Mimi nimesema huko juu hakuna kitu mtu atasema kuhusu mimi nikapata shock hata nyapu ikianikwa live
Mtaongea siku mbili siku ya tatu life litasonga
Mie ndio kabisa ukisikia I don’t care ni mimi nilishajifanya kua serious but hakuna kilicho happenUshauri mzuri umempa ShesRise_1 .
We kweli legend 🙌
Wewe watu washakutwa na vitu washakutwa na maumivu nini KUsiombe hii ikukute, dunia nzima itajua hii ni kei ya nani. Ujanja ni kuwa na do's n don't kwenye life. Kwisha
Kuna pipo zilikimbia id humu, unamkumbuka Demiss wa ankal mshana? 😹😹😹Ushauri mzuri umempa ShesRise_1 .
We kweli legend 🙌
Hii ya Dad nilikua sijazaliwa ilikuaje 😁Kuna pipo zilikimbia id humu, unamkumbuka Demiss wa ankal mshana? 😹😹😹
Yule member alikuwa na pozi na u much know mwingi, nini kilimkuta?
Sasa wengine wakiambiwa wanakaza mafuvu, watu wao wanaokotezana humu wanawaleta km walivyo..!!
Hahaha watu mna siri sana! Na huo moyo wa chuma kama wa depal, kajua kuwatolesha mapovu waja! mimi ndio jicho kwa jicho niumie nisiumie tutaenda sambamba😂mafile yangu nayatunza vizuri mnoooo ila ukiona umepata moja wapo ujue hiyo sio siri na hata nikisikia habari zake hazito niumiza
kwenye mambo yangu ya siri siachagi ushahidi😄😄😄 labda upasue moyo ndo utakutana nayo
sema 'wataongea" nyau wew😄😄😄Mimi nimesema huko juu hakuna kitu mtu atasema kuhusu mimi nikapata shock hata nyapu ikianikwa live
Mtaongea siku mbili siku ya tatu life litasonga
Kuna pipo zilikimbia id humu, unamkumbuka Demiss wa ankal mshana? 😹😹😹
Yule member alikuwa na pozi na u much know mwingi, nini kilimkuta?
Sasa wengine wakiambiwa wanakaza mafuvu, watu wao wanaokotezana humu wanawaleta km walivyo..!!
Halafu wakishaongea ?sema 'wataongea" nyau wew😄😄😄
kwanza hizi habari za kuanza ooh flani ndo alisema moja mbili tatu mi huwa sizifuatilii hata kidogo ndo maan nikiskia story zangu sina mda wa kumprove mtu wrong kila mtu aelewe anavyo elewa
Kuna mambo huwa yanaendelea humu hata sijui ni nini kilitokea 😁Hahaha watu mna siri sana! Na huo moyo wa chuma kama wa depal, kajua kuwatolesha mapovu waja! mimi ndio jicho kwa jicho niumie nisiumie tutaenda sambamba😂
siri gani bwana😅😅 mfano hiyo issue ya D hatuwezi kuiita siri hata kidogo mtu kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja ni kawaida kabisa kwanza K ni yake anaitumia anavyotaka kikubwa hajabeba ya mtu wala kumwambia mtu amuinulie labia majora ila Penis ipite,,Hahaha watu mna siri sana! Na huo moyo wa chuma kama wa depal, kajua kuwatolesha mapovu waja! mimi ndio jicho kwa jicho niumie nisiumie tutaenda sambamba😂
Kiukweli uchi unatisha ukiwa hautumiki kwa muda huo hii wala watu wasijipe moyo. 😹😹JF kubwa, kuna visa vikubwa sana vilishatokea hapa tukavishuhudia, kuna kila aina ya umafia humu.
