Msimamo wangu

Msimamo wangu

So long anayeishi nae hana tatizo (anaweza kuubeba huo msalaba) sisi ni nani tuanze kunyoosha vidole.

Mmenifurahisha jinsi mna maswali na majibu moja kwa moja.
I like the way you two reason.
Naamini hata wewe ulikua au una misimamo yako ambayo kwa hiyo, unaishi na mama watoto au mtarajiwa mkuu.
Lakini waswahili wanasema "...if you can't get what you like, like what you get" hahahahaaaaa
 

Mmenifurahisha jinsi mna maswali na majibu moja kwa moja.
I like the way you two reason.
Ila hujajibu maswali yangu, i like to get answered whenever I raise something.
» Bado msimamo upo pale pale?
» Ulivyokutana na other half, kuna compromises zozote uliridhia? Samaritan hapo amesema, u get what you like, if not then just like what you get. Hilo vipi kwako?
 
Ila hujajibu maswali yangu, i like to get answered whenever I raise something.
» Bado msimamo upo pale pale?
» Ulivyokutana na other half, kuna compromises zozote uliridhia? Samaritan hapo amesema, u get what you like, if not then just like what you get. Hilo vipi kwako?

Tukisha like what we get, tunatafuta ile sehem nyingine nje kukidhi haja.
Uzuri kwenye msimamo wa espy mchepukaji ruksa.

Misimamo yake imejikita kwenye maslahi tu. Sie wafuasi wa mfalme Suleiman hana tatizo kabisa.
 
Nakuelewa sana mheshimiwa, ndio maana nikasema kuna maisha ndani ya JF na maisha ya uhalisia.
Lakini mwisho wa yote, wanaume tusimame kwenye nafasi zetu ila huyu dada nae ameweka msimamo mkali sana.
Hapo kwenye bold ndiyo ile kitu nzuri umesema sasa. simameni kwenye nafasi zenu. tunapoelekea heshima kwenu itapotea ....heshima ya mwanaume ni ku-PROVIDE (yaani labda uhurumiwe tena kwa kumweleza mwenzako sababu ya maana na isiwe mazoea) Jitumeni muweke heshima majumbani...nyie vipi? vipisi siyo?? hahahahhaha
 
Ila hujajibu maswali yangu, i like to get answered whenever I raise something.
» Bado msimamo upo pale pale?
» Ulivyokutana na other half, kuna compromises zozote uliridhia? Samaritan hapo amesema, u get what you like, if not then just like what you get. Hilo vipi kwako?
Haahhaaaa!! Ex darling kwani hii ni interview?
 
Tukisha like what we get, tunatafuta ile sehem nyingine nje kukidhi haja.
Uzuri kwenye msimamo wa espy mchepukaji ruksa.

Misimamo yake imejikita kwenye maslahi tu. Sie wafuasi wa mfalme Suleiman hana tatizo kabisa.
Uh!! We chepuka tu at yo own risk ila mbesa yoote niione.
 
Hapo kwenye bold ndiyo ile kitu nzuri umesema sasa. simameni kwenye nafasi zenu. tunapoelekea heshima kwenu itapotea ....heshima ya mwanaume ni ku-PROVIDE (yaani labda uhurumiwe tena kwa kumweleza mwenzako sababu ya maana na isiwe mazoea) Jitumeni muweke heshima majumbani...nyie vipi? vipisi siyo?? hahahahhaha
Amen!
 
Huyu atakuwa mwajiriwa mpya.
Mwanamke akipata vijisenti kidogo huwa anahisi wanaume wote wasio kuwa na kipato kikubwa ni wazembe kutafta.
 
Huyu atakuwa mwajiriwa mpya.
Mwanamke akipata vijisenti kidogo huwa anahisi wanaume wote wasio kuwa na kipato kikubwa ni wazembe kutafta.
Ooooh kumbe!!!
 
Kuna kamsemo kanasema "wanawake wabaya wanaringa" kana ukweli ndani yake. Sipati picha una muonekano gani kwa msimamo wako.


#nakwenda_zimbabwe
 
Kuna kamsemo kanasema "wanawake wabaya wanaringa" kana ukweli ndani yake. Sipati picha una muonekano gani kwa msimamo wako.


#nakwenda_zimbabwe
Ooooh!!! Kumbe sisi wabaya hatupaswi kuwa na misimamo!!!
Didnt know!!
 
Back
Top Bottom