Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there
Unajidanganya wewe huna hela, mwenzako mbowe ni bilionea yaani kwaukwaa ubilionea toka kwa mamvi. Hela ndiyo inayoamua chadema kwa sasa. Pole sana. Njoo CCM chama cha masikini.
 
Unajidanganya wewe huna hela, mwenzako mbowe ni bilionea yaani kwaukwaa ubilionea toka kwa mamvi. Hela ndiyo inayoamua chadema kwa sasa. Pole sana. Njoo CCM chama cha masikini.

...hawa ni baadhi tu ya masikini wa ccm;
chenge,ngeleja,tibaijuka...
 
Hivi Ccm mmeiba nchi bado hamjiamini kweli dhuluma mbaya Moderator hivi inahitaji digirii kujua hawa ndi ma hacker wa kule FB na Tweeter?
Tumieni weledi futeni huu upuuzi
La sivyo mnazalilisha JF na kuangamiza biashara zenu kwa maslahi ya wajinga
 
Last edited by a moderator:
Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there
Kawaombe Magamba wenzako! Tumekupuuza kalale Lumumba huko.
 
anzisheni chama chenu hicho ni chama cha familia ya Mtei na Mbowe kwahiyo hakuna wa kumtoa Mbowe.
 
Labda mkutane Lumumba. Ukigusa kinondoni toka nyumbani umerithisha.
 
We babeli ni pumba tu baki na ccm yako chadema yanini tena? Eti chadema asilia....uzuzu huo chadema ni moja hayo matabaka peleka lumumba walikozoea makundi.
 
Unajidanganya wewe huna hela, mwenzako mbowe ni bilionea yaani kwaukwaa ubilionea toka kwa mamvi. Hela ndiyo inayoamua chadema kwa sasa. Pole sana. Njoo CCM chama cha masikini.

Chama cha masikini???
Kiligawa Pesa kama kinagawa mchanga wewe acha nadharia nenda na vitendo.
 
Kwa chadema asilia wote na wengine wapenda mabadiliko ya kweli !
Chadema asilia ina mpango wa kuushinikiza uongozi wa juu wote ujiuzuru na ufanyike uchaguzi mpya. Mbowe na group lake limetuingiza choo cha kike na hii hatuikubali. Shime tuunganishe nguvu tung'oe madhalimu haya, yenye kuendesha ukoloni mkongwe.
Be there

Umejawa na ujinga na upumbavu nenda ACT au CCM kabisa
 
Back
Top Bottom