Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
AmeinNami baba yake nikisema his money our money anakubali.
Na bahati nzuri binti yangu knows better!! Haleluya.
AmeinNami baba yake nikisema his money our money anakubali.
Na bahati nzuri binti yangu knows better!! Haleluya.
Nenda SIDO uwaambie wakutengeneze mwanaume wa desgn hyo manake sizan kama kuna mwanamke atakae kaa na manz mbinafsi hvyooMSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
5. Ni marufuku mambo ya joint a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.
6. Pesa zangu ni zangu ata password simpi, bora nimpe Mama yangu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa yake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
NIMEMALIZA
huo siyo ukatili bwana we...mnaambiwa ukweliutakuwa sio mzima.. all in all hiyo tabia utakuwa umeirithi kwa mama ako, ukatili aliokuwa anamfanyia babaako
UBINAFSI GANI LAKINI?? hivi kwenye kuzaa mnawasaidia wanawake. ebu hiyo role yenu muitekeleze kikamilifu acheni kulia liaYaani ktk hili wanaume utawajua tuuu..sababu hizo kauliii mmmhh mmepatikanaa. Mmekuwa wadogooo zaidi ya piriton
Ila anayoyaongea yapo sanaaa, msimtukane ila ndio pakujifunzia kuwa kuna wanawake wa hivyo. Pengine yeye hata hayuko hivyo ila labda rafikiye ndio yupo hivi ameamua kumuwakilisha kwa jamii mtu km huyu. Wapo sana hawa ktk jamii wanawake wenye ubinafsi hivi. Mwanaume ni wakati wako kujifunza ukiona mwanamke wa hivi.
Good! Nimekupenda ghafla mdada!!wanaume hawajui maana ya wao kuwa wanaume!yaani nibomoe kibubu kwa wewe kutimiza majukumu yako!!! never
we utakuwa wa kulelewa kwanini umshangae mtoa mada?napata wasiwasi na unaokutana nao
ampate mtoto wa shangazi yake?? kwa kuwa wewe ni wa kulelewa?Ila kwa masharti hayo utampata mtoto wa shangazi yako!
MSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
5. Ni marufuku mambo ya joint a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.
6. Pesa zangu ni zangu ata password simpi, bora nimpe Mama yangu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa yake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
NIMEMALIZA
wewe huna kitu kichwani pole sana na hujui maana ya ndoaMSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
5. Ni marufuku mambo ya joint a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.
6. Pesa zangu ni zangu ata password simpi, bora nimpe Mama yangu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa yake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
NIMEMALIZA
Unaweza kuwa msimamo theoretically, katika practical ikawa tofauti mkuu. I didn't mean to ambush her, ila mara nyingi tunakuwa na stance zetu kabla ya kukutana na other half, tukiingia huko mambo yakawa tofauti kabisa.Unajua haijalishi kwamba kaolewa ama yuko peke yake, yeye kaweka bayana kwamba huo ndio msimamo wake.
Unaweza kuwa msimamo theoretically, katika practical ikawa tofauti mkuu. I didn't mean to ambush her, ila mara nyingi tunakuwa na stance zetu kabla ya kukutana na other half, tukiingia huko mambo yakawa tofauti kabisa.
I understand, ni msimamo wake kinadharia, je kuihalisia ameweza?
So long anayeishi nae hana tatizo (anaweza kuubeba huo msalaba) sisi ni nani tuanze kunyoosha vidole.Nakuelewa sana mheshimiwa, ndio maana nikasema kuna maisha ndani ya JF na maisha ya uhalisia.
Lakini mwisho wa yote, wanaume tusimame kwenye nafasi zetu ila huyu dada nae ameweka msimamo mkali sana.
So long anayeishi nae hana tatizo (anaweza kuubeba huo msalaba) sisi ni nani tuanze kunyoosha vidole.
Kweli kabisa mkuu.Naamini hata wewe ulikua au una misimamo yako ambayo kwa hiyo, unaishi na mama watoto au mtarajiwa mkuu.
Lakini waswahili wanasema "...if you can't get what you like, like what you get" hahahahaaaaa
vip dada ushampata huyo mwanaume wa msimamo wako???Oooh kumbe!!
Basi haujaufahamu ulimwengu vizuri kido.