Kazi ipo kwa kweliMSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
5. Ni marufuku mambo ya joint a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.
6. Pesa zangu ni zangu ata password simpi, bora nimpe Mama yangu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa yake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
NIMEMALIZA






MSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
6. Pesa zangu ni zangu ata password simpi, bora nimpe Mama yangu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
NIMEMALIZA
Mimi ninalo ila acha nikae kimya!Ahsante. Sina maswali ya nyongeza ndugu mheshimiwa.
Mimi ninalo ila acha nikae kimya!
mlikuwaga wapi mnaanza kufufua nyuzi za zilipendwa.
Hawezi kuolewa huyoSina imani kama (espy) yuko kwenye ndoa....!!
Yote hayo ni Theory.....practically hakuna Mwanaume wa kukubaliana na ujinga huo...!! Kwani yake ina Tv ndani...!!![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
probablyKwamba amebadilika siku hizi?
Athibitishe kama hizi theory zake anazi-apply kwenye ndoa yake, au ni maneno ya "kahawa" tu.Sina imani kama (espy) yuko kwenye ndoa....!!
Yote hayo ni Theory.....practically hakuna Mwanaume wa kukubaliana na ujinga huo...!! Kwani yake ina Tv ndani...!!![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Athibitishe kama hizi theory zake anazi-apply kwenye ndoa yake, au ni maneno ya "kahawa" tu.
Ukionda mwanamke ana masharti mengi kiasi hiki ujue nimbaya wa sura mpaka umbo na pia amelelewa kwenye familia duni mno.