Msinishangae jamani!

Msinishangae jamani!

Ndio maana mwalimu, uelewa wako uko chini sana.

Hao watoto unaowafundisha nahisi unawalisha matango pori tu..
 
Huo umri mie nadhani mtoto wa kike unatakiwa uwe ushakua na mtu wa kueleweka, kufanya nae maisha ha ha ha mwenzangu bado upo unapiga ana ana doo shauri ako taa nyekundu zikiwaka utaanza lawama
Huwa unasema ukweli in a way few people would understand. Sijui kama huyu kakuelewa.
 
Tafuta ambaye mta pendendana ki-ukweli na mjipange kutafuta pesa zenu. Usije kimbilia tajiri atayekutesa mpaka kifo chako
 
Shine G, inaonekana hautiji mapenzi ya dhati bali ni mali za atakaye kuoa. Okay si mbaya maana kila mmoja huwa analengo lake ila kumbuka msemo wa wahenga kuwa

"MCHAGUA NAZI HUINUKIA KOROMA"


NB. Ni PM tuyajenge.
 
Dah! Walimu sijui tuna mkosi gani, kila balaa letu. Haya mama kila la kheri
 
Hahahaha wewe mdada nakufahamu si unasoma Institute of Adult education Diploma mzuri kama we a sepetu
 
Mm nina imani ndoa inaendana na malenzi ya dhati bila kujali kazi wala chochote. Hataukiolewa na mwalimu afisa manunuzi kondakta wa daladala mkulima mvuvi nk kamahamkupendana ni kazi bure hamtaendelea lkn ukiolewa na yeyote mnaependana cna kwa kidogo mlicho nacho mtapanga mpaka mpata makubwa. Nafikiri fikiria upya usimdharau mwalim mwenzio
 
Shin G, tumepotezana siku nyingi sana...samahani sana naomba uje private
 
mtoa mada, mada yako imekuwa tata kidogo lkn jua kuna maisha mazr pia nje zaidi ya utumishi uwalimu nk hoja ninamna utakavyojituma mwenyewe kusaka maisha ktk njia njema,mshahara daima hautakidhi mahitaji yote ya familia zetu masikini hizi,olewa na yoyote ila msitegemee mshahara pekee....
 
salama jamen?
Husika na kichwa cha barua hapo juu.Mimi ni Mwl wa shule msingi,tatizo linalokuja ni kwamba sitaki kabisa hata kusikia suala la kuolewa na mwl.
Eti nahisi hatuwez fikia mafanikio tukiwa na mshahara unaolingana kama mnavojua salary yetu jaman.Au am wrong?

Mashauri ya aina yote naruhusu wapendwa.samahan walimu.
Nenda kwa mganga wa kienyeji atakupa dawa ya kumpata mbunge
 
Ukimpata mwalimu mwenye nia utamkataa dada?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom