Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there
Salaamu! naomba tuwe wakweli UKAWA tangu uanze mfumo wa vyama vingi safari wamepata mafanikio makubwa kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru wapinzani wanamiliki HALMASHAURI 20 ktk hizo Halimashauri majiji yote makubwa yapo ndani yake hivyo wanastahili pongezi ukizingatia uchaguzi haukuwa huru kwa asilimia mia figisufigisu zilikuwa nyingi sana nadhani hata wewe ni shahidi.
Unajidanganya wewe huna hela, mwenzako mbowe ni bilionea yaani kwaukwaa ubilionea toka kwa mamvi. Hela ndiyo inayoamua chadema kwa sasa. Pole sana. Njoo CCM chama cha masikini.
Kwahiyo mngeingizwa choo cha kiume mngekubali?Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there
Salaamu! naomba tuwe wakweli UKAWA tangu uanze mfumo wa vyama vingi safari wamepata mafanikio makubwa kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru wapinzani wanamiliki HALMASHAURI 20 ktk hizo Halimashauri majiji yote makubwa yapo ndani yake hivyo wanastahili pongezi ukizingatia uchaguzi haukuwa huru kwa asilimia mia figisufigisu zilikuwa nyingi sana nadhani hata wewe ni shahidi.
...hawa ni baadhi tu ya masikini wa ccm;
chenge,ngeleja,tibaijuka...
Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there
Pamoja na hayo mkuu,lakini uchaguzi wa rais umewakost ukawa sababu wafuasi wa slaa na lipumba walimpigia magufuli,na kama hili lingeangaliwa mapema lisingewashangaza watu,kwn badala ya kuelimishwa watu walikuwa wakizimishwa chini kwa chini
Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there
Unajidanganya wewe huna hela, mwenzako mbowe ni bilionea yaani kwaukwaa ubilionea toka kwa mamvi. Hela ndiyo inayoamua chadema kwa sasa. Pole sana. Njoo CCM chama cha masikini.
...hawa ni baadhi tu ya masikini wa ccm;
chenge,ngeleja,tibaijuka...