Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,538
Ndio maana mwalimu, uelewa wako uko chini sana.
Hao watoto unaowafundisha nahisi unawalisha matango pori tu..
Hao watoto unaowafundisha nahisi unawalisha matango pori tu..
Huwa unasema ukweli in a way few people would understand. Sijui kama huyu kakuelewa.Huo umri mie nadhani mtoto wa kike unatakiwa uwe ushakua na mtu wa kueleweka, kufanya nae maisha ha ha ha mwenzangu bado upo unapiga ana ana doo shauri ako taa nyekundu zikiwaka utaanza lawama
Atakua kaelewa, mwalimu huyu tehHuwa unasema ukweli in a way few people would understand. Sijui kama huyu kakuelewa.
Kazi shida, mshahara shida, mapenzi shida....Dah! Walimu sijui tuna mkosi gani, kila balaa letu. Haya mama kila la kheri
Kweli mkuu, Mungu anaona. Imeisha kuwa tabu kwa kweli.Kazi shida, mshahara shida, mapenzi shida....
Mungu atatulipa
Nenda kwa mganga wa kienyeji atakupa dawa ya kumpata mbungesalama jamen?
Husika na kichwa cha barua hapo juu.Mimi ni Mwl wa shule msingi,tatizo linalokuja ni kwamba sitaki kabisa hata kusikia suala la kuolewa na mwl.
Eti nahisi hatuwez fikia mafanikio tukiwa na mshahara unaolingana kama mnavojua salary yetu jaman.Au am wrong?
Mashauri ya aina yote naruhusu wapendwa.samahan walimu.