhizi hata makaburi yanabeba wawili wawiliWengine mbona tunalala nje afu freshy tu! Kosa kubwa ni kujichekesha na vibwana vyao! Wenyewe hawataki🤣
Jesus 😆kibwana kimekuja chenyewe alf mimi nikikatae ilihali wote tuna hisia? yeye adili na kibwana chake hukoo akizuie kujichekelesha kwetu😂😂 kizuri kula na nduguyo sikuhizi hata makaburi yanabeba wawili wawili
Wanasema vibwana vya humu havikufai katafute bar huko🤣kibwana kimekuja chenyewe alf mimi nikikatae ilihali wote tuna hisia? yeye adili na kibwana chake hukoo akizuie kujichekelesha kwetu😂😂 kizuri kula na nduguyo sikuhizi hata makaburi yanabeba wawili wawili
Wewe kila sehem una kiri ushamba eboo😆
yooooh nishamwambia Mungu akiona naanza kujitetea kwenye upumbavu anipige radi nife tu😆😆 sifai kuishi dunianiNjoo tucheze makopo! Naona hutaki kujitetea kwa ndugu hakimu wa jeihefu🤣
Usinitafutie balaa huyo dosho ana mtu wake humu kila mwanaume kawahiwa😆 hata wakukombelezea hamna😎Wewe sio mkiwa bwana, assignment ya kumbana dosho12 akupe 📸 unaelekea kushindwa! 😁
Omba utapewaSio kila sehemu, hiyo kuomba 📸 ya nanii hiyo hapana. 😁
Hutaki kujishusha mama, we haya!🤣yooooh nishamwambia Mungu akiona naanza kujitetea kwenye upumbavu anipige radi nife tu😆😆 sifai kuishi duniani
walioko bar ndo hao hao tunao kutana nao JF tabia zile zile,, mimi nikielewana na mtu sipepesi macho mara mbili, nafanya jambo for my own willingWanasema vibwana vya humu havikufai katafute bar huko🤣
Ndio uviepuke vikijelengesha vitakuanika humu! Ohoo..
Hebu kanibless moja kule nione brand ya leo..😁
Binti hicho kiungo nenda nacho taratibu usikifuje😆walioko bar ndo hao hao tunao kutana nao JF tabia zile zile,, mimi nikielewana na mtu sipepesi macho mara mbili, nafanya jambo for my own willing
nitakuita saivi ngoj nimalizie kuanika wale dagaa wetu juu ya mawe
Hupepesi macho sio! Subiri wakukaange hiyo siku sikutetei😂walioko bar ndo hao hao tunao kutana nao JF tabia zile zile,, mimi nikielewana na mtu sipepesi macho mara mbili, nafanya jambo for my own willing
Unaremba dagaa wakati mawashio🤣nitakuita saivi ngoj nimalizie kuanika wale dagaa wetu juu ya mawe