Mimi siku nikiwa na mpenzi atakua huyo huyo mmoja still najitunza MashaAllahsiri gani bwana😅😅 mfano hiyo issue ya D hatuwezi kuiita siri hata kidogo mtu kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja ni kawaida kabisa kwanza K ni yake anaitumia anavyotaka kikubwa hajabeba ya mtu wala kumwambia mtu amuinulie labia majora ila Penis ipite,,
mimi nguvu ya jicho kwa jicho sina kabisa labda nikuone unaninyang'anya tonge nililo lipambania kwa udi na uvumba😄😄😄 vingine naacha tu wabweke
dj atulete na kale ka wimbo ka zuchuHalafu wakishaongea ?
Wakimaliza wakalale eti
Win weee Anyway
Mimi mtu asije akanitisha et ana siri zangu ili nimnyenyekee
Aisee😏
Hi ni kweliKama La depal linavyosonga sasa hivi🤣
Mdogo wangu mzuriiii hebu tuliwe bhna ikibidi vitaoza hivi mie mwaka 2 tena huu sijagusa dah😭😭😭dj atulete na kale ka wimbo ka zuchu
🎶 alokwambia kahadithiwa, alohadithiwa kakosea kukwambia, na alie mwambia alihadithiwa na yeye akakosea kukwambia🎶🎶
nimnyenyekee mtu wakati sijaua?,, humu umbea mwingi ni mambo ya kudinyana na mambo ya financial situation,, wakija na suala la kuliwa niliipeleka mwenyewe sikulazimishwa why niumie? kama ni mambo ya kuishi maisha ya chini au kukoswa pesa kwani mimi ndo natoa ridhiki mpka tufanane kipato?,, hata nikilala kwenye mkeka wenyew wakiamua kuongea watanipunguzia nini😆😆
endelea hivyo hivyoMimi siku nikiwa na mpenzi atakua huyo huyo mmoja still najitunza MashaAllah
Asilimia kubwa humu watu hawajuani ila mki tofautiana jukwaani anatunga uwongo ili udhalilike kwa kuwaaminisha watu uwongo.dj atulete na kale ka wimbo ka zuchu
🎶 alokwambia kahadithiwa, alohadithiwa kakosea kukwambia, na alie mwambia alihadithiwa na yeye akakosea kukwambia🎶🎶
nimnyenyekee mtu wakati sijaua?,, humu umbea mwingi ni mambo ya kudinyana na mambo ya financial situation,, wakija na suala la kuliwa niliipeleka mwenyewe sikulazimishwa why niumie? kama ni mambo ya kuishi maisha ya chini au kukoswa pesa kwani mimi ndo natoa ridhiki mpka tufanane kipato?,, hata nikilala kwenye mkeka wenyew wakiamua kuongea watanipunguzia nini😆😆
Kwanza kwa nini Mwanamke utume picha ya utupu hiyo ni akili ya kikahaba yaani ya kutojali utu wako.Mkitaka muwe safe humu acheni kuselfika na kuanzisha mahusiano yasiyo na tija humu JF.
Ukipata akili ya kutambua Lamomy anaweza kuwa I’d nyingine yoyote humu JF basi elewa hakuna siri yoyote hapa.
Namaanisha hivi mtu mmoja anaweza kukutongoza mara nyingi awezavyo kwa ID’s tofauti na usielewe. Na epuka convo za kijinga huko piem mingine ni mitego.
Pia acha kuamini mtu kiasi cha kujiachia na kutuma picha zako naked lazima KITAKULAMBAAA hiyo weka akilini.
Humu JF watu ni vichaa kuliko mnavyofikiri..!!
Sema ndo hivyo malaya wa JF hawawezi kunielewa ni sikio la kufa. 😥😹😹
wewe ndo inaibana😆😆😆 mimi baby wangu katoka kuishenyenta asubuhi hii kaniacha ndani ye kaenda kunitafutia ugali Poker Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yakoMdogo wangu mzuriiii hebu tuliwe bhna ikibidi vitaoza hivi mie mwaka 2 tena huu sijagusa dah😭😭😭