Malalamiko ya mashabiki wa yanga ni mengi sana kwa sababu mipango yao ya kuwa mabingwa wanaona inakuwa migumu licha ya kuwekeza sana kwenye timu pinzani na kufikia kutengeneza baadhi ya timu za kuipa pointi kama ilivyo kwa Singida big stars.
Malalamiko yamekuwa dhidi ya waamuzi hususan wanaochezesha mechi za Simba.
Ukweli waamuzi hawa hawa wamekuww na mchango sawa kuifanya yanga iwe hapo na ndio maana sio ajabu kuona hawafanyi vizuri kimataifa licha ya kuwa mabingwa wa kihistoria.
Nashauri msimu ujao TFF na bodi ya ligi waache kuzichekea timu hizi kwa namna zinavyotengeneza ushindi nje ya uwanja.Mfano mmiliki wa timu kudhamini vilabu Vingi halafu anakuwa na kauli mbiu kama vile yanga bingwa,huku tukiona wazi jinsi vitimu kama Dodoma jiji vikimuachia ajipigie atakavyo.
Timu inarubuni wachezaji wa timu pinzani wakati mwingine wazi wazi huku wakitangaza kuwasajili msimu ukiisha huku wakiwa bado na mikataba ni uhuni usiostahili kufumbiwa macho.
Timu zinaendesha propaganda kupitia kwa waandishi wasiojitambua kuchafua taswira ya ligi yetu na bado zinachekewa tu.
Viongozi wa TFF hawapaswi kuwaogopa wanasiasa waliojiingiza kwenye soka na kuanza kuharibu soka letu kwa kuleta misimamo ya kisiasa ndani ya soka.
Timu kama imesajiliwa kucheza soka inapaswa kucheza soka sio kucheza sheria.Ni upumbavu kwa timu kujibadili na kuwa kama kampuni la wanasheria uchwara kuomba pointi za mezani pasipo msingi wowote wa kisheria badala ya kupekeka timu uwanjani.
TFF iwapo mtaendekeza uhuni basi mjue mtakuja kuiua ligi yetu.
Malalamiko yamekuwa dhidi ya waamuzi hususan wanaochezesha mechi za Simba.
Ukweli waamuzi hawa hawa wamekuww na mchango sawa kuifanya yanga iwe hapo na ndio maana sio ajabu kuona hawafanyi vizuri kimataifa licha ya kuwa mabingwa wa kihistoria.
Nashauri msimu ujao TFF na bodi ya ligi waache kuzichekea timu hizi kwa namna zinavyotengeneza ushindi nje ya uwanja.Mfano mmiliki wa timu kudhamini vilabu Vingi halafu anakuwa na kauli mbiu kama vile yanga bingwa,huku tukiona wazi jinsi vitimu kama Dodoma jiji vikimuachia ajipigie atakavyo.
Timu inarubuni wachezaji wa timu pinzani wakati mwingine wazi wazi huku wakitangaza kuwasajili msimu ukiisha huku wakiwa bado na mikataba ni uhuni usiostahili kufumbiwa macho.
Timu zinaendesha propaganda kupitia kwa waandishi wasiojitambua kuchafua taswira ya ligi yetu na bado zinachekewa tu.
Viongozi wa TFF hawapaswi kuwaogopa wanasiasa waliojiingiza kwenye soka na kuanza kuharibu soka letu kwa kuleta misimamo ya kisiasa ndani ya soka.
Timu kama imesajiliwa kucheza soka inapaswa kucheza soka sio kucheza sheria.Ni upumbavu kwa timu kujibadili na kuwa kama kampuni la wanasheria uchwara kuomba pointi za mezani pasipo msingi wowote wa kisheria badala ya kupekeka timu uwanjani.
TFF iwapo mtaendekeza uhuni basi mjue mtakuja kuiua ligi yetu.